Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jomon [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unalia baada ungeenda kuwasaidi vizuri [emoji23][emoji23][emoji23]
We can't help everyone But everyone can help someone.Utatoa Kwa wangapi?
Big up Mkuu,Mtu mzima akilia hakika ujue kuna jambo. Majuzi nililia njia nzima mpaka kufikia kushindwa ku drive vizuri. Roho inaniuma mpaka muda huu ninaoandika hapa.
Dada zetu wamechoka, dada zetu wana hali mbaya. Ni mabinti wa miaka 15 mpaka 25 wengi wao, ila sura zinakataa, sura zimechoka, sura za kizee[emoji24][emoji24][emoji24]
Nilifikiria mengi. Wamekata tamaa ya maisha na je, miongoni mwao angekuwepo dada au ndugu yangu yeyote?
Nilikuwa naingia vyumbani(kwa Wahaya) as if nataka huduma, nauliza bei then namlipa mara mbili yake na kutoka nje. Nilifanya hivi kwa wale malaya walioonekana kuwa na umri mkubwa mno[emoji24] naumia sana.
Na hata kwa vibinti nilifanya vivyo hivyo, Kimboka nilitoa machozi, Lubumbashi, River Side, Kitambaa cheupe n.k japo kwa siku tofauti tofauti.
Naumia sana[emoji24][emoji24][emoji24] daaaah
Kumbe kuna watu wanateseka hivi?
Roho inaniuma mno.
Naomba nisiendelee tafadhali[emoji24]
Domo zege huyo lazima alipiga maana anavijua vijiwe vyote ambavyo huhitaji kutongoza. Actually Kuna baadhi ya vijiwe ukionekana umeboreka unapewa ofa ya kushika maviuz au kisimbusi kabisa.Kama ulipiga sema tu mkuu we don't judge
Mwanaume unasema jomon[emoji849][emoji849]una walakini sehemu
weka ka video clipMtu mzima akilia hakika ujue kuna jambo. Majuzi nililia njia nzima mpaka kufikia kushindwa ku drive vizuri. Roho inaniuma mpaka muda huu ninaoandika hapa.
Dada zetu wamechoka, dada zetu wana hali mbaya. Ni mabinti wa miaka 15 mpaka 25 wengi wao, ila sura zinakataa, sura zimechoka, sura za kizee[emoji24][emoji24][emoji24]
Nilifikiria mengi. Wamekata tamaa ya maisha na je, miongoni mwao angekuwepo dada au ndugu yangu yeyote?
Nilikuwa naingia vyumbani(kwa Wahaya) as if nataka huduma, nauliza bei then namlipa mara mbili yake na kutoka nje. Nilifanya hivi kwa wale malaya walioonekana kuwa na umri mkubwa mno[emoji24] naumia sana.
Na hata kwa vibinti nilifanya vivyo hivyo, Kimboka nilitoa machozi, Lubumbashi, River Side, Kitambaa cheupe n.k japo kwa siku tofauti tofauti.
Naumia sana[emoji24][emoji24][emoji24] daaaah, kumbe kuna watu wanateseka hivi? Roho inaniuma mno.
Naomba nisiendelee tafadhali[emoji24].
Tabata wapi kwny chupiMkuu Dar imeoza, nadhani ndio maana serikali imehama.
Kuna bar Tabata vibinti vipo vimevaa sidiria na chupi tu. Kuna bar wahudumu wengi Ni vijana wasio rizki, hizi zinajaza ma gentleman wengi Sana wenye umri 45+ magari Yao cruza, Prado, patrol na haria. Hukuti ist na korola hapo.
Aiseh tuwaombee Mungu awape nguvu ya kubadilisha mienendo yao.Mtu mzima akilia hakika ujue kuna jambo. Majuzi nililia njia nzima mpaka kufikia kushindwa ku drive vizuri. Roho inaniuma mpaka muda huu ninaoandika hapa.
Dada zetu wamechoka, dada zetu wana hali mbaya. Ni mabinti wa miaka 15 mpaka 25 wengi wao, ila sura zinakataa, sura zimechoka, sura za kizee[emoji24][emoji24][emoji24]
Nilifikiria mengi. Wamekata tamaa ya maisha na je, miongoni mwao angekuwepo dada au ndugu yangu yeyote?
Nilikuwa naingia vyumbani(kwa Wahaya) as if nataka huduma, nauliza bei then namlipa mara mbili yake na kutoka nje. Nilifanya hivi kwa wale malaya walioonekana kuwa na umri mkubwa mno[emoji24] naumia sana.
Na hata kwa vibinti nilifanya vivyo hivyo, Kimboka nilitoa machozi, Lubumbashi, River Side, Kitambaa cheupe n.k japo kwa siku tofauti tofauti.
Naumia sana[emoji24][emoji24][emoji24] daaaah, kumbe kuna watu wanateseka hivi? Roho inaniuma mno.
Naomba nisiendelee tafadhali[emoji24].
Sinaga cha kuwasaidia nakuwa mtazamaji tuHao walemavu wenye madonda mostly ni matapeli jombaa ,, usije ukajichanganya
Kijana utapotea bure.