Nilitembelea Uwanja wa Fisi, Buguruni, Rambo, Kimboka na kwingineko siku za hivi karibuni nimelia machozi

Big up Mkuu,

The greatness of a Man is not in how much wealth he acquires,But in his integrity and his ability to affect those around him positively.
 
Afu kwanini wadada wengi wanaochezea mijegejo sana sura zao zinakosa nuru,unakuta umbo ndo zuri lakini ngozi imechoka

Wewe ni kama mimi mkuu,huwa nikiwa bar hasa zile zenye wadada wengi huwa nayatafakar maisha yao nashindwa kuelewa mwsho wao itakuwaje
 
weka ka video clip
 
Tabata wapi kwny chupi

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Aiseh tuwaombee Mungu awape nguvu ya kubadilisha mienendo yao.
 
Kuna wadada wengi humu hawajui kwa wahaya au Temeke Sudan kulivyo au wadada wanavyo subiri wateja. Hiyo stuli unayoona haina MTU ujue mwenyewe Yuko ndani ananyanduliwa.
Picha kwa hisani ya
mpwayungu village
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…