Nilitetemeka kwa hofu siku niliposikia rais Samia akisema kuwa yeye na Magufuli ni wamoja!

Nilitetemeka kwa hofu siku niliposikia rais Samia akisema kuwa yeye na Magufuli ni wamoja!

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Rais Samia alipoingia madarakani mwaka 2021 katika hotuba zake za mwanzoni kabisa aliwahi kusema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Nakumbuka siku ile niliposikia matamshi hayo nilipatwa na hofu ndani yangu kwani kwanza sikutegemea angesema hayo na pili mimi nilielewa maneno hayo yalimaanisha nini katika utendaji wa kawaida wa serkali, masuala ya haki, demokrasia na uchumi wa Taifa.

Pia nilielewa nini maana ya matamshi hayo katika roho ya kujiweka sambamba na hayati Magufuli na kufikia kusema kuwa yeye (Samia) ni kitu kimoja na Magufuli.

Pamoja na kuwa wawili hawa ni tofauti sana kimaumbile, haiba na katika mambo mengi mengine, yawezekana kweli wao ni kitu kimoja katika masuala ya weledi wa utunzaji na matumizi ya rasilimali za taifa, demokrasia, haki ya kujieleza na mtindo wa kisiasa unaozingatia waimba sifa wengi na matumizi makubwa ya rasilimali za wananchi maskini kushindana na wapinzani au wakosoaji ili kuendelea kubaki madarakani.

Wanachotofautiana viongozi hawa wawili ni ile namna yao ya kufanya jambo lile lile.

Tumwombee rais Samia aepukane na matumizi ya nguvu na ubabe dhidi ya wakosoaji au wapinzani wake kisiasa, na asiwe kitu kimoja na mtangulizi wake katika mambo haya.
 
Endelea kutetemeka

Trump Rafiki wa Shujaa Magufuli ndio huyo anakuja 😂😂
 
Hapa unajaribu kutuambia huu utekaji unaoendelea sio mambo ya Samia?
 
Rais Samia alipoingia madarakani mwaka 2021 katika hotuba zake za mwanzoni kabisa aliwahi kusema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Nakumbuka siku ile niliposikia matamshi hayo nilipatwa na hofu ndani yangu kwani kwanza sikutegemea angesema hayo na pili mimi nilielewa maneno hayo yalimaanisha nini katika utendaji wa kawaida wa serkali, masuala ya haki, demokrasia na uchumi wa Taifa.

Pia nilielewa nini maana ya matamshi hayo katika roho ya kujiweka sambamba na hayati Magufuli na kufikia kusema kuwa yeye (Samia) ni kitu kimoja na Magufuli.

Pamoja na kuwa wawili hawa ni tofauti sana kimaumbile, haiba na katika mambo mengi mengine, yawezekana kweli wao ni kitu kimoja katika masuala ya weledi wa utunzaji na matumizi ya rasilimali za taifa, demokrasia, haki ya kujieleza na mtindo wa kisiasa unaozingatia waimba sifa wengi na matumizi makubwa ya rasilimali za wananchi maskini kushindana na wapinzani au wakosoaji ili kuendelea kubaki madarakani.

Wanachotofautiana viongozi hawa wawili ni ile namna yao ya kufanya jambo lile lile.

Tumwombee rais Samia aepukane na matumizi ya nguvu na ubabe dhidi ya wakosoaji au wapinzani wake kisiasa.
Bila shaka unapenda majizi na matapeli. Ninyi wenye akili ndogo huwa mnafichwa na matapeli kwenye kichaka cha demokrasia na uhuru wa kujieleza huku nchi ikitafunwa sawasawa
 
Hapa unajaribu kutuambia huu utekaji unaoendelea sio mambo ya Samia?
Sisemi hivyo mkuu ila jema likitendeka sifa ni kwake sasa kwa hayo mabaya sijui lawama ni kwa nani!
 
Ya Sativa ni mazuri kwako?
Bila shaka unapenda majizi na matapeli. Ninyi wenye akili ndogo huwa mnafichwa na matapeli kwenye kichaka cha demokrasia na uhuru wa kujieleza huku nchi ikitafunwa sawasawa
Sativa
 
Rais Samia alipoingia madarakani mwaka 2021 katika hotuba zake za mwanzoni kabisa aliwahi kusema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Nakumbuka siku ile niliposikia matamshi hayo nilipatwa na hofu ndani yangu kwani kwanza sikutegemea angesema hayo na pili mimi nilielewa maneno hayo yalimaanisha nini katika utendaji wa kawaida wa serkali, masuala ya haki, demokrasia na uchumi wa Taifa.

Pia nilielewa nini maana ya matamshi hayo katika roho ya kujiweka sambamba na hayati Magufuli na kufikia kusema kuwa yeye (Samia) ni kitu kimoja na Magufuli.

Pamoja na kuwa wawili hawa ni tofauti sana kimaumbile, haiba na katika mambo mengi mengine, yawezekana kweli wao ni kitu kimoja katika masuala ya weledi wa utunzaji na matumizi ya rasilimali za taifa, demokrasia, haki ya kujieleza na mtindo wa kisiasa unaozingatia waimba sifa wengi na matumizi makubwa ya rasilimali za wananchi maskini kushindana na wapinzani au wakosoaji ili kuendelea kubaki madarakani.

Wanachotofautiana viongozi hawa wawili ni ile namna yao ya kufanya jambo lile lile.

Tumwombee rais Samia aepukane na matumizi ya nguvu na ubabe dhidi ya wakosoaji au wapinzani wake kisiasa, na asiwe kitu kimoja na mtangulizi wake katika mambo haya.
Mimi nilikua na shaka maana sikua namwamini huyu mama kama kiitikadi ni mtu wa watu kama magufuli. Pia ujasiri hana na inaelekea anatishika na kuhusudu mabeberu na pia anaamini ulaghai wa wezi wa umma. Sijui hadi sasa kwa nini aliamua kuwarejesha wale magufuli aliwatema kwa kumpinga na walisikika wakimkejeli kifichoni wakimuita mshamba na kuonyesha kumchukia na kupanga kumuhujumu mtu wananchi wa kawaida walimpenda sana. Hapo ndipo nakosa imani na kua na mashaka makubwa kwamba anapotupeleka kama siokutupiga bei.
 
Rais Samia alipoingia madarakani mwaka 2021 katika hotuba zake za mwanzoni kabisa aliwahi kusema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Nakumbuka siku ile niliposikia matamshi hayo nilipatwa na hofu ndani yangu kwani kwanza sikutegemea angesema hayo na pili mimi nilielewa maneno hayo yalimaanisha nini katika utendaji wa kawaida wa serkali, masuala ya haki, demokrasia na uchumi wa Taifa.

Pia nilielewa nini maana ya matamshi hayo katika roho ya kujiweka sambamba na hayati Magufuli na kufikia kusema kuwa yeye (Samia) ni kitu kimoja na Magufuli.

Pamoja na kuwa wawili hawa ni tofauti sana kimaumbile, haiba na katika mambo mengi mengine, yawezekana kweli wao ni kitu kimoja katika masuala ya weledi wa utunzaji na matumizi ya rasilimali za taifa, demokrasia, haki ya kujieleza na mtindo wa kisiasa unaozingatia waimba sifa wengi na matumizi makubwa ya rasilimali za wananchi maskini kushindana na wapinzani au wakosoaji ili kuendelea kubaki madarakani.

Wanachotofautiana viongozi hawa wawili ni ile namna yao ya kufanya jambo lile lile.

Tumwombee rais Samia aepukane na matumizi ya nguvu na ubabe dhidi ya wakosoaji au wapinzani wake kisiasa, na asiwe kitu kimoja na mtangulizi wake katika mambo haya.
Kisiasa (ki-Chama) hawa ni wamoja, maana wanatoka chama kimoja na walipigiwa kura moja. Kiutendaji (ki-Serikali) ni watu tofauti kabisa. Tumeona katika uendeshaji wa Serikali, SSH amechukua mrengo tofauti na ameweza kuituliza nchi.
 
Rais Samia alipoingia madarakani mwaka 2021 katika hotuba zake za mwanzoni kabisa aliwahi kusema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Nakumbuka siku ile niliposikia matamshi hayo nilipatwa na hofu ndani yangu kwani kwanza sikutegemea angesema hayo na pili mimi nilielewa maneno hayo yalimaanisha nini katika utendaji wa kawaida wa serkali, masuala ya haki, demokrasia na uchumi wa Taifa.

Pia nilielewa nini maana ya matamshi hayo katika roho ya kujiweka sambamba na hayati Magufuli na kufikia kusema kuwa yeye (Samia) ni kitu kimoja na Magufuli.

Pamoja na kuwa wawili hawa ni tofauti sana kimaumbile, haiba na katika mambo mengi mengine, yawezekana kweli wao ni kitu kimoja katika masuala ya weledi wa utunzaji na matumizi ya rasilimali za taifa, demokrasia, haki ya kujieleza na mtindo wa kisiasa unaozingatia waimba sifa wengi na matumizi makubwa ya rasilimali za wananchi maskini kushindana na wapinzani au wakosoaji ili kuendelea kubaki madarakani.

Wanachotofautiana viongozi hawa wawili ni ile namna yao ya kufanya jambo lile lile.

Tumwombee rais Samia aepukane na matumizi ya nguvu na ubabe dhidi ya wakosoaji au wapinzani wake kisiasa, na asiwe kitu kimoja na mtangulizi wake katika mambo haya.
Hivi kwa magufuli napo kulikuwa na demokelrasia? Au demogasia
 
Bila shaka unapenda majizi na matapeli. Ninyi wenye akili ndogo huwa mnafichwa na matapeli kwenye kichaka cha demokrasia na uhuru wa kujieleza huku nchi ikitafunwa sawasawa
Demokrasia inakuonyesha mahali ambapo pesa ya serikali inapigwa kwakuwa vyombo vya habari vinappata uhuru wa kufanya kazi yake ya kufichua makandokando.

Udikteta unafinya uhuru wa habari ili dikteta apate nafasi ya kuteka, kutesa, kuua na kuiba raslimali za taifa kimya kimya.
Hivyo ni rahisi sana kuona wizi kwenye serikali inayoruhusu uhuru wa habari kuliko kuona wizi huo kwenye srikali ya kibabe.
 
Back
Top Bottom