Mimi hata nipewe huku inang'atwang'atwa kwa ndani siwezi lialia kama lipuuzi limoja hiviAnayopewa chumbani unayajua?
Kua uyaone sio maghorofa.
Kapiga goti mwingine wewe umekata tamaa kivipi?Nimefadhaika, nimehuzunika, nimekasirika, nimeshangaa, nimechoka na nimekata tamaa kabisa!!
Yaani jamaa analia 'live' mbele ya wazee waliokuja kusuluhisha mgogoro wao na mkewe ambaye anadai talaka aondoke.........analia huku amempigia magoti mkewe (huku wazee wakishuhudia) akimsihi asiondoke. Dah!!!!
Kama sio mbususu/kibumbu basi ni tigo pamoja na harakati zake za ulainishaji (kunyonywa, kulambwa n.k), kuna kingine?!!!!Anayopewa chumbani unayajua?
Kua uyaone sio maghorofa.
Sawa....Anayopewa chumbani unayajua?
Kua uyaone sio maghorofa.
Hata upewe nini cha mwili...haiko hivyo....Kama sio mbususu/kibumbu basi ni tigo pamoja na harakati zake za ulainishaji (kunyonywa, kulambwa n.k), kuna kingine?!!!!
Beta males...Hayo ndio matatizo ya mwanaume kutokuwa mwanaume. Huyo lazima aachwe hata akisamehewa Wakati huu.
Usipokuwa Strong Wanawake wanakufundisha kuwa strong
Uanaume wetu unakwisha, we unafikiri hapo huyo mke atawazungumziaje wanaume?!!!! Mwishowe dunia yote itaona ndo tupo hivyo....kwamba tunababuliwa tu na wake zetu na kuanza kutuundia vyama vya kijingajinga vya kutetea wanaume!Kapiga goti mwingine wewe umekata tamaa kivipi?
Beta males...
Sure ataachwa tena vibaya zaidi..wanawake hatupendi mwanaume weak..never on earth..tunajifeel insecureHuyo lazima aachwe hata akisamehewa Wakati huu.
[emoji1787][emoji1787]Kuta za nyumba zinaficha mengi.
Anaejifanya mjanja nje unaweza kuta anapigwa makonzi ndani na mkewe na hata kwa crane hamuachi huyo mwanamke.
Unaweza staajabu mtu anavimba mitaani kumbe ni ruzuku toka kwa mkewe. Sasa mtoa ruzuku akidai talaka hata kama ni wewe hutolia??
Maswala ya mapenzi hayana formula maalum, kila mtu yanamchukua kwa design yake. Kamwe usimcheke mwenzio anaetaabika na mapenzi, hayana mmoja.
Kuna jamaa alikuwa anajifanya mgumu, vyuma vingi, gangster la maana. Alikuja pigwa tukio la mapenzi akawa anasikiliza na kuimba nyimbo za Lady Jaydee huku analia.
Vuta picha bouncer linalia huku linaimba kwa hisia nyimbo ya Jaydee, Machozi.
Sure ataachwa tena vubaya zaidi..wanawaje hatupendi mwanaume weak..never in earth..tunajifeel insecure
Hujawahi kupewa mahaba weye, tulia wenzio walilie utamu.Kama sio mbususu/kibumbu basi ni tigo pamoja na harakati zake za ulainishaji (kunyonywa, kulambwa n.k), kuna kingine?!!!!