Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke akirudi Wanapima ngoma Kwanza au wanaliendeleza hivyo hivyo?Binadamu tunatofautiana hisia. Nimrshashuhudia kwa jirani yangu aliachwa na mtoto mdogo mke kakimbia kwenye ngoma huko kwao jamaa akimtafuta mke hapokei simu na unaambiwa kwenye ngoma mkewe akinogewa anagawa uroda hadibkwa mpiga ngoma. Basi siku moja napita kwake nimjulie hali nikamkuta mwanae ni mdogo bado ila anaongea kumuuliza baba yuko wapi akaniambia baba alia ile kitoto toto sikuamini nikaita jirani mwamba kutoka macho yamejaa nikahoji vipi mwamba nae akafunguka niliumia roho pia ila nilichojifunza sio kila mtu anaweza kukaza asitoe chozi kutokana na mapito yake. Yaani kibaya dem akirudi wanaendelea kama kawa kwahyo ukijidai mshauri sana unaumbuka. Namuomba sana Mungu anipe huruma kwa familia yangu ila sio swala la kulilia mtu anaetaka kuondoka
Hilo sina uhakika nalo ila nijuavyo akirudi hakuna hata ugomvi unaotokea na wanaishi kama halikutokea jambo. Anaebaki kuumia ni mwanaumeMke akirudi Wanapima ngoma Kwanza au wanaliendeleza hivyo hivyo?
Wale wandere walinitenga na jamaa zangu....Na hukumlilia hata mmoja!?
Acha kutupanga bwana, sema ukweli wako.
Exquisite [emoji2956][emoji109]Hakuna cha upendo wala nini, huyo jamaa yuko chini ya ulinzi wa malimbwata, hiyo iliwah kumtokea Rafiki yangu mmoja badae akaja kusaidiwa na Mjomba wake.
Ni kwamba, wanawake wanatuzidi sana wanaume katika mambo ya kiroho kwenye ndoa, na ndio maana wao huchelewa kufa, hv mtu kakulisha madawa ya kukufunga akili popote ulipo ni kumuwaza yeye anatembea nje unaletewa taarifa unapuuza (ndivyo malimbwata yalivyo), akikufanyia visa say amekunyima tendo miez hata 6, hiyo presha, msongo wa mawazo unakutokaje?
Huyo jamaa angefunguliwa hivyo vifungo asingemtazama huyo mwanamke mara 2, angetoa na talaka papo hapo.
.....na ndio maana bila ya mwanaume kutokuwa na moyo mkuu na wa subira matokeo ni KUJIPOTEZA wewe na malengo yako...Jamaa alikuwa safarini na mkewe wanatoka Arusha kuelekea Mbeya, muda mwingi mkewe yupo busy na simu anachat wakati mwanaume anaendesha gari yao ndogo wapo wawili tu.
Wamefika maeneo ya Mtera machakani, mke akamwambia mumewe simama nataka kuchimba dawa. Mume kasimamisha gari, mwanamke kashuka katokomea vichakani kwenda kuchimba dawa.
Unaambiwa mume alisubiri zaidi ya masaa, mkewe hatokei na akipiga simu yake mwanzo ilikuwa inaita haipokewi halafu baadaye ikawa haipatikani.
Ikamlazimu mume kwenda kuripoti kituo Cha polisi Mtera wakati huo anawasiliana na ndugu jamaa na marafiki. Baada ya muda jamaa zake walioko Iringa mjini wakampigia simu kumwambia mkewe ameonekana Iringa mjini akiwa na kijana mmoja shombe shombe wa kiarabu.
Hili lilimtokea baada ya kuwa kwenye ugomvi wa muda mrefu baina ya mume na mke, mke akidai talaka kwa kipindi kirefu bila mume kuridhia jambo hilo.
Kijana shombe shombe wa kiarabu alikuwa ni hawara wa yule mwanamke kwa zaidi ya miaka 2 ( kwa mujibu wa marafiki wa mwanaume ~mume wa yule mwanadada).
Jamaa hakuamini kilichomtokea na ndoa yao ya miaka kadhaa na watoto 3 iliishia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787]Hawa vagna group sio wa kipole pole [emoji41][emoji41][emoji41]
Wakati nipo mdogo niliwahi kushuhudia kwa kumchungulia chumbani jamaa akimlilia demu wake kuwa anamtesa!!!, yani kilio kabisa mixer kwikwi na demu anamkalisha kwa maneno ya karaha kabisa , mwishowe demu akamuamuru jamaa afute machozi ili amsamehe, na kweli yakaisha ! Mwamba alikuwa mbabe haswa na kijiji kizima tulikuwa tunamuogopa !!!Nimefadhaika, nimehuzunika, nimekasirika, nimeshangaa, nimechoka na nimekata tamaa kabisa!!
Yaani jamaa analia 'live' mbele ya wazee waliokuja kusuluhisha mgogoro wao na mkewe ambaye anadai talaka aondoke.........analia huku amempigia magoti mkewe (huku wazee wakishuhudia) akimsihi asiondoke. Dah!!!!
Wakwako vipi?Napenda wanaume wanaoshuka na kuomba msamaha.
Wengine ni wagumu mno kuomba msamaha.
Utasikia.. yaishe ..
Tafuteni namba ya huyo dada awape namba za mganga wake[emoji1][emoji1]Nimecheka sana mkuu
Daaah maskiniBinadamu tunatofautiana hisia. Nimrshashuhudia kwa jirani yangu aliachwa na mtoto mdogo mke kakimbia kwenye ngoma huko kwao jamaa akimtafuta mke hapokei simu na unaambiwa kwenye ngoma mkewe akinogewa anagawa uroda hadibkwa mpiga ngoma. Basi siku moja napita kwake nimjulie hali nikamkuta mwanae ni mdogo bado ila anaongea kumuuliza baba yuko wapi akaniambia baba alia ile kitoto toto sikuamini nikaita jirani mwamba kutoka macho yamejaa nikahoji vipi mwamba nae akafunguka niliumia roho pia ila nilichojifunza sio kila mtu anaweza kukaza asitoe chozi kutokana na mapito yake. Yaani kibaya dem akirudi wanaendelea kama kawa kwahyo ukijidai mshauri sana unaumbuka. Namuomba sana Mungu anipe huruma kwa familia yangu ila sio swala la kulilia mtu anaetaka kuondoka
Hapana kabisa. Mwanaume wa kunililia hadi magoti hata kama amenikosea ni DHAIFU sana.Tafuteni namba ya huyo dada awape namba za mganga wake[emoji1][emoji1]
Asee uko sahihi kabisa , halafu sidhani kama ni kupewa mahaba , kuna mtu unakutana naye halafu mna click tu .Umewaza uchawi lakini mapenzi ni zaidi ya uchawi na nyumba hizi zinaficha mengi,
Kabla hujafa, omba ukutane na mtu akupe mapenzi na mahaba.
Huyo jamaa ilibidi wataalamu wa saikolojia wafanye kazi ya ziada ili kumuamisha kwamba mkewe hayupo naye tena maana kumtoa tu pale Mtera ilichukua takribani siku nzima akiamini mkewe atatoka machakani alikoenda kuchimba dawa arejee kwenye gari safari yao kuelekea Mbeya iendelee. Alitamani kujiua, alijifungia ndani kwa zaidi ya miezi 2 hafanyi chochote.....mapenzi ni kitu mbaya sana yakikukalia vibaya.....na ndio maana bila ya mwanaume kutokuwa na moyo mkuu na wa subira matokeo ni KUJIPOTEZA wewe na malengo yako...
Sasa wanaume wengi tuna ufahamu huo...unaanzaje kulia na kumpigia magoti mwanamke...mbususu tu ?!! Mhhh hapo kuna namna [emoji1787]
wee ushawahi kumpa mtu mahaba?Hujawahi kupewa mahaba weye, tulia wenzio walilie utamuu