Tafuteni namba ya huyo dada awape namba za mganga wake[emoji1][emoji1]
nyie wakuu adim sana humu.nimefurahi kuwaona leo.Nimecheka sana mkuu
karibuni Tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuteni namba ya huyo dada awape namba za mganga wake[emoji1][emoji1]
nyie wakuu adim sana humu.nimefurahi kuwaona leo.Nimecheka sana mkuu
Haaa ndio ujilize ivyooAnajua anapteza kitu cha thamani na yaeza kuwa mume alimkosea mke!
Tupooo boss.... nachungulia tu bila kuandikaanyie wakuu adim sana humu.nimefurahi kuwaona leo.
karibuni Tena.
Anajambo lake huyo...Hapana kabisa. Mwanaume wa kunililia hadi magoti hata kama amenikosea ni DHAIFU sana.
Huyo mwanaume aache ufala na huyo dada awe makini
Bro umeoa?Hayo ndio matatizo ya mwanaume kutokuwa mwanaume. Huyo lazima aachwe hata akisamehewa Wakati huu.
Usipokuwa Strong Wanawake wanakufundisha kuwa strong
Mwanamke kakauka ,..anamchora TU jamaaa...Kuna huyu
Labda alitamani apigiwe yeye.Kapiga goti mwingine wewe umekata tamaa kivipi?
Labda alitamani apigiwe yeye.
Umeoa? Umeolewa?Nimefadhaika, nimehuzunika, nimekasirika, nimeshangaa, nimechoka na nimekata tamaa kabisa!!
Yaani jamaa analia 'live' mbele ya wazee waliokuja kusuluhisha mgogoro wao na mkewe ambaye anadai talaka aondoke.........analia huku amempigia magoti mkewe (huku wazee wakishuhudia) akimsihi asiondoke. Dah!!!!
Hahahaha 🤣Kapiga goti mwingine wewe umekata tamaa kivipi?
Hata nipewe dunia nzima huko chumbani bado siwezi kumpigia magoti na kulia. Tena amedai talaka yeye mwenyewe kwa hiyari yake?. Hiyo mbona simple tu,tena mbele ya wazee,anapewa asubuhi kabisa.Anayopewa chumbani unayajua?
Kua uyaone sio maghorofa.
zamasiku bibie?Anaona ni haki yeye kupigiwa magoti ila sio yeye apige