Nilivyo sasa baada ya kumfuma mwamba akilia mbele ya wazee na mkewe ili asiachwe!

Nilivyo sasa baada ya kumfuma mwamba akilia mbele ya wazee na mkewe ili asiachwe!

Shutama, limbwata au obunyiko kaisikiwe kaulanaga nzambe na bunyoro, hatari sana.
 
Nimefadhaika, nimehuzunika, nimekasirika, nimeshangaa, nimechoka na nimekata tamaa kabisa!!

Yaani jamaa analia 'live' mbele ya wazee waliokuja kusuluhisha mgogoro wao na mkewe ambaye anadai talaka aondoke.........analia huku amempigia magoti mkewe (huku wazee wakishuhudia) akimsihi asiondoke. Dah!!!!
Unafiki tu kilicho kushsngaza ni nn?umbea tu kilicho kufedhehesha hapo kitu gani?mbona hayo yote hayakukutokea wakati wanatongozana na kunyanduana?
 
Kuta za nyumba zinaficha mengi.
Anaejifanya mjanja nje unaweza kuta anapigwa makonzi ndani na mkewe na hata kwa crane hamuachi huyo mwanamke.

Unaweza staajabu mtu anavimba mitaani kumbe ni ruzuku toka kwa mkewe. Sasa mtoa ruzuku akidai talaka hata kama ni wewe hutolia??

Maswala ya mapenzi hayana formula maalum, kila mtu yanamchukua kwa design yake. Kamwe usimcheke mwenzio anaetaabika na mapenzi, hayana mmoja.

Kuna jamaa alikuwa anajifanya mgumu, vyuma vingi, gangster la maana. Alikuja pigwa tukio la mapenzi akawa anasikiliza na kuimba nyimbo za Lady Jaydee huku analia.
Vuta picha bouncer linalia huku linaimba kwa hisia nyimbo ya Jaydee, Machozi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas.
 
Mimi kuomba msamaha tu ni ngumu halafu ndo nipige magoti na kutoa machozi kabisa
 
Ilinikuta hii... Yan jamaa anatoa machozi mixer makamasi...
Nikasema siwezi tena BIG G kisa karanga za kuonjeshwa miyeee kwendraaaa..
 
Kama ni bibi mkubwa halali amlilie ,hao wakiondoka kujipanga upya ni parefusana
 
Kuna jamaa alikuwa anajifanya mgumu, vyuma vingi, gangster la maana. Alikuja pigwa tukio la mapenzi akawa anasikiliza na kuimba nyimbo za Lady Jaydee huku analia.
Vuta picha bouncer linalia huku linaimba kwa hisia nyimbo ya Jaydee, Machozi.
Dah hiki kipande! Binafsi km kidari sikupigwa tukio ila nilipitia hiki kipindi na kilinipa funzo ya kutokucheka watu wakiwa wanateseka kuhusu mapenzi #niliimbasnahiinyimbo
 
mpumbavu sana huyo sisi wengine tunaongeza mke wa sita yeye analia lia na feminist mmoja ningekua jirani ningempiga kichwa kimoja apate akili fackeni kabisa
 
Back
Top Bottom