Nilivyo sasa baada ya kumfuma mwamba akilia mbele ya wazee na mkewe ili asiachwe!

Nilivyo sasa baada ya kumfuma mwamba akilia mbele ya wazee na mkewe ili asiachwe!

Punguwani huyo, mie kama ni sehemu ya usuluhishi, namkata makofi kudadeki.
 
Nyie kuna vitu havielezeki mjue mwacheni alie
Ila kulia mbele ya wakwe mmh angejitahidi akalia peke yake
 
Comment za malijendi.
1693140355628.jpg
 
Kuta za nyumba zinaficha mengi.
Anaejifanya mjanja nje unaweza kuta anapigwa makonzi ndani na mkewe na hata kwa crane hamuachi huyo mwanamke.

Unaweza staajabu mtu anavimba mitaani kumbe ni ruzuku toka kwa mkewe. Sasa mtoa ruzuku akidai talaka hata kama ni wewe hutolia??

Maswala ya mapenzi hayana formula maalum, kila mtu yanamchukua kwa design yake. Kamwe usimcheke mwenzio anaetaabika na mapenzi, hayana mmoja.

Kuna jamaa alikuwa anajifanya mgumu, vyuma vingi, gangster la maana. Alikuja pigwa tukio la mapenzi akawa anasikiliza na kuimba nyimbo za Lady Jaydee huku analia.
Vuta picha bouncer linalia huku linaimba kwa hisia nyimbo ya Jaydee, Machozi.
ni hatari
 
Anayopewa chumbani unayajua?
Kua uyaone sio maghorofa.
Siku hizi wanawake wanaroga mno.
Wala sio maajabu yq chumbani, wanaume hawapagawi na mavitu ya bed kiasi hicho mpaka alie mbele ya wakwe.

TUnguli tunguli tunguli.
Na hizi tunguli mwisho wa siku zinawaharibia maisha ya famili, upendo na wivu vinazidi mpaka mwanaume anashindwa kufanya kazi anamuwaza mke, anashindwa kufocus na chochote anamfungia mkia mkewe.

Nimeona kabisq wanawake wakijuta kuwapa limbwata waume zao maana imekua kero. Na huyo jamaa anaelia bila shaka nae ni hivyo. Mke kaona kero anadai talaka jamaa kutoa hataki kudadeki na picha linaanza mganga keshakufa .
 
Siku hizi wanawake wanaroga mno.
Wala sio maajabu yq chumbani, wanaume hawapagawi na mavitu ya bed kiasi hicho mpaka alie mbele ya wakwe.

TUnguli tunguli tunguli.
Na hizi tunguli mwisho wa siku zinawaharibia maisha ya famili, upendo na wivu vinazidi mpaka mwanaume anashindwa kufanya kazi anamuwaza mke, anashindwa kufocus na chochote anamfungia mkia mkewe.

Nimeona kabisq wanawake wakijuta kuwapa limbwata waume zao maana imekua kero. Na huyo jamaa anaelia bila shaka nae ni hivyo. Mke kaona kero anadai talaka jamaa kutoa hataki kudadeki na picha linaanza mganga keshakufa .
Kuroga hakuna jinsia, wote Me na Ke,

Kama hujabahatika kua kwenye Mapenzi na Mahaba basi wenzio wanayapata na ndio hao wanaolia na kusaga meno wakiachwa.
 
Siku hizi wanawake wanaroga mno.
Wala sio maajabu yq chumbani, wanaume hawapagawi na mavitu ya bed kiasi hicho mpaka alie mbele ya wakwe.

TUnguli tunguli tunguli.
Na hizi tunguli mwisho wa siku zinawaharibia maisha ya famili, upendo na wivu vinazidi mpaka mwanaume anashindwa kufanya kazi anamuwaza mke, anashindwa kufocus na chochote anamfungia mkia mkewe.

Nimeona kabisq wanawake wakijuta kuwapa limbwata waume zao maana imekua kero. Na huyo jamaa anaelia bila shaka nae ni hivyo. Mke kaona kero anadai talaka jamaa kutoa hataki kudadeki na picha linaanza mganga keshakufa .

Sio mambo ya bed japo nayo yanaongezea ila kuja ile soul connection ,mtu akikugusa ni kama umepigwa na shot unajisikia tofauti ulimwengu mwingine kabisa kuna wanaume au wanawake wapo tofauti ukimpata mmoja wapo mkiachana unaweza kufa [emoji23][emoji23][emoji2957]
 
Mzeee wangu huyo bilashaka kawahiwa, kama hajanyonywa mnduku basi vibuyu vimehusika,, na watu wa hivyo akiachwa anajinyonga! Pole Dunia
 
Mzeee wangu huyo bilashaka kawahiwa, kama hajanyonywa mnduku basi vibuyu vimehusika,, na watu wa hivyo akiachwa anajinyonga! Pole Dunia
Kwani akinyonywa mnduku ndio anapagawa?
Nilidhani wanaume hamtaki hata kuguswa kalio
 
Dawa Ni Kuwa na Nyumba Ndogo ndogo Tofauti Tofauti Akizingua Mmoja Unaamsha Kwa Mwengine Wala Husikii Maumivu Sasa Wee Bakia Na Mmoja Na Ajue Unampemda Kweli Ndo Utakapo Piga Magoti Mbele ya Wanaume Wenzio na kulia kulia hovyo Mwanaume kuwa na Michepuko Some time inasaidia Kuwa Strong mbele ya Jamii na Mkeo Maana Unaamini huduma Zipo Hata Nnjee Unapata Sasa ukitulia Sehem Moja akili Inadumaa ndo hapo Utakapo pelekeshwa Na Hao Viumbe wasio Mjua Mwalimu Wao
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimefadhaika, nimehuzunika, nimekasirika, nimeshangaa, nimechoka na nimekata tamaa kabisa!!

Yaani jamaa analia 'live' mbele ya wazee waliokuja kusuluhisha mgogoro wao na mkewe ambaye anadai talaka aondoke.........analia huku amempigia magoti mkewe (huku wazee wakishuhudia) akimsihi asiondoke. Dah!!!!
 
Back
Top Bottom