Nilivyochomwa kisu tumboni na binti bubu baada ya kumtekenya hadharani

Nilivyochomwa kisu tumboni na binti bubu baada ya kumtekenya hadharani

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake, hapo mgahawani kulikuwa na mabinti watatu. Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina, hakuna mtu mtaani alijua uhusiano wetu maana ulijengwa kwa usiri.

Raha ya kudate na bubu ni kwamba siri hazitoki nje maana hawawezi kupiga umbeya. Siku moja nikaenda mgahawani kula nikamkuta anakatakata nyama nikazunguka nyuma nikamtekenya, ile ya kupush vidole viwili kwenye nyonga karibu na kiuno both sides.

Tatizo nilijisahau nikaleta masihara ya chumbani ofisini. Binti aliruka kama anataka kupaa, alivyoshuka chini tu akanichoma kisu tumboni kwa hasira.

Ilikuwa aibu sana pale kitaa, yaani naletewa uji hospitali kisa nimechomwa kisu na bubu baada ya kumtekenya hadharani.
 
Mtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake,hapo mgabawani kulikkuwa na mabinti watatu
Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina,hakuna mtu mtaani alijua uhusiano wetu maana ulijengwa kwa usiri.

raha ya kudate na bubu ni kwamba siri hazitoki nje maana hawawezi kupiga umbeya.

Siku moja nikaenda mgahawani kula nikamkuta anakatakata nyama nikazunguka nyuma nikamtekenya ile ya kupush vidole viwili kwenye nyonga karibu na kiuno.both sides.

Tatizo nilijisahau nikaleta masihara ya chumbani ofisini

Binti aliruka kama anataka kupaa ,alivyoshuka chini tu akanichoma kisu tumboni kwa hasira

Ilikuwa aibu sana pale kitaa

Yaani naletewa uji hospitali kisa nimechomwa kisu na bubu baada ya kumtekenya hadharani.
Alikuwa analinda heshima yake na kukufundisha kuheshimu wenzako
 
Mtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake,hapo mgabawani kulikkuwa na mabinti watatu
Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina,hakuna mtu mtaani alijua uhusiano wetu maana ulijengwa kwa usiri.

raha ya kudate na bubu ni kwamba siri hazitoki nje maana hawawezi kupiga umbeya.

Siku moja nikaenda mgahawani kula nikamkuta anakatakata nyama nikazunguka nyuma nikamtekenya ile ya kupush vidole viwili kwenye nyonga karibu na kiuno.both sides.

Tatizo nilijisahau nikaleta masihara ya chumbani ofisini

Binti aliruka kama anataka kupaa ,alivyoshuka chini tu akanichoma kisu tumboni kwa hasira

Ilikuwa aibu sana pale kitaa

Yaani naletewa uji hospitali kisa nimechomwa kisu na bubu baada ya kumtekenya hadharani.
Nacheka kabla ya kusoma[emoji1787]
 
Mtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake,hapo mgabawani kulikkuwa na mabinti watatu
Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina,hakuna mtu mtaani alijua uhusiano wetu maana ulijengwa kwa usiri.

raha ya kudate na bubu ni kwamba siri hazitoki nje maana hawawezi kupiga umbeya.

Siku moja nikaenda mgahawani kula nikamkuta anakatakata nyama nikazunguka nyuma nikamtekenya ile ya kupush vidole viwili kwenye nyonga karibu na kiuno.both sides.

Tatizo nilijisahau nikaleta masihara ya chumbani ofisini

Binti aliruka kama anataka kupaa ,alivyoshuka chini tu akanichoma kisu tumboni kwa hasira

Ilikuwa aibu sana pale kitaa

Yaani naletewa uji hospitali kisa nimechomwa kisu na bubu baada ya kumtekenya hadharani.
Masikhara hayo siyo bubu tu, hata asiyekuwa bubu angekuzingu. Kuwa mstaarabu.
 
😅😅hivi bubu unamuombaje mchezo? Story za tabia mbaya unapigaje naye
 
Back
Top Bottom