Mtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake,hapo mgabawani kulikkuwa na mabinti watatu
Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina,hakuna mtu mtaani alijua uhusiano wetu maana ulijengwa kwa usiri.
raha ya kudate na bubu ni kwamba siri hazitoki nje maana hawawezi kupiga umbeya.
Siku moja nikaenda mgahawani kula nikamkuta anakatakata nyama nikazunguka nyuma nikamtekenya ile ya kupush vidole viwili kwenye nyonga karibu na kiuno.both sides.
Tatizo nilijisahau nikaleta masihara ya chumbani ofisini
Binti aliruka kama anataka kupaa ,alivyoshuka chini tu akanichoma kisu tumboni kwa hasira
Ilikuwa aibu sana pale kitaa
Yaani naletewa uji hospitali kisa nimechomwa kisu na bubu baada ya kumtekenya hadharani.