Hata Empire cinema zamani kulikuwa na gate man bubu hataki maneno ni mwendo wa tiketi tuKuna club nliwahi kwenda huko mkoani, baunsa pale mlangoni ni bubu.
Aisee pale hakuna soundi, huna hela huchomi ndani hakuna mastori. Ukizingua ukiwa ndani akiitwa tu akaja, yeye anakubeba anakurusha nje utajua mwenyewe. Hakuna kuanza kujielezea. Na ukitolewa nje haurudi tena labda kama una namba ya meneja umcheki aje akushike mkono uingie nae.
Mtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake,hapo mgabawani kulikkuwa na mabinti watatu
Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina,hakuna mtu mtaani alijua uhusiano wetu maana ulijengwa kwa usiri.
raha ya kudate na bubu ni kwamba siri hazitoki nje maana hawawezi kupiga umbeya.
Siku moja nikaenda mgahawani kula nikamkuta anakatakata nyama nikazunguka nyuma nikamtekenya ile ya kupush vidole viwili kwenye nyonga karibu na kiuno.both sides.
Tatizo nilijisahau nikaleta masihara ya chumbani ofisini
Binti aliruka kama anataka kupaa ,alivyoshuka chini tu akanichoma kisu tumboni kwa hasira
Ilikuwa aibu sana pale kitaa
Yaani naletewa uji hospitali kisa nimechomwa kisu na bubu baada ya kumtekenya hadharani.
Naona ww umekua sasa unashika watu nyonga kwenye biashara zao hebu usijikute jitu zima na kama ni hivyo ww ni mtu mzima wa hovyo sanaWe bado mtoto mdogo ukikua utaelewa
Unajua hii ni stori ya mwaka gani?Naona ww umekua sasa unashika watu nyonga kwenye biashara zao hebu usijikute jitu zima na kama ni hivyo ww ni mtu mzima wa hovyo sana
Kwahyo utahadithia wajukuu zako kwamba ulimtekenya bubu ukachomwa kisu labda hao wajukuu wamsikilize babu wa hovyo na kwa akili zako sijui kama utaona wajukuu maana hata busara ya uandishi huna 😂😂😂😂😂 jitetee ila ww ni binadamu wa hovyo sanaUnajua hii ni stori ya mwaka gani?
Ujana wetu tumefanya ujinga mwingi sana ukiamua kuleta visa humu server itajaa.
Watoto wa siku hizi ni broilers tu hamna cha kuhadithia wajukuu
😂😂😂we jamaa wewe😂
Ukitaka kubadili style nyingine ni kumbinua tu kwa nguvu.
Ila kazi Mwanamke akutane na bubu wa kiume😅
Nini tena mamsapu?😅😂😂😂we jamaa wewe
😂😂huyu jamaa ni noma yaanNini tena mamsapu?😅
Pole aiseeMtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake,hapo mgabawani kulikkuwa na mabinti watatu
Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina,hakuna mtu mtaani alijua uhusiano wetu maana ulijengwa kwa usiri.
raha ya kudate na bubu ni kwamba siri hazitoki nje maana hawawezi kupiga umbeya.
Siku moja nikaenda mgahawani kula nikamkuta anakatakata nyama nikazunguka nyuma nikamtekenya ile ya kupush vidole viwili kwenye nyonga karibu na kiuno.both sides.
Tatizo nilijisahau nikaleta masihara ya chumbani ofisini
Binti aliruka kama anataka kupaa ,alivyoshuka chini tu akanichoma kisu tumboni kwa hasira
Ilikuwa aibu sana pale kitaa
Yaani naletewa uji hospitali kisa nimechomwa kisu na bubu baada ya kumtekenya hadharani.
Angetoa utumbo kabisa na kutoa macho yoteMtaani kuna mama alikuwa na mgahawa wake,hapo mgabawani kulikkuwa na mabinti watatu
Mmoja kati ya hao mabinti alikuwa bubu na nilikuwa nampelekea moto kiaina,hakuna mtu mtaani alijua uhusiano wetu maana ulijengwa kwa usiri.
raha ya kudate na bubu ni kwamba siri hazitoki nje maana hawawezi kupiga umbeya.
Siku moja nikaenda mgahawani kula nikamkuta anakatakata nyama nikazunguka nyuma nikamtekenya ile ya kupush vidole viwili kwenye nyonga karibu na kiuno.both sides.
Tatizo nilijisahau nikaleta masihara ya chumbani ofisini
Binti aliruka kama anataka kupaa ,alivyoshuka chini tu akanichoma kisu tumboni kwa hasira
Ilikuwa aibu sana pale kitaa
Yaani naletewa uji hospitali kisa nimechomwa kisu na bubu baada ya kumtekenya hadharani.
Nae ni binadamu lzm awe na matamanio ya sexMmh humu kuna vituko sana yaani umekosa waongeaji unaenda kumla bubu aisee nyie ndio hadi vichaa mnawala kabisa na ndio mnawapaga mimba unamkuta kichaa mjini anawatoto kwanini msiwe na limit??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duhhhh Wana balaaKuna club nliwahi kwenda huko mkoani, baunsa pale mlangoni ni bubu.
Aisee pale hakuna soundi, huna hela huchomi ndani hakuna mastori. Ukizingua ukiwa ndani akiitwa tu akaja, yeye anakubeba anakurusha nje utajua mwenyewe. Hakuna kuanza kujielezea. Na ukitolewa nje haurudi tena labda kama una namba ya meneja umcheki aje akushike mkono uingie nae.
Mxiuuu hadi bubu mnakosea bahna kabisa Bora zeru zeruNae ni binadamu lzm awe na matamanio ya sex