Nilivyochomwa kisu tumboni na binti bubu baada ya kumtekenya hadharani

Hata Empire cinema zamani kulikuwa na gate man bubu hataki maneno ni mwendo wa tiketi tu
 
Ndo ukome
 
Kwa ujinga ulio nao huwez ishi ww naona kabisa ukifa kisa ngono unaleta mazoea wakati bubu ana mabwana zake wanamnunuza msosi kwa bei nzuri kukuzidi
We bado mtoto mdogo ukikua utaelewa
 
We bado mtoto mdogo ukikua utaelewa
Naona ww umekua sasa unashika watu nyonga kwenye biashara zao hebu usijikute jitu zima na kama ni hivyo ww ni mtu mzima wa hovyo sana
 
Naona ww umekua sasa unashika watu nyonga kwenye biashara zao hebu usijikute jitu zima na kama ni hivyo ww ni mtu mzima wa hovyo sana
Unajua hii ni stori ya mwaka gani?
Ujana wetu tumefanya ujinga mwingi sana ukiamua kuleta visa humu server itajaa.
Watoto wa siku hizi ni broilers tu hamna cha kuhadithia wajukuu
 
Mkuu ulimtongozaje huyo bubu[emoji2][emoji2][emoji2],tupe maujanja
 
Unajua hii ni stori ya mwaka gani?
Ujana wetu tumefanya ujinga mwingi sana ukiamua kuleta visa humu server itajaa.
Watoto wa siku hizi ni broilers tu hamna cha kuhadithia wajukuu
Kwahyo utahadithia wajukuu zako kwamba ulimtekenya bubu ukachomwa kisu labda hao wajukuu wamsikilize babu wa hovyo na kwa akili zako sijui kama utaona wajukuu maana hata busara ya uandishi huna 😂😂😂😂😂 jitetee ila ww ni binadamu wa hovyo sana
 
Kwa hiyo ushatoka hospitali au bado unaendelea kugonga uji hospitalini
 
Pole aisee
 
Angetoa utumbo kabisa na kutoa macho yote
 
Mmh humu kuna vituko sana yaani umekosa waongeaji unaenda kumla bubu aisee nyie ndio hadi vichaa mnawala kabisa na ndio mnawapaga mimba unamkuta kichaa mjini anawatoto kwanini msiwe na limit??
Nae ni binadamu lzm awe na matamanio ya sex
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duhhhh Wana balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…