1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Wakisitisha huduma asipige mayowe.🤣Anawavimbia mabeberu
Huyo mama sasa kanogewa na hayo madaraka!1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Unafahamu kwamba kuna vyombo vya ulinzi na vyombo vya usalama? Vyombo vinavyotuhumiwa ni vya usalama.Vyombo vya ulinzi
Lakini Bado ni tuhuma hazijathibishwa
Vipi kuhusu inaposemwa "ulinzi wa raia na mali zao"?Unafahamu kwamba kuna vyombo vya ulinzi na vyombo vya usalama? Vyombo vinavyotuhumiwa ni vya usalama.
Ni usalama wa raia na mali zao. Ulinzi(defence) ni Jeshi. Na Jeshi halihusiki na mambo ya kiraia.Vipi kuhusu inaposemwa "ulinzi wa raia na mali zao"?
Hatuna Rais bali picha ya mtu mwanamke katika Ikulu!1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Kwa hiyo polisi hufanya nini kwa raia na mali zao?Ni usalama wa raia na mali zao. Ulinzi(defence) ni jeshi. Na jeshi halihusiki na mambo ya kiraia.
Haki Huinua Taifa1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea