Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hama nchi. Hamia kwa wenye akili kama wewe!Watanganyika kazi mnayo.
Watanganyika wajinga sana.
One lady from small village ana mamlaka juu ya Tanganyika yote na wakuu wa usalama wanampigia salute while Mtanganyika haruhusiwi hata kuwa Sheha wa nyumba kumi huko kwao
Ni usalama na ni chombo cha usalama. Ukisikia kamati ya Ulinzi na usalama ujue Ulinzi ndio Jeshi na vyombo vingine hivyo ndio vyombo vya usalama. Tiss, uhamiaji, polisi, magereza na zimamoto ndio vyombo vya usalama.Kwa hiyo polisi hufanya nini kwa raia na mali zao?
Kwa huyu maza tulipigwa asee1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Tangu amekuwa Rais miaka 4 hajawahi kufika Wilaya ya Rombo lakini Marekani ameshaenda zaidi ya mara 10, eti ana watishaHalafu anawakoromea wale anawatembezea bakuli.
Unajichanganya.Acha ubishi.Ni usalama na ni chombo cha usalama. Ukisikia kamati ya Ulinzi na usalama ujue Ulinzi ndio Jeshi na vyombo vingine hivyo ndio vyombo vya usalama. Tiss, uhamiaji, polisi, magereza na zimamoto ndio vyombo vya usalama.
Leo kavurugwa mnooooo, sidhani kama kuna MTU kamuelewa, kila alichoongea kilikua kinaji-contradict1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Vyote vinalinda nchi.Unafahamu kwamba kuna vyombo vya ulinzi na vyombo vya usalama? Vyombo vinavyotuhumiwa ni vya usalama.
Unataka ni sisi tuone hivyo?1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Katiba inasema ulizi unatolewa na jamii-polisi siyo jamii bali sehemu ya jamiiVipi kuhusu inaposemwa "ulinzi wa raia na mali zao"?
Wewe naye ndiyo bure beleshi.Katiba inasema ulizi unatolewa na jamii-polisi siyo jamii bali sehemu ya jamii
Kama taifa tumepoteza macho.Dola imechanganyikiwa na haifikiri tena sawa sawa,1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama
2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23
3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania
4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji
5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP
6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Katafute maana ya defence and security kwanza. Hiyo ni elimi ya uraia form 1.Vyote vinalinda nchi.