Nilivyoelewa hotuba ya Rais Samia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi

Nilivyoelewa hotuba ya Rais Samia kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi

1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama

2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23

3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania

4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji

5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP

6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Kwa huyu maza tulipigwa asee
 
1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama

2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23

3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania

4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji

5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP

6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Leo kavurugwa mnooooo, sidhani kama kuna MTU kamuelewa, kila alichoongea kilikua kinaji-contradict
 

Attachments

  • 1726586023375.jpg
    1726586023375.jpg
    535.3 KB · Views: 1
1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama

2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23

3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania

4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji

5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP

6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Unataka ni sisi tuone hivyo?
 
1. Mh Rais nadhani haamini kama wengi tunavoamini kwamba suspect wa kwanza wa mauji ya usalama ni vyombo vya ulinzi na usalama

2. Nimeona akilaumu wanasiasa ati wanataka kuvunja amani yetu Sasa amani Gani tunayo Kwa Sasa watu wanatoka uhakika wa kurejea ni mdogo sana. Nadhani amani inatoweka hata kabla ya maandano ya amani yanayopangwa trh 23

3 4R anaona ni kama hisani, sio haki Kwa Watanzania

4.Anatamani kutumia philosophy za mtangulizi wake Kuwabana wakosoaji

5. Hana mpango wa kumwajibisha waziri Masauni na IGP

6. Rushwa, mauji kubambikia watu kesi Wanayotuhumiwa nayo polisi hajayazungumzia wala kuyakemea
Kama taifa tumepoteza macho.Dola imechanganyikiwa na haifikiri tena sawa sawa,
 
Katiba inasema ulizi unatolewa na jamii-polisi siyo jamii bali sehemu ya jamii
🤣We jamaa sijui kichwani umejaza Nini

Yaani polisi pale benk Huwa wanafanya Nini kama sio ulinzi

Mahakamani?
Doria?
 
Naona sasa ujasiri wa kuongoza nchi unakuja. Hayo ndio mambo mama. Pale alipowarudishaga walele watoto pendwa nikajua ashatepeta lakini alivyowatoa baadhi na kauli ya Leo naona ujasiri umeongezeka
 
Back
Top Bottom