Nilivyofanikiwa kubadili majina yangu yaliyokosewa NIDA

Mimi changu kilikuwa na makosa jina mwisho lipo kati, na lineongezwa herufi moja, la kati lipo mwisho...sasa sababu nilikuwa na haraka nacho nilikuwa nataka kusafiri nikakitumia kutafutia passport, na kufungulia account, sasa nitaka niweke taarifa zangu sawa, passport tayari bado Nida hizo process jau kinoma.
 
Inakuaje hadi jina lako linakosewa?
Kama uliwapa documents sahihi na wao wakakosea kosa ni lako au lao? Lakini kabla ya kuweka alama za vidole si wanakuonesha kuthibitisha majina yako?
Ule usajiri wa fasta fasta 2020 ulitengeneza tatizo kubwa sana watu wengi majina yao yamekosewa herufi.
Unaitwa Idd wanakuandikia Idi au Adolf wanaandika Adofu
 


Lilipaswa kuwa zoezi jepesi sana simply kwa ku produce birth certificate au vyeti vya chuo.
 
Ule usajiri wa fasta fasta 2020 ulitengeneza tatizo kubwa sana watu wengi majina yao yamekosewa herufi.
Unaitwa Idd wanakuandikia Idi au Adolf wanaandika Adofu
Duuh kuumbe, sikulijua hili ni kama kipindi kile cha Kitambulisho cha Mpiga Kura, mambo yalikua hovyo hovyo
 
Hongera
 
Hii nchi iko complicated sana

Me kipindi nafatilia passport yangu ..walikosea tarehe ya kuzaliwa kutokana na cheti cha kuzaliwa kilikua na makosa kwenye tarehe ya kuzaliwa
yule afisa uhamiaji tutakubaliana nkashughulikie cheti cha kuzaliwa then nlete copy sahihi ya cheti kipya ,nkafanya hvyo cha ajabu passport ikatoka na tarehe ya zamani ya cheti chenye makosa...nlimind sana

Ikabidi nifanye mchakato upya wa ku apply passport nyingine ...kwenye hichi kipengele nlikutana na vikwazo mpaka ikabidi nikubali kutoa hela ili wanisaidie chap...ila bila hvyo ningehangaika sana
 
Kumbe una mtoto over 18
 
Reactions: ram
HUMEFANYA jambo la MAHANA sana kuweka hizo TAHARIFA hapa. HASANTE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…