Nilivyofanikiwa kubadili majina yangu yaliyokosewa NIDA

Nilivyofanikiwa kubadili majina yangu yaliyokosewa NIDA

Deadpool sasa hivi ni elf 33,000 kwa msajili wa mahakama / huku mwanza mahakama za ardhi kama unaenda kamanga karibu na nyamagana stadium🏟 lakini kuandaliwa deed poll inaandaliwa na mwanasheria yeyote mwenye mhuri malipo ni makubaliano yenu kuanzia elfu 10000.
 
Jumla ya gharama ni kama TSh 140,000 na usafiri kila kitu. Hii ni njia ndefu ambayo inaweza chukua mwezi na nusu, Ila kuna wahuni wanatoa kila kitu siku hiyohiyo kwa gharama kama hiyo . Kasoro tu kitambulisho
Hao wahuni wako wapi,?
 
Nilifanya mabadiliko ya mwaka wa kuzaliwa mwezi wa 4 mwishoni, nitajuaje kama taarifa zimesha badilika kwenye mfumo? Msaada tafadhali. Maana kuhusu namba ya nida walisema haibadiliki inabaki hiyo hiyo hata baada ya taarifa kuwa zimebadilija
 
Ukienda ofisi ya NIDA unakuta wamebandika Matangazo ya Utaratibu unaotakiwa kufanya kwa tatizo lo lote!
Ila kiukweli ni shughuli pevu.
 
Wapo wap awooo jmn nna shida nao nipo Arusha 0766252359
Jumla ya gharama ni kama TSh 140,000 na usafiri kila kitu. Hii ni njia ndefu ambayo inaweza chukua mwezi na nusu, Ila kuna wahuni wanatoa kila kitu siku hiyohiyo kwa gharama kama hiyo . Kasoro tu kitambulishojm
 
hivi wakuu deedpoll unaweza ifanyia lamination na ikawa sahihi kuitumia?
 
Back
Top Bottom