Nilivyofanikiwa kubadili majina yangu yaliyokosewa NIDA

Nilivyofanikiwa kubadili majina yangu yaliyokosewa NIDA

Binti yangu kafanikiwa kubadilisha, lkn huko ardhi hatukwenda. Shida ni kwamba wafanyakazi wa nida wao wenyewe hawana taarifa sahihi ya nini cha kufanya, ukienda leo unaambiwa kalete moja, mbili, tatu, kesho yake ukienda unakutana na mwingine nae anakwambia kafanye moja mbili tatu.....nenda rudi ni nyingi but tulifanikiwa
Sio kama hawajui taratibu,ni uvivu tu
 
  • Thanks
Reactions: ram
Kwenye hiyo process nzima viambatanisho gani vinahitajika.

Maana kuna mtu anataka kubadili majina kwenye nida ili yaendane na yaliyo kwenye cheti cha kuzaliwa cha mwanae( ambae ni muajiriwa mpya).
Lengo aweze kufunguliwa BIMA.

Hana cheti chochote zaidi ya nida na cha mpiga kura( vyote majina hayafanani na cheti cha kuzaliwa cha mwanae)
 
usumbufu wote uo hlf uwezi hata kuchukulia mkopo icho cheti
 
Wale ambao majina Yao yalikosewa makusudi na hawakufuatilia Kuna usalama wa kiumiliki au ndo vishapigwa?
 
Duh kwa mlolongo huu, nashukuru jina langu halijakosewa maana sio poa

Kuna namna ya kufanya utaratibu uwe rahisi kidogo badla yake vheti cha kuzaliwa kitumike kumbadilishia mtu jina, labda na cha elimu kama kiambatanishi cha ziada maana vile huwa havibadiliki
 
Hii nchi iko complicated sana

Me kipindi nafatilia passport yangu ..walikosea tarehe ya kuzaliwa kutokana na cheti cha kuzaliwa kilikua na makosa kwenye tarehe ya kuzaliwa
yule afisa uhamiaji tutakubaliana nkashughulikie cheti cha kuzaliwa then nlete copy sahihi ya cheti kipya ,nkafanya hvyo cha ajabu passport ikatoka na tarehe ya zamani ya cheti chenye makosa...nlimind sana

Ikabidi nifanye mchakato upya wa ku apply passport nyingine ...kwenye hichi kipengele nlikutana na vikwazo mpaka ikabidi nikubali kutoa hela ili wanisaidie chap...ila bila hvyo ningehangaika sana
Aisee
 
nlifanikiwa kubadili jina kwa kupitia hatua nilizoelekezwa NIDA (baadhi umezitaja) ila ni ndani ya 2 weeks kila kitu kilikuwa sawa..,
Mwenyezi Mungu awabariki wafanyakaz wa NIDA Ilala kuanzia mlinzi wa getini hadi afisa wa NIDA kule ghorofani kwa ushirikiano mlionipa.
*Kwa mara ya kwanza nilipata customer care nzuri.
 
Mkuu Mimi Kuna kipnd kama 2017 iv nlikuwa msaidiz, wa wale ma operator wa zile biometric...kwa bahat mbaya wasinamiz wakuu walinambia kama Kuna mtu fingerprnt hazisomi muwekee tu vdole viwil at least ili wapitishe kitabulisho...aysee...taarifa ziliingiliana na kupelekea kutopata namba....tangia kpnd hicho naangaika mpk juzi waliponambia niende makao makuu kuomba kibali Cha kubadili taarifa ...sasa hapa umenipa Tena hofu kwamba kumbe kibali kinaweza kuchelewa mpk miez 3 wkt nakihitaji mwez huuwa kwanza Kwan namba inahiyajika kazin....ningeomba kama Kuna namna ya kukipata kibali kwa njia ya shortcut unipe ili nifanikishe kubadili taarifa
 
Back
Top Bottom