Nilivyofyeka shamba la jamaa aliyeniibia mpenzi wangu

Nilivyofyeka shamba la jamaa aliyeniibia mpenzi wangu

Katika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki kuingiza milioni tatu ilikuwa kawaida na angeweza kuvuna kila wiki kwa miezi mitatu.

Mimi zao langu lilikuwa bado nikasikia jamaa anatoka na mpenzi wangu Nikamuonya kistaarabu akanijibu shit. Nikasafiri kwenda mkoa mwingine huku nyuma nikaacha vijana usiku wa manane wakafyeka lile zao lililokuwa linampa kiburi na ndio ukawa mwisho wa penzi lao jamaa akahama na mkoa.

Sipendagi ujinga

Hii najua haikupunguza maumivu ya kuchukuliww mwanamke na wala haukumaliza kiu yako ya kisasi!
Mwanamke alikurudia baada ya kumuacha jamaa?
 
Katika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki kuingiza milioni tatu ilikuwa kawaida na angeweza kuvuna kila wiki kwa miezi mitatu.

Mimi zao langu lilikuwa bado nikasikia jamaa anatoka na mpenzi wangu Nikamuonya kistaarabu akanijibu shit. Nikasafiri kwenda mkoa mwingine huku nyuma nikaacha vijana usiku wa manane wakafyeka lile zao lililokuwa linampa kiburi na ndio ukawa mwisho wa penzi lao jamaa akahama na mkoa.

Sipendagi ujinga
Ni ujinga, ungedeal na mpenzi wako.mwenye tamaa. Hakumshikia bunduki ukiendelea hivyo utafyeka mashamba ya watu wa ngapi? Badala ya kudeal ma tatizo una deal na matokeo. Hakukuibia ila alimtongoza akakubali
 
Katika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki kuingiza milioni tatu ilikuwa kawaida na angeweza kuvuna kila wiki kwa miezi mitatu.

Mimi zao langu lilikuwa bado nikasikia jamaa anatoka na mpenzi wangu Nikamuonya kistaarabu akanijibu shit. Nikasafiri kwenda mkoa mwingine huku nyuma nikaacha vijana usiku wa manane wakafyeka lile zao lililokuwa linampa kiburi na ndio ukawa mwisho wa penzi lao jamaa akahama na mkoa.

Sipendagi ujinga
image_search_1643135482080.jpg
 
Kama huyo mwanamke unaye mpaka leo basi unashida sana! Kama alimtamani wa m3 jua hapo mtaani hadi wa laki 3 anaye
 
We ngoja kupigwa kipapai ukashindwa dampo tu huwezi kufyeka kirahisi ivyo
 
Back
Top Bottom