Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki kuingiza milioni tatu ilikuwa kawaida na angeweza kuvuna kila wiki kwa miezi mitatu.
Mimi zao langu lilikuwa bado nikasikia jamaa anatoka na mpenzi wangu Nikamuonya kistaarabu akanijibu shit. Nikasafiri kwenda mkoa mwingine huku nyuma nikaacha vijana usiku wa manane wakafyeka lile zao lililokuwa linampa kiburi na ndio ukawa mwisho wa penzi lao jamaa akahama na mkoa.
Sipendagi ujinga
Ni ujinga, ungedeal na mpenzi wako.mwenye tamaa. Hakumshikia bunduki ukiendelea hivyo utafyeka mashamba ya watu wa ngapi? Badala ya kudeal ma tatizo una deal na matokeo. Hakukuibia ila alimtongoza akakubaliKatika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki kuingiza milioni tatu ilikuwa kawaida na angeweza kuvuna kila wiki kwa miezi mitatu.
Mimi zao langu lilikuwa bado nikasikia jamaa anatoka na mpenzi wangu Nikamuonya kistaarabu akanijibu shit. Nikasafiri kwenda mkoa mwingine huku nyuma nikaacha vijana usiku wa manane wakafyeka lile zao lililokuwa linampa kiburi na ndio ukawa mwisho wa penzi lao jamaa akahama na mkoa.
Sipendagi ujinga
Unajuaje kama na yeye ni mrogaji?Huyo boya, yaani usirudie tena utalogwa ufe.
Inavyoonekana mleta mada hata waungane waganga dunia nzima anawamuduUmeniwahi ndio nilichotaka kuandika
Bora yake amekuja kujisema huku na mimi nasema kitakachotokea aje alete mrejesho
Nilishapata mganga
Katika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki kuingiza milioni tatu ilikuwa kawaida na angeweza kuvuna kila wiki kwa miezi mitatu.
Mimi zao langu lilikuwa bado nikasikia jamaa anatoka na mpenzi wangu Nikamuonya kistaarabu akanijibu shit. Nikasafiri kwenda mkoa mwingine huku nyuma nikaacha vijana usiku wa manane wakafyeka lile zao lililokuwa linampa kiburi na ndio ukawa mwisho wa penzi lao jamaa akahama na mkoa.
Sipendagi ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimechekaKama jendawazimu tu.
Siku akiamka hana KUBWA yake ndo atajua ajuiHuyo anakutafutia mganga, mkuu utakuja hadithiaa hapa... Yan unaharbu mali ya mwenzako kisa uchi usiokuwa na makombo
Gu family book. Series ya kwanza kabisa kuiangalia hadi mwishoipo siku ntakushika t br....[emoji53]
Tufyeke mashamba ya wanaotuibia wapenzi....Hapa tumepata nini jamani?
😂😂😂😂 niliwahi kusikia pia, ukigombana na mmeru anafyeka mazao yako, ukikimbia anaenda barabarani anasimamisha kila gari anakutafutaWe jamaa utakuwa Mmeru. Ndio wana tabia hizo.