Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo dhambi hyo...itakutafuna...usigombane na mwanaume mwenzio kisa mwanamke! Ungempga huyo Mwanamke kwa sabb ana tamaaKatika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki kuingiza milioni tatu ilikuwa kawaida na angeweza kuvuna kila wiki kwa miezi mitatu.
Mimi zao langu lilikuwa bado nikasikia jamaa anatoka na mpenzi wangu Nikamuonya kistaarabu akanijibu shit. Nikasafiri kwenda mkoa mwingine huku nyuma nikaacha vijana usiku wa manane wakafyeka lile zao lililokuwa linampa kiburi na ndio ukawa mwisho wa penzi lao jamaa akahama na mkoa.
Sipendagi ujinga
[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]Katika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki kuingiza milioni tatu ilikuwa kawaida na angeweza kuvuna kila wiki kwa miezi mitatu.
Mimi zao langu lilikuwa bado nikasikia jamaa anatoka na mpenzi wangu Nikamuonya kistaarabu akanijibu shit. Nikasafiri kwenda mkoa mwingine huku nyuma nikaacha vijana usiku wa manane wakafyeka lile zao lililokuwa linampa kiburi na ndio ukawa mwisho wa penzi lao jamaa akahama na mkoa.
Sipendagi ujinga