Nilivyokula kuber mara ya kwanza

Nilivyokula kuber mara ya kwanza

mbona mtandao wako hauna mzuka? reply zake za kidwanzi alafu mpaka uzipitshe wew🤣

dah Isa wewe kweli ni mkoloni🤣
Mkuu mzuka gani? Kwa reply 3 za mwanzo lazima ziwe reviewed, pia baadae nikipata kiasi fula nitaugrade kuwa kama huu ila mtaji sina for now
 
Mkuu mzuka gani? Kwa reply 3 za mwanzo lazima ziwe reviewed, pia baadae nikipata kiasi fula nitaugrade kuwa kama huu ila mtaji sina for now
Huu mtandao uko hapa miaka zaidi ya kumi na mbili na bado hata watu online 1000000 hauna
kafunge tu tukafanye vitu vya msingšŸ˜€
 
Huu mtandao uko hapa miaka zaidi ya kumi na mbili na bado hata watu online 1000000 hauna
kafunge tu tukafanye vitu vya msingšŸ˜€
Sawa karibu nataka niweke jukwaa la wakubwaa
 
Ni aina flan ya tumbaku lakini ilikuwa blaa
Mwambie tu ni Ugolo wa kihindi ulichanganywa na Bangi na majani mengine km Karafuu tunduizi, Ila unawekwa mdomoni na unachemka balaa Ugolo wenu wa kibongobongo ukasome

Rizra haijapigwa marufuku Ila Kuber ilipigwa marufuku faster wanaopiga marufuku na wenyewe wanaitumia, watapigaje marufuku Rizra wataipata wapi wakitaka kunyonga mjani ?
 
Magadi yanaongeza nini?
Yanakata stimu za kusex yanakata network hauhitaji na haujisikii kungonoka, pia yanaongeza test ya Ugolo kua mkali wengine wanawekaga na kichwa kile Cha mdizi mkungu wa ndizi pamoja na ule mkanda wake ni bonge moja la stimu hio NI locally prepared na Bibi huko kiwandani Cha kienyeji
 

Ilikuwa mwaka 2004 nikiwa darasa la 6. Alikuja ndugu yangu toka mjini na kuja na kuber. Ilikuwa jioni flan kijijini wakatii huo kumetulia watu tunasubiri ugali wa usiku, kipindi hicho hakuna milo miwili wala mitatu, asubuhi uji,mchana matunda shambani usiku ndio chakula.

Nimekaa njaa inanisokota kweli, ndugu yangu akaja na mjomba wake ambaye nae alizimwa mchana kwa zaga hilo hilo. Kwa ushamba nikaomba nionje,nilivyonusa tu, nikahisi harufu kaali sana,yan zaidi ya ugoro,nikauliza hii si kama ugoro(sababu ugoro naujua na siupendi)wajamaa huu tofauti onja uone utakayokuwa kama huyu jamaa kwenye picha hapa.

Nikapewa nikaweka mdomoni, akaniambia usimeze, nikajichanganya nikachuka mate nikameza. Niliambaa na ukuta mpaka chumbani, nilikuja kushtuka asubuhi saa 12 asubuhi pamoja na njaa yangu sikuweza kula chakula tena. Sitosahau tukio hili la kuber.

Je unakumbuka nini?
Mwaka 2001 nikiwa Dodoma barabara ya 11. Nilikuwa nacheza karata na jamaa fulani wachagga (wauza maduka), mmoja alikuwa anakula sana kuber. Nikamuomba, akanipa. Nikaiweka mdomoni sijui ikawaje nikameza mate. Tumbo likaanza kama kuvuruga hivi na nikahisi kama kizunguzungu..kumbe nilikuwa nimelewa.

Sikuwahi kurudia ulevi ule
 
Mwaka 2001 nikiwa Dodoma barabara ya 11. Nilikuwa nacheza karata na jamaa fulani wachagga (wauza maduka), mmoja alikuwa anakula sana kuber. Nikamuomba, akanipa. Nikaiweka mdomoni sijui ikawaje nikameza mate. Tumbo likaanza kama kuvuruga hivi na nikahisi kama kizunguzungu..kumbe nilikuwa nimelewa.

Sikuwahi kurudia ulevi ule
Ile ilikuwa zaidi ya madawa, ukimeza mate tu tayari umelewa
 
Back
Top Bottom