Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Njoo kwenye mtandao wake kule au kwa sababu hakuna mademušhuyo dogo nimemshindwa, sipendi vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo kwenye mtandao wake kule au kwa sababu hakuna mademušhuyo dogo nimemshindwa, sipendi vita
una akili wewe šhakuna mademuš
Mkuu mzuka gani? Kwa reply 3 za mwanzo lazima ziwe reviewed, pia baadae nikipata kiasi fula nitaugrade kuwa kama huu ila mtaji sina for nowmbona mtandao wako hauna mzuka? reply zake za kidwanzi alafu mpaka uzipitshe wewš¤£
dah Isa wewe kweli ni mkoloniš¤£
Nilikuwa nakuonaga mtu mwenye akili lakini wewe huna tofauti na kenge wengine walike picha za makaliohuyo dogo nimemshindwa, sipendi vita
sawa sawaNilikuwa nakuonaga mtu mwenye akili lakini wewe huna tofauti na kenge wengine walike picha za makalio
Huu mtandao uko hapa miaka zaidi ya kumi na mbili na bado hata watu online 1000000 haunaMkuu mzuka gani? Kwa reply 3 za mwanzo lazima ziwe reviewed, pia baadae nikipata kiasi fula nitaugrade kuwa kama huu ila mtaji sina for now
mshamba_hachekwi si mshikaji wako lakini acha kutoa checheš¤£Nilikuwa nakuonaga mtu mwenye akili lakini wewe huna tofauti na kenge wengine walike picha za makalio
Sawa karibu nataka niweke jukwaa la wakubwaaHuu mtandao uko hapa miaka zaidi ya kumi na mbili na bado hata watu online 1000000 hauna
kafunge tu tukafanye vitu vya msingš
UGOLO wanamix na magadi plus Energy drinks kupatia stimuDah serikali izirudishe tuā¦maana vijana saivi wametumbukia kwenye bangi tu
haha mpaka tuwe na VPN au sio?Sawa karibu nataka niweke jukwaa la wakubwaa
Mwambie tu ni Ugolo wa kihindi ulichanganywa na Bangi na majani mengine km Karafuu tunduizi, Ila unawekwa mdomoni na unachemka balaa Ugolo wenu wa kibongobongo ukasomeNi aina flan ya tumbaku lakini ilikuwa blaa
Magadi yanaongeza nini?UGOLO wanamix na magadi plus Energy drinks kupatia stimu
Yanakata stimu za kusex yanakata network hauhitaji na haujisikii kungonoka, pia yanaongeza test ya Ugolo kua mkali wengine wanawekaga na kichwa kile Cha mdizi mkungu wa ndizi pamoja na ule mkanda wake ni bonge moja la stimu hio NI locally prepared na Bibi huko kiwandani Cha kienyejiMagadi yanaongeza nini?
Nishapita forums nyingi sana sema mwanzo zinakuwa moto baadae unakataSawa karibu nataka niweke jukwaa la wakubwaa
Ndo hivyo napambana tu your welcome to join forceNishapita forums nyingi sana sema mwanzo zinakuwa moto baadae unakata
Mwaka 2001 nikiwa Dodoma barabara ya 11. Nilikuwa nacheza karata na jamaa fulani wachagga (wauza maduka), mmoja alikuwa anakula sana kuber. Nikamuomba, akanipa. Nikaiweka mdomoni sijui ikawaje nikameza mate. Tumbo likaanza kama kuvuruga hivi na nikahisi kama kizunguzungu..kumbe nilikuwa nimelewa.
Ilikuwa mwaka 2004 nikiwa darasa la 6. Alikuja ndugu yangu toka mjini na kuja na kuber. Ilikuwa jioni flan kijijini wakatii huo kumetulia watu tunasubiri ugali wa usiku, kipindi hicho hakuna milo miwili wala mitatu, asubuhi uji,mchana matunda shambani usiku ndio chakula.
Nimekaa njaa inanisokota kweli, ndugu yangu akaja na mjomba wake ambaye nae alizimwa mchana kwa zaga hilo hilo. Kwa ushamba nikaomba nionje,nilivyonusa tu, nikahisi harufu kaali sana,yan zaidi ya ugoro,nikauliza hii si kama ugoro(sababu ugoro naujua na siupendi)wajamaa huu tofauti onja uone utakayokuwa kama huyu jamaa kwenye picha hapa.
Nikapewa nikaweka mdomoni, akaniambia usimeze, nikajichanganya nikachuka mate nikameza. Niliambaa na ukuta mpaka chumbani, nilikuja kushtuka asubuhi saa 12 asubuhi pamoja na njaa yangu sikuweza kula chakula tena. Sitosahau tukio hili la kuber.
Je unakumbuka nini?
Ile ilikuwa zaidi ya madawa, ukimeza mate tu tayari umelewaMwaka 2001 nikiwa Dodoma barabara ya 11. Nilikuwa nacheza karata na jamaa fulani wachagga (wauza maduka), mmoja alikuwa anakula sana kuber. Nikamuomba, akanipa. Nikaiweka mdomoni sijui ikawaje nikameza mate. Tumbo likaanza kama kuvuruga hivi na nikahisi kama kizunguzungu..kumbe nilikuwa nimelewa.
Sikuwahi kurudia ulevi ule