Nilivyokutana na 'singo maza wa kiarabu'

Hebu subiri kwanza, umesema Kirando ipo pembezoni mwa ziwa Victoria!!!???
 
S
Shikamoo baba
 
Sasa hebu tulia kidogo local picture ukiwa huko majuu watu wakuelewe mana watakuja sana hapa kuku beza
majuu nikienda miaka mingi kusoma,na kwa sasa nipo tanzania nimetulia home,majuu huwa naenda kusalimia ndugu na watoto tu,sasa mtu aje kunibeza ili iweje
 
Ndio maana nilisema Mungu alinilinda kabisa,kuwapata wale watoto wa ngiyamthanda na loliwe sio rahisi kabisa maana walienda moba,ambapo ni jirani sana na mvuna ni mwendonwa boti ya mashine ni saa 8 hivi
Kwakweli
 
Hivi ni kweli wanawake wa Kiarab hawanyoi mavuzi na nywele za kwapani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…