Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Una mtizamo mzuri pia wa ku take risk. Yaani wengine wao wanapinga na kutafuta weakness ama kupinga. Yaani Kuna muda huwa anajiwazia kuwa yaani alivyo ndivyo dunia mwisho wake umefika hapo.
Ujue jamaa wali 200 sahani akaongea akiwa fomu wani nadhani.

Sema watu hawachhukui Positive Bali negative.
Mie ukileta uongo Kuna elimu nachukua hata iwe ukweli mie sikuwepo sio scientific proof.

Yaani wabongo Mambo ya kijinga ndio tunajifanya tuna akili
 
Fatilia ulikuwaje mwisho wa mabenki makubwa yaliyojihusisha na riba!!

Lazima anguko likukute tu hata kama itachukua muda mrefu. Hayo mabenki yakikumbwa na economic recession utayaonea huruma.
 
Mkuu unanikumbusha UDSM miaka hiyo tunapokea boom na pesa za stationaries pale kituo cha Polisi njia panda ya kuelekea UDBS.
 
Achana naye huyo mtoto wa juzi, kizazi cha M-PESA, ikitoka story kwamba hela zilikuwa zinatumwa kwenye basi au posta nao lazima waje wabishe.
 
Mkuu pole na matatizo ukashindwa kuendelea
 
Achana naye huyo mtoto wa juzi, kizazi cha M-PESA, ikitoka story kwamba hela zilikuwa zinatumwa kwenye basi au posta nao lazima waje wabishe.
Ems na emo bana. Simu unanunua kadi ya ttcl Kama ya benki unaingia kwenye kibanda unapiga home.

Ama tunadanganyana ukiweka rizla ya sigara Ile ya ndani unapiga bure.

Ama piga namba ukosee baadaye unaambiwa kuwa piga hii kwa maelezo zaidi so unaipiga Ile namba husika Mana unakuta umeunganishwa.


Kwa hizi hizi akili wabongo walikuwa nazo urusi wanaongea wanakopeshwa na mtandaoni husika baadaye wanatupa laini.
Kuna kijana mghana alikuwa na Deni kubwa mno na mtandao mmoja hivi
 
Enzi za reverse call unakumbuka? Kuna kaka yangu mmoja Mungu ambariki sana kwasababu alikuwa hakatai kupiga akipigiwa... alikuwa mtu mwema sana.
 
Mkuu kwa hio id yako nani atakuamini ukisemacho?

Hhhhhhhhhhhhh
 
HaayHa
 
Nilitaka kuachia tusi, ila nimetoka kwenye ban juzijuzi... na mods wananifatilia ngoja nikae kimya πŸ˜…
 
Lete habar tujifunze.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…