MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wawe wanaweka disclaimer kwamba hii stori ni ya kutunga haina uhalisia. Haiwezekani uwashe TV ukute mwanasiasa anakudanganya, uende insta ukute kina Diamond wanasema wameagiza jet baada ya hapo ujiambie ngoja nisikilize mambo ya dini ndo unamkuta Nabii uchwara anadai alikutana na Yesu LIVE.... JF nako stori ndo hizi. Hapana aisee tukatae kudanganywa tunapoona kuna harufu ya uongo.Shida ya Humu ndani JF baadhi ya members ni wabishi sana na Wajuaji.Kuna watu huleta vitu humu ndani ambavyo kimsingi vinabadilisha maisha ya watu,msipende kumkatisha tamaa mtu au kuleta ujuaji,Humu tupo Kujifunza zaidi kila siku.
Hata kiswahili watu hamjuiNasubili muendelezo unitag please
Yes ikaja kupanda sh 800...dah unanikumbusha COET hiyo2010 rb ilikua 600 mkuu cafeteria 1 na 2!! Enzi izo wanachuo wanakuambia pandisha bei ya vyakula vyote ila rb usiiguse!
Sikujui kijana nieleze status yako..Kwani mimi ni bikra?
Mlikuwa masikini Kama shule nzima mlikuwa hamna cmBoss nimesoma Govt kuanzia msingi hadi chuo. Form 1 & 6 nimesoma bweni shule tofauti 3 zote za serikali. Hakuna utakachoniambia kuhusu shule za serikali. Niko Form one mwaka 1999 shule nzima hakuna mwenye simu. Mimi nitaendelea tu kusoma uzi wako mwingine kama burudani tu ila sio kuamini ulichoandika.
[emoji107][emoji107]Kwa mamlaka niliyojipa ninautangazia umma kuwa huu uzi ni chai... tuusome kwa kujifurahisha tu hakuna uhalisia wowote hapa.
1. Form one alienda akiwa hajui kama shule haina wanafunzi wa kike. Wasichana kutokuwa admitted ni badiliko kubwa sana ambalo huwa sio la siri. Chai no. 1
2. Chakula Tsh 200 canteen. Kama alisoma wakati wa iPad zinatoka ni kwamba sio miaka mingi iliyopita. Kukadiria ni kama 2010 kuendelea. Vyuoni misosi ilikua Tsh 1000 na zaidi. Hakukuwa na uwezekano upate kwa Tsh 200 wali maharage hata kwa shule za sekondari. Au ilikuwa ni Ihefu sec school? Chai no.2
3. Biashara ya mkopo kwenda smoothly bila mgogoro wowote ni Chai no.3 kwenye biashara ya mikopo lazima watokee wasumbufu. Labda kama wateja ni malaika.
4. Kumiliki simu 4 maalum kwa kutazama porn shuleni ni Chai no.4 hii isingeweza kuwa siri kwa vyovyote vile lazima lingemfikia mwalimu wa nidhamu. Katika wanafunzi kuna wenye maadili wasingelifumbia macho. Kuna wenye wivu na pesa unazopiga wasingekaa kimya. Kimsingi hustles za ndugu mwandishi wakati wa secondary zimetawaliwa na chai.
Kwa hustles za Chuo sina tatizo nazo maana angalau zinawezekana.
Kusoma shule moja ndo ukajua shule zote TanzaniaBoss nimesoma Govt kuanzia msingi hadi chuo. Form 1 & 6 nimesoma bweni shule tofauti 3 zote za serikali. Hakuna utakachoniambia kuhusu shule za serikali. Niko Form one mwaka 1999 shule nzima hakuna mwenye simu. Mimi nitaendelea tu kusoma uzi wako mwingine kama burudani tu ila sio kuamini ulichoandika.
200 ilkuwaa chai na mandazii matatuTatizo watu huwa hawazingatii details ndogo ndogo...jamaa kasema wakati anaingia form 1 ...chai tu ilikuwa shilingi 200..!! Nakiri kwa nyakati za miaka ya mwanzoni mwa 2000-2004 ulikuwa unaweza kupata breakfast kwa pesa hiyo.
Chapati zilikuwa zinauzwa sh 50,andazi shilingi 10-20, vitumbua shilingi 10-20 ...chai ya rangi sh 10-20.
Mfumuko wa bei ulikuja utawala wa kikwete ila kipindi cha mkapa life was easy n cool.
Kukopesha hela kibiashara kwa watu ambao hawana dhamana, ni kujitakia kufilisika, tena dhamana yenyewe iwe inauzika kirahisi, take it from me, hapa sikuhadithii motivation story bali ni uhalisia wa streetMkuu sijui kama umemsoma vizuri huyo jamaa.. Amesema kabisa alikuwa anaangalia wa kuwakopesha na kiasi nadhani pia alikuwa anazingatia. Amesema kabisa wale mbavu mbavu alikuwa hawapi hata wafanyaje, wale familia duni pia alikuwa hawapi. Nadhani alikuwa anaangalia sehemu ya kupeleka hela yake ambayo alikuwa na hakika itarudi. The guy was smart na hicho ndicho kinachofanya wengine wawe matajiri na wengine maskini, UTHUBUTU WA KUFANYA YALE WENGINE WANAHISI HAWAYEZEKANI AU MAGUMU.
Labda atakuwa ame edit alisema sahani ya wali ilikuwa 200Tatizo watu huwa hawazingatii details ndogo ndogo...jamaa kasema wakati anaingia form 1 ...chai tu ilikuwa shilingi 200..!! Nakiri kwa nyakati za miaka ya mwanzoni mwa 2000-2004 ulikuwa unaweza kupata breakfast kwa pesa hiyo.
Chapati zilikuwa zinauzwa sh 50,andazi shilingi 10-20, vitumbua shilingi 10-20 ...chai ya rangi sh 10-20.
Mfumuko wa bei ulikuja utawala wa kikwete ila kipindi cha mkapa life was easy n cool.
Yes au hujawahi kununua wali sh 200 mwanzoni mwa miaka ya 2000..? Au isije ikawa naongea ma mtoto uliyezaliwa mwaka 2000!Labda atakuwa ame edit alisema sahani ya wali ilikuwa 200
Ulikuwa unapata zaidi ya hayo mkuu...andazi lilikuwa sh 10 tu200 ilkuwaa chai na mandazii matatu
Mamlaka kama hayo uwe unajipa nyumbani kwako bossKwa mamlaka niliyojipa ninautangazia umma kuwa huu uzi ni chai... tuusome kwa kujifurahisha tu hakuna uhalisia wowote hapa.
1. Form one alienda akiwa hajui kama shule haina wanafunzi wa kike. Wasichana kutokuwa admitted ni badiliko kubwa sana ambalo huwa sio la siri. Chai no. 1
2. Chakula Tsh 200 canteen. Kama alisoma wakati wa iPad zinatoka ni kwamba sio miaka mingi iliyopita. Kukadiria ni kama 2010 kuendelea. Vyuoni misosi ilikua Tsh 1000 na zaidi. Hakukuwa na uwezekano upate kwa Tsh 200 wali maharage hata kwa shule za sekondari. Au ilikuwa ni Ihefu sec school? Chai no.2
3. Biashara ya mkopo kwenda smoothly bila mgogoro wowote ni Chai no.3 kwenye biashara ya mikopo lazima watokee wasumbufu. Labda kama wateja ni malaika.
4. Kumiliki simu 4 maalum kwa kutazama porn shuleni ni Chai no.4 hii isingeweza kuwa siri kwa vyovyote vile lazima lingemfikia mwalimu wa nidhamu. Katika wanafunzi kuna wenye maadili wasingelifumbia macho. Kuna wenye wivu na pesa unazopiga wasingekaa kimya. Kimsingi hustles za ndugu mwandishi wakati wa secondary zimetawaliwa na chai.
Kwa hustles za Chuo sina tatizo nazo maana angalau zinawezekana.
Walichelewa kufanya transfomation wakazidiwa ila wangewahi wangekuwa mbali sanaUjio wa Android OS ndiyo uliwapoteza baada ya wao kubaki OS yao
Tumekula wali kwa 100 pale Mvomero kwa Mama Ombopa. Nimekunywa na kuuza soda kwenye mnada wa Mkongeni kwa soda Tsh 50. Mama yangu alikuwa anachoma vitumbua nami nikawa namuuzia kwa Tsh 5 then ikaja Tsh 10 huyo ya wali kuuzwa 200 ni kitu cha kawaida tena huo ulikuwa wali nyama.Yes au hujawahi kununua wali sh 200 mwanzoni mwa miaka ya 2000..? Au isije ikawa naongea ma mtoto uliyezaliwa mwaka 2000!