Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Aisee ungelea tukajua mengi, vp mwanamke alimtafuta tena,
 
Kweli kabisa mkuu
 
Kwenye kuongeza inategemea unataka kuendelea kuishi huko kwa shughuli gani? Maana unapotaka kuongeza inabidi utoe sababu maana kuna visa za aina tofauti tofauti kama ya kusoma, kufanya kazi, volunteer etc na zote zina gharama yake.

Mkuu Mimi nimekaa sana nchi ambazo wanakupa miezi mitatu ya kuishi kwa hivyo ikiisha unachofanya kuna watu ndio kazi yao unawapa passport inaenda kugongwa tena mpakani kama umetoka kisha inagongwa tena umeingia kwahiyo utakaa hadi hadi uwe mzee kabisa bila kurudi ama aumue mwenyewe tu kurudi kwa hiari yako mwenyewe
 
Sasa hivi njia ya Msumbiji inapitika kweli? maana wale Magaidi wako bize kuchinja Vichwa vya Wananchi utasema msimu wa mavuno ya vichwa

Bila hata uwepo wa magaidi ukipita Mozambique wanaweza kukusachi hadi p*mbu na uwezo wa kufika safari yako ni 20%,Mozambique pasikie tu hivyo police wana roho ngumu kama Jiwe letu pendwa,pitia zambia mkuu utakuja kunishukuru
 
Madam tuwe marafiki basi au[emoji1][emoji1]
 
Mambo ya HongKong enzi hiyo...sijui kama hadi sasa hii michezo ipo...

Maana wabeba ngada wameharibu sana taswira ya Wabongo
 
Inawezekana ila ni maisha magumu sana. Huwezi kufanya kazi halali..ukiona tu polisi au immigration wanapita presha inaanza kupanda. Ukipata shida huwezi kwenda polisi maama watajua wewe mhamiaji haramu.. sio kitu rahisi.
 
Pumbavu sana, mie napinga Malaya kuvamia Uzi na kuanza kubadilisha taswira ya Uzi nasio huu tuu nyuz nyingi nyie Malaya (Kama auhusiki jitoe) mnaharibu sababu ya kutaka Mambo yenu.

Sijakataa watu kuongezea Nyama hata iwe stori ya kweli au uongo mie napambana na maneno pili uhalisia Ila personality ya mtu hapana.

Pumbavu sana.
 
Baharia kamaliza mchezo ,Aya tukale mafenesi ,matikiti maji kimasihara huko kwa mvulana riki[emoji41]
 
Konda Experience za maisha ya nje ya Bongo zipo tofauti sana usi conclude moja kwa Moja utakosea, Kila mtu ana experience yake na namna alivyopambana kuikabiri hiyo changamoto. Unaweza Ku Overstay, Ukatoa kitu kidogo Passport yako ikawa cleared na Maisha mengine yakaendelea. Na SA ukarudi kwa Passport ile ile. Tumeshafanya ivo sana. Kikubwa jipe nafasi ya kujifunza zaidi.
 

Kaka achana na haya mambo. Malizia Story tufanye shughuli nyingine. Ni zaidi ya masaa 24 umetulostisha
 
Mkuu usipoteze muda wa ku type hii Ni chai Kama chai zingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…