Duuuh.mimi bado naandaa kitabu cha harakati zangu..kutokea Dsm-Mogadishu-Yemen-Iran-Dsm-kahama-Geita-Mwanza-kakola-tarime-Dsm-Mafia- Dsm-kampala-Nairobi-kigali-Namibia-Lusaka-Nampula-Pemba-Beira-Maputo- Durban-Pretoria-Joberg- Iran-Kandahar-Peshawar-Kabul-Khost-Uzbegistan-Chechniya-Yemen-Moscow-Madagascar-Capeverde-France-Gabon-Burkinafaso-Namibia - capeverde-grenada-france-Swiss - Namibia -Dsm..
Hakikisha kila unapofika unaacha mbegu sio mnakuwa wavivu wavivu...
mimi bado naandaa kitabu cha harakati zangu..kutokea Dsm-Mogadishu-Yemen-Iran-Dsm-kahama-Geita-Mwanza-kakola-tarime-Dsm-Mafia- Dsm-kampala-Nairobi-kigali-Namibia-Lusaka-Nampula-Pemba-Beira-Maputo- Durban-Pretoria-Joberg- Iran-Kandahar-Peshawar-Kabul-Khost-Uzbegistan-Chechniya-Yemen-Moscow-Madagascar-Capeverde-France-Gabon-Burkinafaso-Namibia - capeverde-grenada-france-Swiss - Namibia -Dsm..
Hakikisha kila unapofika unaacha mbegu sio mnakuwa wavivu wavivu...
Kote huko umepita na kuacha mbegu? Ukiwakusanya wote si unaanzisha shulemimi bado naandaa kitabu cha harakati zangu..kutokea Dsm-Mogadishu-Yemen-Iran-Dsm-kahama-Geita-Mwanza-kakola-tarime-Dsm-Mafia- Dsm-kampala-Nairobi-kigali-Namibia-Lusaka-Nampula-Pemba-Beira-Maputo- Durban-Pretoria-Joberg- Iran-Kandahar-Peshawar-Kabul-Khost-Uzbegistan-Chechniya-Yemen-Moscow-Madagascar-Capeverde-France-Gabon-Burkinafaso-Namibia - capeverde-grenada-france-Swiss - Namibia -Dsm..
Hakikisha kila unapofika unaacha mbegu sio mnakuwa wavivu wavivu...
Kwani tulikalazimisha kutuandikia? Kaambie kafuate masharti ya wasomaji!Unakoroma kama unalipia vile. Nyie ndiyo mlisababisha lwanda magere akastopisha story yake
Naona na ww unasafiri tu ukiwa if mamake!!?Ohoooooooo imeisha kumbe mi naendelea kuscroll sioni kitu dah.
Lini ss mkuu utandelea??Ngoja niisubscribe kabisa
Andika stori yako maku wewe sio unaanza kukosoa watu hapaWewe ni nguruwe gaidi kizazi cha fisi, ukoo Ngiri, familia ya fungo wala dubu kabare mkubwa wewe
Nini maana ya T1 Mkuu?Hili tunaweza kusaidiana kujibu,barabara Tanzania bado sana tena sana,hii T1 yetu ni bado sana,Zambia wanajitahidi sana hasa barabara ya Lusaka to Livingstone,ya kwenda Chilindu sio mbaya sana ILA kuna tatizo kubwa mno btn Nakonde na Mpika ni shida sana(hii kwangu ni sabotage wanayotufanyia wazambia maana wameelekeza nguvu nyingi kusini but pure kibiashara)Chilundu hadi Beitbrige wanaifanyia ukarabati na nzuri in general,na N1 ya kutoka Beitbrige hadi cape town ni first class road ni super,na ukija Botswana nao ni super kuanzia ile A3 hadi A1,border ya zambia na Namibia sio safi hasa Zambia side ila upande wa pili ni super.Tanzania tuache siasa ni vema hii T1 yetu tuitengeneze ili tuchukue even 40%ya mizigo ya DRC(hii ndio future ya kibiashara Africa)
Kajinga wewe!😁😁😁😁😂😂Kalikuwa katundu halafu tulikuwa tumekunywa kidogo, asubuhi nikapigwa mabusu motomoto
Yale mabegi kumbe huwa yanawaachia alama nyekundu mabegani na mgongoni nilimchua kidogo
MKUU NDUgu yangu mimi nimeongea na mwanzisha post sio wwMmeanza aandike ndefu unadhani ana kazi ya kukuandikia wewe tu hana kazi nyingine nyie ndio wale tuma na ya kutolea
Ni Lami Mkuu, Kama kuna sehemu utakuta Vumbi basi kutakuwa na Matengenezo Kidogo.Mleta uzi nikuulze swali...Vipi barabara za kutoka bongo mpaka kwa Mandela (south Africa) kuna sehemu Ni barabara za vumbi au Ni lami mpka South
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulipanda basi sio
Upo Sawa kabisa!Hili tunaweza kusaidiana kujibu,barabara Tanzania bado sana tena sana,hii T1 yetu ni bado sana,Zambia wanajitahidi sana hasa barabara ya Lusaka to Livingstone,ya kwenda Chilindu sio mbaya sana ILA kuna tatizo kubwa mno btn Nakonde na Mpika ni shida sana(hii kwangu ni sabotage wanayotufanyia wazambia maana wameelekeza nguvu nyingi kusini but pure kibiashara)Chilundu hadi Beitbrige wanaifanyia ukarabati na nzuri in general,na N1 ya kutoka Beitbrige hadi cape town ni first class road ni super,na ukija Botswana nao ni super kuanzia ile A3 hadi A1,border ya zambia na Namibia sio safi hasa Zambia side ila upande wa pili ni super.Tanzania tuache siasa ni vema hii T1 yetu tuitengeneze ili tuchukue even 40%ya mizigo ya DRC(hii ndio future ya kibiashara Africa)
Mkuu upo sawa Kabisa.Hili tunaweza kusaidiana kujibu,barabara Tanzania bado sana tena sana,hii T1 yetu ni bado sana,Zambia wanajitahidi sana hasa barabara ya Lusaka to Livingstone,ya kwenda Chilindu sio mbaya sana ILA kuna tatizo kubwa mno btn Nakonde na Mpika ni shida sana(hii kwangu ni sabotage wanayotufanyia wazambia maana wameelekeza nguvu nyingi kusini but pure kibiashara)Chilundu hadi Beitbrige wanaifanyia ukarabati na nzuri in general,na N1 ya kutoka Beitbrige hadi cape town ni first class road ni super,na ukija Botswana nao ni super kuanzia ile A3 hadi A1,border ya zambia na Namibia sio safi hasa Zambia side ila upande wa pili ni super.Tanzania tuache siasa ni vema hii T1 yetu tuitengeneze ili tuchukue even 40%ya mizigo ya DRC(hii ndio future ya kibiashara Africa)
Mkuu leta hiyo story basi!Mkuu upo sawa Kabisa.