Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

mimi bado naandaa kitabu cha harakati zangu..kutokea Dsm-Mogadishu-Yemen-Iran-Dsm-kahama-Geita-Mwanza-kakola-tarime-Dsm-Mafia- Dsm-kampala-Nairobi-kigali-Namibia-Lusaka-Nampula-Pemba-Beira-Maputo- Durban-Pretoria-Joberg- Iran-Kandahar-Peshawar-Kabul-Khost-Uzbegistan-Chechniya-Yemen-Moscow-Madagascar-Capeverde-France-Gabon-Burkinafaso-Namibia - capeverde-grenada-france-Swiss - Namibia -Dsm..

Hakikisha kila unapofika unaacha mbegu sio mnakuwa wavivu wavivu...
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Mkuu pole, najifunza sana habari hii. Japo nilisafiri majuu bila misukosuko kama hii yako lkn naona kweli bongo maisha ni kupambana. Ulaya ni mteremko sana. Nilikwenda mwenyewe kwa ramani tu.

Wakuu naanza kusoma michango dada yenu. Story tamu jamaa nitag, ukitaka nihagi..lkn usiniduuu
Mkuu si tuitane huko???
 
Kwanini safari za kujilipuA hakunaga wanAwake jamani hakuna mwanamke alowahi jilipua akashuka na ushuhuda?
Demi
Noelia hamjawahi fikiria kujilipua kwenda huko Mayote jamani!

Aisee wapo sema humu sijui kama wapo, kuna Dada mmoja mchaga jina sitomtaja niliwahi kukutana nae hotelin sehemu moja inaitwa Mambasa njia ya kwenda kisangani ilikua safari yake ya kwanza lakini alibeba pea kibao viatu vya kimasai alikua anafuata dhahabu/ Oro mapori ya kisangani huko nilipotea miaka kama sita sijarudi kule siku moja nafika tena kisangani nikamuuliza dreva mmoja wa classic za Butembo kisangani huyu dreva anaitwa aggrey ni mtu wa songea, akanipa story za Dada yetu kumbe alikomaa akatoboa akawa ameshanunua truck Benzi kama nne hivi anafuata mizigo viwandani kenya kupeleka Congo, huyu sister hua napenda angekuja akasimulia siku moja maana hakua mdangaji alikua jasiri kwa mtoto wa kike hawa wa oya oya asingethubutu kukata mbuga moshi, uganda then congo bila kua na ndugu.
 
Aisee wapo sema humu sijui kama wapo, kuna Dada mmoja mchaga jina sitomtaja niliwahi kukutana nae hotelin sehemu moja inaitwa Mambasa njia ya kwenda kisangani ilikua safari yake ya kwanza lakini alibeba pea kibao viatu vya kimasai alikua anafuata dhahabu/ Oro mapori ya kisangani huko nilipotea miaka kama sita sijarudi kule siku moja nafika tena kisangani nikamuuliza dreva mmoja wa classic za Butembo kisangani huyu dreva anaitwa aggrey ni mtu wa songea, akanipa story za Dada yetu kumbe alikomaa akatoboa akawa ameshanunua truck Benzi kama nne hivi anafuata mizigo viwandani kenya kupeleka Congo, huyu sister hua napenda angekuja akasimulia siku moja maana hakua mdangaji alikua jasiri kwa mtoto wa kike hawa wa oya oya asingethubutu kukata mbuga moshi, uganda then congo bila kua na ndugu.


I love this....aaaaawwwwww!...mtafute aje atuamshe mavifaduro yetu tuamke mkuu
 
Back
Top Bottom