Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
KEEGAN PAUL MAKONDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah Kwanza imebidi nisome story yote. Kiufupi mimi sina ujasiri huo 😀😀, wa kwenda sehemu ya mbali kihivyo na sijui naenda kufanya nini.
Mkuu si tuitane huko???
Nakufahamu😊..hujanyanyasiwa hela wewe! Niulize mimiDah Kwanza imebidi nisome story yote. Kiufupi mimi sina ujasiri huo 😀😀, wa kwenda sehemu ya mbali kihivyo na sijui naenda kufanya nini.
Ila mwenzangu ujasiri huo unao...ukinikokota tutaenda.
I love this....aaaaawwwwww!...mtafute aje atuamshe mavifaduro yetu tuamke mkuu
Wanawake kutoboa kuna side 2.iwe easy au iwe ngumu...esp kama una familia tayari...kuna changamoto sijapata kusikia....dah Mungu atuvushe..napenda spirit za namna hiyo aisee mradi uwe smart...huko maeneo hayo wanawake wananyanyasika saana kingono...i hate thatSiku nikirudi ngambo ile nitamtafuta napenda aje asimulie maana wakati namuhoji alinambia ashauza hadi mitumba kwao huko, lakini she was a real hero kwa umri ule naamini saa hizi atakua mbali
Nanyanyasiwa sana tu. Napewa hela fixed ya matumizi ya home sibakiwi hata na mia. Kiufupi sina hela ya maana ya kujivunia. .😏pambav zanguNakufahamu😊..hujanyanyasiwa hela wewe! Niulize mimi
Mie sitakuja sahau mdogo wangu kaja amefunga shule namwambia sembe imeisha akapiga ukungaa khaaaa...wangari?? Si nimeleta majuzi tu unga??akasema "duh"niliumia..ndo yupo hivo mpaka leo...yaan anahamaki kama una ndugu yako lazima ajiskie vby...sitakuja omba hela mm ya mtu😏!Nanyanyasiwa sana tu. Napewa hela fixed ya matumizi ya home sibakiwi hata na mia. Kiufupi sina hela ya maana ya kujivunia. .😏pambav zangu
Wanawake kutoboa kuna side 2.iwe easy au iwe ngumu...esp kama una familia tayari...kuna changamoto sijapata kusikia....dah Mungu atuvushe..napenda spirit za namna hiyo aisee mradi uwe smart...huko maeneo hayo wanawake wananyanyasika saana kingono...i hate that
Nyie hamridhiki na hela.Nanyanyasiwa sana tu. Napewa hela fixed ya matumizi ya home sibakiwi hata na mia. Kiufupi sina hela ya maana ya kujivunia. .😏pambav zangu
kwani alivyo achwa na vailet ilikuajeHaya acha tujikumbushe na vailet...hadi hiyo Moja asb
Basi tu wanawake wanahofu tu...ukiwa na misimamo yako utasumbuliwa mwanzoni tu....kuna mdada i met last yr kahama bar nakula akaja kaa moja kwa moja nilipokaa..anaonekana amechoka na hangover juu..mie kahama nikikua naenda wknd kula pilau..napenda pilau bas wknd najiendelea kula pilau na videsperado 4 narudi gheto kulala..Napenda mwanamke kama x hapo, afu naamini mwanamke akijisimamia asifuate mambo mengi anatoboa kama wengine, shida ni pale unaanza kujilipua na kutegemea k ikuokoe hapo unakua umepotea lakini hata kwa wanaume ukiendekeza ngono kwenye utafutaji huwezi kutoboa kirahisi zaidi utaambulia ngoma ambayo utarudi kucheza na ndugu zako
Mie sitakuja sahau mdogo wangu kaja amefunga shule namwambia sembe imeisha akapiga ukungaa khaaaa...wangari?? Si nimeleta majuzi tu unga??akasema "duh"niliumia..ndo yupo hivo mpaka leo...yaan anahamaki kama una ndugu yako lazima ajiskie vby...sitakuja omba hela mm ya mtu
Hela yako binafsi tamu sanaMie sitakuja sahau mdogo wangu kaja amefunga shule namwambia sembe imeisha akapiga ukungaa khaaaa...wangari?? Si nimeleta majuzi tu unga??akasema "duh"niliumia..ndo yupo hivo mpaka leo...yaan anahamaki kama una ndugu yako lazima ajiskie vby...sitakuja omba hela mm ya mtu😏!
Lini mlikaa kikao mkakubaliana ?Lakini si tumekubaliana kwamba huyo hana mabomu.
Duuuh pole sana,miye ningesema mpk kitanda kiwake moto.Mie sitakuja sahau mdogo wangu kaja amefunga shule namwambia sembe imeisha akapiga ukungaa khaaaa...wangari?? Si nimeleta majuzi tu unga??akasema "duh"niliumia..ndo yupo hivo mpaka leo...yaan anahamaki kama una ndugu yako lazima ajiskie vby...sitakuja omba hela mm ya mtu😏!
Mkuu swala halikuwa kufungua goli peke yake, swala lilikuwa nimechoka kuishi nyumbani.Wakishua uyo.....Mill 1 Mbona unafungua goli kabisa