Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Labda Muumbaji mbingu na nchi kampenda zaidi sisi huku tunamsubiri sana!!
 
Sehemu ya kumi ipo wapi?
 
Ukimaliza itabidi na mimi nitoe yangu ya siku kwenda China kufunga mzigo bila ndugu rafiki wala nini
Hakika tunataka kujua juu ya safari yako ya china
Au ushaiandika kama tayari naomba nitagi
Kama bado tunaomba uandike tupate kujifunza
 
Hahaha [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kanya alikuwa ana, anazingua.
 
Hivi Kuna mtu anaeza kutoka nchi mwake akaja hapo bongo kutafuta maisha?
Wapo
Mfano yule jamaa wa samakisamaki
alihojiwa na salama
Ali kuja bongo hata kiswahili hajui alimfuata rafiki tu mbongo aliyeishi kwao spain
Akaishi zanzibar akajua kiswahili a kahamia dar
Pia wapo wa somali wengi tu kariakoo, wakongo warundi
Achana na wachina wengi wa nafanya biashara ya jumla kariakoo
Na siku hizi kuna waturuki
Ila nadhani nchi zinazozungumza kiingereza na zina uzungu mingi kama sauzi zinavutia wageni kuhamia
 
Aha achana na hawa wahindi hawa wapo tu ila mataifa mengine sijawahi kukutana nao ..kama wapo basi wabongo hatuoni furusa hadi na jamaa wa nakuja labda na mitaji pia inachangia.
 
Patam Apo🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…