Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Jamaa yangu mmoja akiwa na miaka kumi na 9 from Nigeria Alijilipua Uk 1999 .kipindi Cha baridi(winter season) alienda Kama anaenda Coco Beach ...the journey was tough amejilupua Qatar ,Dubai ,south Africa ,Congo now yupo bongo .. Ila ametoboa nowadays maisha Safi.
First attempt ya kujilipua ilikuwa United States ...akiwa Nigeria Ila hakufanikiwa..
Anadai Nigeria Hadi bank statements wanakughushia .. Akiwa ubalozini alikamilisha kila kitu ...kufika dirishani akaulizwa kuhusu invitation letter Akawa hajui Ni nini anajiuma uma tuu ..wakamweka ndani ..Kama gaidi...wakamuuliza do you want/like coffee akasema yes wakamuuliza upo hatiani hiyo nguvu/gut ya kunywa coffee unaitoa wapi lastly aliamua kuzungumza ukweli juu ya ugumu wa maisha wakamwambia afuate procedures vizuri ndo aende ...wazungu wakabaki wanacheka ..baada ya kumchukua maelezo na kujiridhisha wakamwachia
 
First attempt ya kujilipua ilikuwa United States ...akiwa Nigeria Ila hakufanikiwa..
Anadai Nigeria Hadi bank statements wanakughushia .. Akiwa ubalozini alikamilisha kila kitu ...kufika dirishani akaulizwa kuhusu invitation letter Akawa hajui Ni nini anajiuma uma tuu ..wakamweka ndani ..Kama gaidi...wakamuuliza do you want/like coffee akasema yes wakamuuliza upo hatiani hiyo nguvu/gut ya kunywa coffee unaitoa wapi lastly aliamua kuzungumza ukweli juu ya ugumu wa maisha wakamwambia afuate procedures vizuri ndo aende ...wazungu wakabaki wanacheka ..baada ya kumchukua maelezo na kujiridhisha wakamwachia
Njaa hizi🤣🤣
 
Kazi ni kazi mtoto wa kiume ogopa kuliwa tu ndio haifai
Jamaa anakuambia Dubai alikuwa gym trainer,bouncer club, errand boy,Kuwadi, Mwizi ..walevi wakilewa club wakileta vurugu time anawatoa nje anawasachi ...Ukuwadi Ni pale washkaji watakapotaka mademu wa kiafrica wenye Mizigo ya kuvunja chaga.. Anaongea na manzi kuwa jamaa atakupa 150 dollars wewe si huwa unachukua 100 dollars 50 Ni yangu.
 
Sasa umeahakamatwa na kahawa usinywe? Tena ingekua kama yale maziwa fresh ya wanyarwanda ambayo unamiksiwa na kahawa unapiga fresh ndio mnaanza mazungumzo upya

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jozi, nilikuwa kwenye apartment kama siku ya pili toka nifike, natoka room kwenda kwenye vending machine iliyopo humo humo kwenye apartment kuchukua soda, nikawa niko kwenye simu naongea kiswahili, nikapishana na mdada mzuri hivi wa makamo kama 42 hivi yuko na msichana wa kazi na mtoto wa kike wana vifurushi wanaonekana wametoka shopping. Wakati narudi kwangu yule dada alikuwa bado amesimama ananisubiri nilivyotoka nilikuwa na pajama hivyo alijua kabisa siendi mbali. Akaniambia nimekusikia unaongea kiswahili wewe ni mtz au mkenya? Nikamjibu mTz, tukapiga piga stori hapo akafurahi sana, nikajua nimepata shost, Akanihoji hoji nikamwambia nimekuja tu kutembea, akaniambia yeye anaishi cape town, hapo amepita tu akitokea gaborone kwa mumewe, atakaa siku 4 then ataondoka. Nadhani alifurahi kupata mtu wa kuongea nae kiswahili siku hiyo maana appartment hiyo haikuwa na waswahili zaidi yetu, au kama ilikuwa nao sikupata kuwaona.

Basi, mi nilikaa kama miezi mitatu, nikawa namuona mara kwa mara basement kwenye parking na familia yake mi nikipanda zangu uber. Nikawa najiuliza huyu alisema atakaa siku nne sasa mbona haondoki? Nikajiongeza tu kuwa huyu anaishi hapa hapa, hakutaka tu kuniambia labda alihisi nitamzoea, au labda hakuniamini aliona sina ramani maana kiumri nilikuwa msichana mdogo bado tukawa tukionana tunasalimiana basi mpaka siku naondoka nilimuona jana yake jioni maana tulikuwa tunaishi floor moja, wing moja yeye apartment yake ilikuwa ya familia zile zina 3 bedrooms na vikorombwezi vingine, mimi yangu ilikuwa ndogo, Bedroom+sitting room, kitchen.
 
Jozi, nilikuwa kwenye apartment kama siku ya pili toka nifike, natoka room kwenda kwenye vending machine iliyopo humo humo kwenye apartment kuchukua soda, nikawa niko kwenye simu naongea kiswahili, nikapishana na mdada mzuri hivi wa makamo kama 42 hivi yuko na msichana wa kazi na mtoto wa kike wana vifurushi wanaonekana wametoka shopping. Wakati narudi kwangu yule dada alikuwa bado amesimama ananisubiri nilivyotoka nilikuwa na pajama hivyo alijua kabisa siendi mbali. Akaniambia nimekusikia unaongea kiswahili wewe ni mtz au mkenya? Nikamjibu mTz, tukapiga piga stori hapo akafurahi sana, nikajua nimepata shost, Akanihoji hoji nikamwambia nimekuja tu kutembea, akaniambia yeye anaishi cape town, hapo amepita tu akitokea gaborone kwa mumewe, atakaa siku 4 then ataondoka. Nadhani alifurahi kupata mtu wa kuongea nae kiswahili siku hiyo maana appartment hiyo haikuwa na waswahili zaidi yetu, au kama ilikuwa nao sikupata kuwaona.

Basi, mi nilikaa kama miezi mitatu, nikawa namuona mara kwa mara basement kwenye parking na familia yake mi nikipanda zangu uber. Nikawa najiuliza huyu alisema atakaa siku nne sasa mbona haondoki? Nikajiongeza tu kuwa huyu anaishi hapa hapa, hakutaka tu kuniambia labda alihisi nitamzoea, au labda hakuniamini aliona sina ramani maana kiumri nilikuwa msichana mdogo bado tukawa tukionana tunasalimiana basi mpaka siku naondoka nilimuona jana yake jioni maana tulikuwa tunaishi floor moja, wing moja yeye apartment yake ilikuwa ya familia zile zina 3 bedrooms na vikorombwezi vingine, mimi yangu ilikuwa ndogo, Bedroom+sitting room, kitchen.
Haya tumekisiaa ulikuwa na pajama Yuko Apo huyu keaganii
 
Jozi, nilikuwa kwenye apartment kama siku ya pili toka nifike, natoka room kwenda kwenye vending machine iliyopo humo humo kwenye apartment kuchukua soda, nikawa niko kwenye simu naongea kiswahili, nikapishana na mdada mzuri hivi wa makamo kama 42 hivi yuko na msichana wa kazi na mtoto wa kike wana vifurushi wanaonekana wametoka shopping. Wakati narudi kwangu yule dada alikuwa bado amesimama ananisubiri nilivyotoka nilikuwa na pajama hivyo alijua kabisa siendi mbali. Akaniambia nimekusikia unaongea kiswahili wewe ni mtz au mkenya? Nikamjibu mTz, tukapiga piga stori hapo akafurahi sana, nikajua nimepata shost, Akanihoji hoji nikamwambia nimekuja tu kutembea, akaniambia yeye anaishi cape town, hapo amepita tu akitokea gaborone kwa mumewe, atakaa siku 4 then ataondoka. Nadhani alifurahi kupata mtu wa kuongea nae kiswahili siku hiyo maana appartment hiyo haikuwa na waswahili zaidi yetu, au kama ilikuwa nao sikupata kuwaona.

Basi, mi nilikaa kama miezi mitatu, nikawa namuona mara kwa mara basement kwenye parking na familia yake mi nikipanda zangu uber. Nikawa najiuliza huyu alisema atakaa siku nne sasa mbona haondoki? Nikajiongeza tu kuwa huyu anaishi hapa hapa, hakutaka tu kuniambia labda alihisi nitamzoea, au labda hakuniamini aliona sina ramani maana kiumri nilikuwa msichana mdogo bado tukawa tukionana tunasalimiana basi mpaka siku naondoka nilimuona jana yake jioni maana tulikuwa tunaishi floor moja, wing moja yeye apartment yake ilikuwa ya familia zile zina 3 bedrooms na vikorombwezi vingine, mimi yangu ilikuwa ndogo, Bedroom+sitting room, kitchen.
Hii nayo ni story nyingine na imeanzia wapi?😁😁😁
 
Back
Top Bottom