Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Hapa niko class nakula hii course. Ukimaliza kuhadithia nisha graduate... Mtoa mada wewe ni mkweli nimeunganisha dot sana nimeona ni ukweli mtupu. Kilichobaki ni kutafuta jitu nilitapeli nipate 1.5m na mimi niingie uko.... Mpaka kieleweke. Uzuri mimi nina washkaji wa mtaani wananitambia tu na mapicha yao Facebook. Naenda kule buzaman nakuwa shoeshine muuza ngada.
 

Ulivaa pajama y’a rangi gani
 
Interesting [emoji91][emoji91][emoji91][emoji848]
 
Achana na kitu inaitwa road trip kibongo bongo dar to arsha kama mko masela mnaweza kaa hapo barabarani mwezi mnaizunguka hii tz
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ungedakwa
 
Keagan mbna kimya au ushadakwa na kete!!

Sema ma video queen wengi miaka ya 2007 had 2014
Wamesambaza Sana drug hum duniani;


Hawa wa siku hizi wanauza tu mwili
Wanaishia kuwa addicted na ngono;

Cjui Kati yao Nan Bora???
 
[emoji16][emoji16][emoji16] [emoji119]
 
Uzi uko [emoji91][emoji91][emoji91][emoji8]sana
 
Hahahaha usijekutuambia ulijiweka hapo
 
Duuuh ndo ukubwa huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…