Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Unazaliwa Tabora unaenda kufia Nzega

Hivi mkuu unapajua mpyagula , unaweza kupitia igunga au nzega, haya sio maisha kule mama ntilie wanauza 500 unapata ugali na kambale mkubwa, kuna mabasi wa waraabu koko yanaenda kule basi mtu kule anakuhadithia huku ukituliza hela unatoboa unamchek kiaina unasema ni kweli Boss, funguo za chumba chako lodge anakaa nazo mwenye nyuma, ukitakA kutoka anaitwa kufunga mlango ukirudi kijana anaenda kumwita akufungulie Bongo nyoso acha tu
 
Enzi hizo hawakua na scanners????
 
Recho ulimla????
 
Watanzania huko nje tunajulikana kwa uoga nadhani nchi kutopitia migogoro inatufanya turidhike na amani tunayohubiriwa na kina ndugai, wanigeria wanaongoza kwa Afrika kuwa huko ulimwengu wa kwanza
 
Hao uhamiaji wanapenda uwape story za huko ili wakuagize kambale hapo mtaongea, passport ni document ya kawaida ambayo ilitakiwa kila Raia anayeitaka awe nayo tu ndani
Hiyo Ni rushwa sasa
 
Achana na kitu inaitwa road trip kibongo bongo dar to arsha kama mko masela mnaweza kaa hapo barabarani mwezi mnaizunguka hii tz
Hahahaha acha tu kuna utalii mwingine raha sana. Haswa kama ni mtu mpenda magari

Wiki kadhaa zilizopita mdogo wangu kafanya utalii wa kuzunguka mikoa 22 ndani ya siku 13 kwa gari na mie nataka nimlipe

Kaanzia Mbeya-Tdm-Swanga-Mpanda-Kigoma-Bukoba-Chato-Geita-Mwanza-Shy-Nzega-Tabora..Then Tabora-Sgd-Babati-Arusha-Moshi-Tanga-Bagamoyo-Dar-Lindi-Mtr-Songea-Njombe-Makambako-Mbeya.

Mwisho wake mwaka huu nataka nilipe nipige mikoa yote ya bara na Mbuga zote za Tanzania kwa mwezi mmoja
 
Kuna watu mnajua kula maisha bhana hongereni sana
 
Watanzania huko nje tunajulikana kwa uoga nadhani nchi kutopitia migogoro inatufanya turidhike na amani tunayohubiriwa na kina ndugai, wanigeria wanaongoza kwa Afrika kuwa huko ulimwengu wa kwanza
Yaaani tumetengenezwa kizazi cha uoga sana na kuwaza mipango mipango mipango mpaka mtu anazeeka alikua anapanga tu

Huko serikalini sasa ndo kila siku mchakato,Tuko mbioni,upembuzi yakinifu,tunaandaa mpango mkakati mpaka kitu kije kufanyika mshachelewa sana

Kwa hili aisee ndo nilimkubali Msee Marehemu. Mipango hakuna unajilipua kila kitu kitajulikana mbele kwa mbele. Ukishakua na hii spirit lazima utapata njia tu ya kutatua ya huko mbele

Wanaijeria nawafahamu vizuri sana wale jamaa yaani wahalifu,wanafanya kazi halali,majinias,waliosoma,kina kalume kenge wale ni kujilipua tu hawaogopi kitu na inawasaidia sana kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na kwa familia pia

Wakenya nao hawako nyuma na wanajua kushikana mikono sana....yaan US mbongo ukiongea Lafudhi tu wanadhani Mnaija😂😂

Sie tumejifungia huku nyumbani Madibila tunakula Pitiku na ugali tunaridhika tunaogopa
 
Had nimesisimka maisha makali sana [emoji856][emoji856][emoji22]
 
Kuna watu mnajua kula maisha bhana hongereni sana
Hahahaaa ni passion tu ya road trip

Yaaani 22 regions kuanzia Mbeya-Songwe-Rukwa-Katavi-Kigoma-Kagera-Geita-Mwanza-Shinyanga-Tabora-Singida-Dodoma-Manyara-Arusha-Kilimanjaro-Tanga-Pwani-Dar-Lindi-Mtwara-Ruvuma-Njombe halafu Mby ndani ya two weeks. Ni kudrive tu na kuenjoy mandhari kula vyakula mbalimbali kila sehemu na kujifunza
 
Nimecomment kitu hapo juu mkuu angalia tuandae yakwetu Mwisho wa mwaka. Nataka nimlipe dogo
 
Mwenye link ya story mtanzania aliyezamia uarabuni au nchi za Korea naiomba tafadhali
 
Wabongo nyoso sana tuko vizuri kwenye kupigana majungu na kurogana kwingineko tuko nyuma mno hasa sehemu hizo ukiwa unatulinganisha na nchi nyingine za barani Afrika, Yani sie labda tunawazidi Burundi tu ila nchi nyingine zote za East Africa wanatuzidi mbali mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…