CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Chuma ulete.Ni kweli maana wapo vijana mjini ni wakali na hawajawahi kuajiriwa wala kufanya biashara inayoonekana lakini wana mali nyingi,mjini ni mipango tu.
Mimi nakula mshahara mzuri lakini kuna rafiki ananichapa kimapato,na ukimkuta kwenye husle zake wala hujui anapataje mkwanja.
Hahahaaa sisi maTrucker hao tushawazoea hawalambi hata chumaNilienda kwa bus, kupitia njia aliyopita mtoa mada nikarudi kwa mwewe. Njia Dom-Mbeya-tunduma (Nakonde border)-Lusaka-Chirundu one stop border- Beitbridge border moya kwa moya Jozi. Nililala tunduma boda, nikalala na kukaa Lusaka wiki, nikaongoza Jozi.
Kutoka tunduma nilipanda power tools mabasi fulani ya njano, Kutoka Lusaka nilipanda basi inaitwa Joldan kama sijakosea spelling, nalikumbuka tu ni la rangi ya zambarau.
Changamoto ya safari ya barabara, ni kuombwa rushwa uhamiaji, hata mimi niliombwa tunduma na chirundu, tena aliyeniomba chirundu ni mdada, wanasema kuwa ukionekana na passport ya kijani, lazima uombwe mpunga. ( enzi hizo ni zile pass zetu za kijani) Sijui kwa sasa.
Furahini mazee, Hadi Raha yaniHahahaaa ni passion tu ya road trip
Yaaani 22 regions kuanzia Mbeya-Songwe-Rukwa-Katavi-Kigoma-Kagera-Geita-Mwanza-Shinyanga-Tabora-Singida-Dodoma-Manyara-Arusha-Kilimanjaro-Tanga-Pwani-Dar-Lindi-Mtwara-Ruvuma-Njombe halafu Mby ndani ya two weeks. Ni kudrive tu na kuenjoy mandhari kula vyakula mbalimbali kila sehemu na kujifunza
Hahaha ni Dodoma, karibu.Hahahaaa sisi maTrucker hao tushawazoea hawalambi hata chuma
Halafu we mdada unajipenda sana wewe ukaamua ukajipumzishe tu na Pajama lako😂😂
Wasalimie bahi huko. Naona yule rafiki yako mmoja kachongewa na CAG mpaka anasababisha msee kaambiwa anademka
Nimecomment kitu hapo juu mkuu angalia tuandae yakwetu Mwisho wa mwaka. Nataka nimlipe dogo
Poa poa kiongoziNishamaliza trip hizo mikoa yote, Tanzania na nchi kadhaa kama 16 Afrika, na asia nchi kama 5 now nipo porini ten years back ndio nilikua na hiyo misafara ndio maana nakumbuka maeneo mengi nimeyataja kwa majina kabisa Mkuu
Omba na Mungu... mwisho wa mwaka ni mbali sana kwa maisha ya sasa.Nimecomment kitu hapo juu mkuu angalia tuandae yakwetu Mwisho wa mwaka. Nataka nimlipe dogo
Naomba sana mkuu brigedia manyotaOmba na Mungu... mwisho wa mwaka ni mbali sana kwa maisha ya sasa.
Unaweza ukachunga Ngamia mwezi mzima ukaambulia kulipwa Birika la Kahawa na duaKule utaambulia kuvaa tule tukanzu tufupi hivi na makobazi labda utakula sana tende na maziwa ya ngamia kwa fursa hazipo au ujiunge na waasi uwe mpiganaji kazi kwisha
Ukanda huo hamna kitu. Nimewahi kaa mwezi mmoja Ahmedabad, ni karibu na Pakistan. Kuna joto balaa. Linagonga zaidi ya 40°C. Ndio maana hao jamaa wanavaa vikanzu.Kule utaambulia kuvaa tule tukanzu tufupi hivi na makobazi labda utakula sana tende na maziwa ya ngamia kwa fursa hazipo au ujiunge na waasi uwe mpiganaji kazi kwisha
Thubutuu! Ngada niuze mimi lodilofa!Ila wewe umezidi kusafiri au unauza ngada mkuu🤐🤐..mara niko india mara abudhabi🤣🤣! Uje kwangu sasa...nikienda sana naishia sirari .hahha..nipe uzoefu wa Kampala mkuu...nzuri sana kutembea aisee
Anamaanisha Z Anto?Niambie kwanza kama Keagan amekuja kuendelea na stori maana nimeingia humu saa hii, nami ntakwambia anaendeleaje 😀
Road trip ni sehemu ya kufurahia kwa wengine mkuu.Kuna watu wananogewa na road trips. Nina kaka yangu yuko SA hela kwake sio tatizo ila kama mara nne za mwisho anakuja na Hilux flani hivi tangu SA mpaka bongo. Hiyo hela si angepanda ndege, maana kuna services za gari anafanya uhakika na hakai mwaka bila kuja.
Bado hatukati tamaa tunasubiria ashushe nondo maana tumeinywea story kahawa[emoji38][emoji38][emoji38]Mjamaa kalala
Si unajua tena Mwezi wa Ramazani mpaka DakuStory imeisha au
Kweli chief, hata Lema au Lissu pasipo kujilipua leo hii wasingekuwa mamtoni huko 😁!Haya mambo ya kufikiria sana ndo yanatuponza wengi. Unakaa unapanga wee mipango mipango mpaka unazeeka
Ukiwaona wanaijeria au wakenya walivyojaa diaspora huwezi kuwa na akili kama hizi za kukaa mpaka uwe na mpango. Kujilipua ni kujilipua tu
Sasa hivi kuna vizazi vya pili na vya tatu vya watoto wa kinaijeria marekani,UK na Scandinavia huko wanafanya kazi za maana ila wazazi waliingia kwa mitikasi hivi hivi(bila kupanga)
Matajiri wa kihindi UK(Wanaendesha uchumi wa bibi saiv) waliingia kwa mitikasi
Warusi UK woote wameanzia kwenye magenge ya uhalifu
Waitaliano wote USA na waIreland wameanzia kwenye magenge ya uhalifu
Sometimes uoga wetu ndo umetufikisha hapa...Mambo yakishakua magumu the end justifies the means mkuu
Hao wanaigeria ujuaji wao unawacost kila sehemu hawakubaliki kutokana na tabia zao za kishenzi,utapeli,wizi etcYaaani tumetengenezwa kizazi cha uoga sana na kuwaza mipango mipango mipango mpaka mtu anazeeka alikua anapanga tu
Huko serikalini sasa ndo kila siku mchakato,Tuko mbioni,upembuzi yakinifu,tunaandaa mpango mkakati mpaka kitu kije kufanyika mshachelewa sana
Kwa hili aisee ndo nilimkubali Msee Marehemu. Mipango hakuna unajilipua kila kitu kitajulikana mbele kwa mbele. Ukishakua na hii spirit lazima utapata njia tu ya kutatua ya huko mbele
Wanaijeria nawafahamu vizuri sana wale jamaa yaani wahalifu,wanafanya kazi halali,majinias,waliosoma,kina kalume kenge wale ni kujilipua tu hawaogopi kitu na inawasaidia sana kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na kwa familia pia
Wakenya nao hawako nyuma na wanajua kushikana mikono sana....yaan US mbongo ukiongea Lafudhi tu wanadhani Mnaija😂😂
Sie tumejifungia huku nyumbani Madibila tunakula Pitiku na ugali tunaridhika tunaogopa