Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Ni kweli maana wapo vijana mjini ni wakali na hawajawahi kuajiriwa wala kufanya biashara inayoonekana lakini wana mali nyingi,mjini ni mipango tu.
Mimi nakula mshahara mzuri lakini kuna rafiki ananichapa kimapato,na ukimkuta kwenye husle zake wala hujui anapataje mkwanja.
Chuma ulete.
 
Nilienda kwa bus, kupitia njia aliyopita mtoa mada nikarudi kwa mwewe. Njia Dom-Mbeya-tunduma (Nakonde border)-Lusaka-Chirundu one stop border- Beitbridge border moya kwa moya Jozi. Nililala tunduma boda, nikalala na kukaa Lusaka wiki, nikaongoza Jozi.

Kutoka tunduma nilipanda power tools mabasi fulani ya njano, Kutoka Lusaka nilipanda basi inaitwa Joldan kama sijakosea spelling, nalikumbuka tu ni la rangi ya zambarau.

Changamoto ya safari ya barabara, ni kuombwa rushwa uhamiaji, hata mimi niliombwa tunduma na chirundu, tena aliyeniomba chirundu ni mdada, wanasema kuwa ukionekana na passport ya kijani, lazima uombwe mpunga. ( enzi hizo ni zile pass zetu za kijani) Sijui kwa sasa.
Hahahaaa sisi maTrucker hao tushawazoea hawalambi hata chuma

Halafu we mdada unajipenda sana wewe ukaamua ukajipumzishe tu na Pajama lako😂😂

Wasalimie bahi huko. Naona yule rafiki yako mmoja kachongewa na CAG mpaka anasababisha msee kaambiwa anademka
 
Hahahaaa ni passion tu ya road trip

Yaaani 22 regions kuanzia Mbeya-Songwe-Rukwa-Katavi-Kigoma-Kagera-Geita-Mwanza-Shinyanga-Tabora-Singida-Dodoma-Manyara-Arusha-Kilimanjaro-Tanga-Pwani-Dar-Lindi-Mtwara-Ruvuma-Njombe halafu Mby ndani ya two weeks. Ni kudrive tu na kuenjoy mandhari kula vyakula mbalimbali kila sehemu na kujifunza
Furahini mazee, Hadi Raha yani
 
Hahahaaa sisi maTrucker hao tushawazoea hawalambi hata chuma

Halafu we mdada unajipenda sana wewe ukaamua ukajipumzishe tu na Pajama lako😂😂

Wasalimie bahi huko. Naona yule rafiki yako mmoja kachongewa na CAG mpaka anasababisha msee kaambiwa anademka
Hahaha ni Dodoma, karibu.

Mzee anajua kujitoa ufahamu mambo yake yakiguswa ni mwendo wa kudemka.
 
Nimecomment kitu hapo juu mkuu angalia tuandae yakwetu Mwisho wa mwaka. Nataka nimlipe dogo

Nishamaliza trip hizo mikoa yote, Tanzania na nchi kadhaa kama 16 Afrika, na asia nchi kama 5 now nipo porini ten years back ndio nilikua na hiyo misafara ndio maana nakumbuka maeneo mengi nimeyataja kwa majina kabisa Mkuu
 
Nishamaliza trip hizo mikoa yote, Tanzania na nchi kadhaa kama 16 Afrika, na asia nchi kama 5 now nipo porini ten years back ndio nilikua na hiyo misafara ndio maana nakumbuka maeneo mengi nimeyataja kwa majina kabisa Mkuu
Poa poa kiongozi
 
Kwahiyo Watanzania wengi mfumo wa ujamaa unatudumaza akili na hapo ndio hata ccm inapata pakupitia, sasa ubepari ni mfumo wa amsha amsha bila kuchangamka huwezi kumiliki kitu hivo akili lazima iwe active sana, unakuta mtu anawaza oohh nikienda mbali nikifa je? Asijue hata akiwa kalala kwake chumbani atakufa vile vile ni vizuri kupata adventures tofauti tofauti ili kujifunza dunia ikoje
 
Kule utaambulia kuvaa tule tukanzu tufupi hivi na makobazi labda utakula sana tende na maziwa ya ngamia kwa fursa hazipo au ujiunge na waasi uwe mpiganaji kazi kwisha
Ukanda huo hamna kitu. Nimewahi kaa mwezi mmoja Ahmedabad, ni karibu na Pakistan. Kuna joto balaa. Linagonga zaidi ya 40°C. Ndio maana hao jamaa wanavaa vikanzu.
 
Kuna watu wananogewa na road trips. Nina kaka yangu yuko SA hela kwake sio tatizo ila kama mara nne za mwisho anakuja na Hilux flani hivi tangu SA mpaka bongo. Hiyo hela si angepanda ndege, maana kuna services za gari anafanya uhakika na hakai mwaka bila kuja.
Road trip ni sehemu ya kufurahia kwa wengine mkuu.
Napenda sana usafiri wa anga lakini nina enjoy zaidi road trips
 
Haya mambo ya kufikiria sana ndo yanatuponza wengi. Unakaa unapanga wee mipango mipango mpaka unazeeka

Ukiwaona wanaijeria au wakenya walivyojaa diaspora huwezi kuwa na akili kama hizi za kukaa mpaka uwe na mpango. Kujilipua ni kujilipua tu

Sasa hivi kuna vizazi vya pili na vya tatu vya watoto wa kinaijeria marekani,UK na Scandinavia huko wanafanya kazi za maana ila wazazi waliingia kwa mitikasi hivi hivi(bila kupanga)

Matajiri wa kihindi UK(Wanaendesha uchumi wa bibi saiv) waliingia kwa mitikasi

Warusi UK woote wameanzia kwenye magenge ya uhalifu

Waitaliano wote USA na waIreland wameanzia kwenye magenge ya uhalifu

Sometimes uoga wetu ndo umetufikisha hapa...Mambo yakishakua magumu the end justifies the means mkuu
Kweli chief, hata Lema au Lissu pasipo kujilipua leo hii wasingekuwa mamtoni huko 😁!
 
Yaaani tumetengenezwa kizazi cha uoga sana na kuwaza mipango mipango mipango mpaka mtu anazeeka alikua anapanga tu

Huko serikalini sasa ndo kila siku mchakato,Tuko mbioni,upembuzi yakinifu,tunaandaa mpango mkakati mpaka kitu kije kufanyika mshachelewa sana

Kwa hili aisee ndo nilimkubali Msee Marehemu. Mipango hakuna unajilipua kila kitu kitajulikana mbele kwa mbele. Ukishakua na hii spirit lazima utapata njia tu ya kutatua ya huko mbele

Wanaijeria nawafahamu vizuri sana wale jamaa yaani wahalifu,wanafanya kazi halali,majinias,waliosoma,kina kalume kenge wale ni kujilipua tu hawaogopi kitu na inawasaidia sana kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na kwa familia pia

Wakenya nao hawako nyuma na wanajua kushikana mikono sana....yaan US mbongo ukiongea Lafudhi tu wanadhani Mnaija😂😂

Sie tumejifungia huku nyumbani Madibila tunakula Pitiku na ugali tunaridhika tunaogopa
Hao wanaigeria ujuaji wao unawacost kila sehemu hawakubaliki kutokana na tabia zao za kishenzi,utapeli,wizi etc
Kinachosababisha wakimbie kwao ni umasikini na kwa sasa nchi yao hali ya kisiasa sio nzuri muda wowote kitawaka
 
Back
Top Bottom