Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

kanisa RHEMA? mkuu
 
Kuna wakati kujilipua kusiwe kama fasheni kwasababu unaona watu wanajilipua, hapana jitahidi uwe na sababu hasa ya kujilipua..

Jitahidi unapotaka kujilipua uwe tayari umepambana vya kutosha humu humu imeshindikana na njia pekee ni kujaribu kwingine, kuna wimbi la vijana wako nje kwa sababu ni sifa kwake kuwa nje na hakuna juhudi alizojaribu kufanya akiwa hapa na hata huko aliko hana anachokifanya zaidi ya kuishi normal life ambayo hata hapa si ajabu ungeweka nguvu kidogo ungefanikiwa..

Kwenye kusafiri kuna namna nyingi, wapo wanaosafiri kwenda kutembea, wapo wanaosafiri kwa kutumia ramani zilizoanzia hapa na kwenda kupiga michongo mbele na kurudi hapa, wapo wanaosafiri baada ya kushindwa kabisa kutoboa hapa...
 
Mimi (Keagan Paul) nikiwa na akili zangu timamu, naapa kwamba nitasimulia kila kitu kama nilivyoahidi kwa mujibu wa sheria iliyowekwa.

Na kwamba nitasimulia mwanzo hadi mwisho bila kuingiwa na tamaa za kuhamia telegram.

Ee mnyaazi Mungu nisaidie.
Na washarika Tuungane nae Kwa pamoja tuseme ee myaazi Mungu Utusaidie...

Much:Bwana awabariki na kuwalinda.
Awaaangazie Nuru ya uso wake apate kuwafadhili.

Mch: Bwana akae nanyi.
Ush:Akae na roho yako.
Mch:Tummhimidi bwana.
USH:Tumshukuru Mungu....

Mch:Tukienda kulipia matoleo yetu kule telegram Usharika Tuimbe wimbo namba 205 Beti 5..

Baada ya hapo dada Noelia atatuongoza pambio wakati tunamsubir Keagan Paul Aje atupe Uzi wa leo.
 
Wanaijeria nchi yao inaruhusu uraia pacha. Ukiwa na uraia pacha inasaidia kuwekeza nyumbani. Tanzania uraia pacha hawajaruhusu. Tanzania kila kitu kinyume nyuma tu. Nchi nyingi za Africa wameruhusu uraia pacha
Sio sababu... Ndg zangu kibao wapo ughaibuni na wengine sio watanzania tena, wamebadili uraia wakija wanakuja kama wageni wengine japo huku ndio kwao, na wala wekeza huku pia kusaidia wazazi ndg na jamaa...

Dunia imebadilika sana, Pass ni makaratasi tu kama pesa haiwezi kukuondolea hitaji lako kisa kuukwaa umarekani na kuukana ukenya etc...

Una weza baki nao vilevile na haina tatizo... Una zani wewe ukiwa ughaibuni na Tz wako basi na wanao na wajukuu watakuwa watanzania kama wewe? Waache fursa kisa Utanzania?

Jicho lake la fursa haliwezi kuwa jicho lako, ukishindwa wewe sio kuwa wote watashindwa...

Yusuf Polsen baba yake kwao Tanga na mama mdenish, lakini kaamua kuwa mdenish japo huwa anakuja Tanga kusalimia, kaoa mjerumani na wana mtoto... Una hisi huyu mjukuu atakuja kuwa Tz? Kama sio mjerumani ni mdenish au hata hasiwe kt ya hayo mataifa mawili...

Charlie Chapliman mchekeshaji huyu ana watoto wengi na watoto wana mataifa yao tofauti... Kuna waingereza, waswiz, Uk etc... Haya mambo ya Mimi mzigua au mchaga tuna fata kwa baba kisa baba mchaga au mzigua unashindwa tembea na ndoto zako ni umasikini naona
 
wapo wanaosafiri kwa michongo inayoanzia humuhumu tanzania na kwenda moja kwa moja kwenye michongo kwingineko..

tusijifungie sana ndani, tujitahidi kujichanganya na watu tofauti tofauti, tusidharau watu, tuwe na marafiki tofauti tofauti kila mahala..

Wapo wabongo hapa hapa wanamichongo hatari sana inayoweza kukufikisha mpaka USA u Moscow.... inategemea na marafiki au watu wanaokuzunguka, Kwenda Yemeni huendi tu kwasababu unaenda Yemeni au Kabul hapana unakwenda tayari kuna deal limeanzia Iran likaja bongo then likarudi Yemeni.....tujifunze kuwa na marafiki wengi kila mahala, tujichanganye na kila mtu kuanzia masheikh, wapadri, wachungaji, makahaba, wezi, mateja, wauza unga, mapolisi, wanajeshi, nk...
 
Mimi (Keagan Paul) nikiwa na akili zangu timamu, naapa kwamba nitasimulia kila kitu kama nilivyoahidi kwa mujibu wa sheria iliyowekwa.

Na kwamba nitasimulia mwanzo hadi mwisho bila kuingiwa na tamaa za kuhamia telegram.

Ee mnyaazi Mungu nisaidie.
Do you smoke nicca?.
What's the f"ck hommie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…