Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Unalala Runzewe mkuu kukamata vitoto vya kisumbwa na kisukuma!
 
Anza kubeba RAIA mkuu... Hivi hawa nao wana piga mishe za poda?
 

Don’t use God’s name profanely
 
Nilicheza ngoma yao, nikakusanya ushahidi muhimu, wakuomba pesa/ngono tena walivyo washenzi wanaweka conditions zao bila aibu Yani,,, sikutoa chochote nje ya masharti ya lazima ila tu walinicheleweshea,
Ulifanya vyema sana! Nachukia kwenye hziz ofisi nyongi ukienda kufata huduma wanaona kama umeenda kuomba msaada.
 
Unazungumziaje baadhi ya wanaume choka mbaya walio hapa bongo wanaoendelea kuwaponda single mothers kuwa hawafai kuolewa?
 
Eeeeh Mungu saidia huu uzi uishe salama, maana umeshaingiliwa na:

Malaya+wadangaji,
Wajuaji+wapenda sifa,
Waongo waongo.

Amen.



Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
We ndugu acha kijiona msafi sana, watu wanapiga story zao kusogeza uzi, hao unaowaita madanga hawajawahi kukudangia, na hao malaya hujawahi kuwafukunyua, acha umbea mtoto wa kiume relax tusubiri story iendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…