Akikujibu nitagYule mchungaji mkopaji mliyetaka kumpa foursomes aliwagegeda dada mkubwa?
Mimi nakutaka MadameWewe kama unanitaka useme sio unaruka ruka kama popcorn kikaangoni.
.....Naona umeishiwa points, unakimbilia kunitafuta uniadabishe
Ndio siku zingine ukome kudandia yaso yako mtaa umetulea
Uzi alete mwingine, kuwashwa uwashwe wewe.
☺️☺️☺️
Niache nikatafute pesa
[QUOTE="Mimi nimeenda hv karibuni tu. Niligongewa nikaambiwa miezi mitatu. Nilimkuta jamaa amechoka anataka kuondoka maana ilikuwa jioni. Akaniambia nenda kwa yule dada sio mimi maana ndo alikuwa ameigia. wakati naondoka akaniuliza umetoka Msumbiji au sehemu tofauti. Nikamjibu natoka Tanzania, akasema njoo hapa kama ni Tanzania. , member: 15559"]
Mimi nimeenda hv karibuni tu. Niligongewa nikaambiwa miezi mitatu. Nilimkuta jamaa amechoka anataka kuondoka maana ilikuwa jioni. Akaniambia nenda kwa yule dada sio mimi maana ndo alikuwa ameigia. wakati naondoka akaniuliza umetoka Msumbiji au sehemu tofauti. Nikamjibu natoka Tanzania, akasema njoo hapa kama ni Tanzania. akanigongea miezi mitatu
Mkuu ivi subira nayo inafikiaga mwishoNasemajeee, TUMECHOOKAAAA... mleta stori FAALA tuuuuu.[emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Nani mwingine ana umafia wa aina ile, wazamiaji wote wa story za watu walikuwa wapole.mpaka akamatatisha,yule mafioso kweli!!Mbona mnakwama kwama alie simulia kisa chake bila kukwama ni holy holm
Hata mie nilijua nikiingia jioni nitakuta walau episode mojaDah! Nimefungua Uzi hola[emoji53]
Mkuu wewe umesema umeishi South Africa miaka kibao (binafsi sina shaka na hilo kabisa) ila unayoandika hapa ni kama vile sio msafiri wa pande zile.
Kama unaelewa vizuri,wabongo siku hizi hawapewi siku nyingi wanapoingia South hata kama ni first time,yaani siku hizi unapewa one week mpaka two weeks basi tofauti na kitambo,
Ila mabaharia wakishaingia tu South,wanakaa mwanzo mwisho bila kwenda kugonga tena wala kuwa na document yoyote ya kuishi kule.
Hakuna sehemu hatari kuishi bila vibali ndani ya South kama Jozi,maana kuna jamaa wanaitwa SECTOR 2,daily wapo mitaani kukamata watu wasio na vibali lakini bado kuna mabaharia kibao wapo hapo hapo jozi bila kibali chochote miaka nenda rudi na wanapeta tu,sasa wewe unashangaa nini mtu wangu?
Kingine kama umepita boda za South,basi lazima utakuwa unajua kwamba pesa ndio mchawi pande zile,yaani ukiwa na mkwanja tu,unaingia bila hata hiyo passport,sembuse kuwa ime expire?
Halafu nimeshangaa zaidi uliposema polisi wanachana asylum permit (MPANGO),mpango original ambao umetolewa na Home Affairs police anaanzaje kuuchana?hiyo asylum permit inatumika mpaka na maboss wa kiEthopia/Wahindi wenye miduka mikubwa na biashara nyingine kubwa tu South,halafu unasema mpango hausebenzi kaburu?..watu mpaka mahakamani wanatoka na huo huo mpango,
waliokupigia story za police kuchana mpango walikuwa wanakuzingua tu mwana!!
Ukimaliza story ya kumbu, tafuta story inaitwa "how i met my wife" na story ya HAMIDA, Utanishukuru baadae.Naomba Link ya story ya kumbu
Mkuu naomba niingilie kujibu hili, kuna syory ya mwaka jana " how i met my wife" by kigakoyo ni bora kabisa kwangu mimi tangu jamii forum ianze, na pia kuna ya "Hamida nayo duh ni kali sana, utanishukuru baadaeMkuu nipe list ya stori zilizowahi kukimbiza humu JF hata za zaman before ile ya KHUMBU maana zamani nilikuwa sifatili sasa huu wa PAUL naona speed yake ya kuandika imeanza kuwa na mashaka.
Pia uniambie nyuzi,hizo zinapatikana jukwa lini.
Asante
Tupia link kamandaMkuu naomba niingilie kujibu hili, kuna syory ya mwaka jana " how i met my wife" by kigakoyo ni bora kabisa kwangu mimi tangu jamii forum ianze, na pia kuna ya "Hamida nayo duh ni kali sana, utanishukuru baadae
Wazaap stuxnetIsee
Ni kias ganii boss mfano unatakaa kuongezaa miezii miwiliiiNdio tunahitaji ila unapewa bure at port of entry. Ila ikikaribia kuisha inabidi uilipie kama unataka kuendelea kuishi.
Tafuta story ya vituko nilovoshuhudia kwa macho yangu by lwanda magereMkuu nipe list ya stori zilizowahi kukimbiza humu JF hata za zaman before ile ya KHUMBU maana zamani nilikuwa sifatili sasa huu wa PAUL naona speed yake ya kuandika imeanza kuwa na mashaka.
Pia uniambie nyuzi,hizo zinapatikana jukwa lini.
Asante