imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hayo manenoNitampoza faida itayopatikana maana uhusika wake ni mkubwa sana kwenye tamthilia nitakayoitunga..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo manenoNitampoza faida itayopatikana maana uhusika wake ni mkubwa sana kwenye tamthilia nitakayoitunga..
Haswaaa.....kuna zungu lilikuja shika tu vipepeo huko mufindi tukawa tunamshangaa ..mwe life!Usije kumuona Mgeni mpambanaji kutokea Nchi zao yuko hapa Bongo ukamsimanga.
Nna incidence nyingi mno aise nimezipitia! Nashukuru zimenifunzaUna uthubutu inborn mie wa kwako siuwezi Niko mwoga sana
Wangari kama Wangari😂😂Haswaaa.....kuna zungu lilikuja shika tu vipepeo huko mufindi tukawa tunamshangaa ..mwe life!
Ila wazungu huwa wana muda na hawajui kujibana kabisa kutimiza fantasy zaoHaswaaa.....kuna zungu lilikuja shika tu vipepeo huko mufindi tukawa tunamshangaa ..mwe life!
Ndo maana wana mafaniko....Ila wazungu huwa wana muda na hawajui kujibana kabisa kutimiza fantasy zao
Unakomaa kibishi,Mimi bhana nashukiwaga ngekewa tu, na ya awamu hii ni zali tu la mentaliNna incidence nyingi mno aise nimezipitia! Nashukuru zimenifunza
Wako vizuri upstairs sio km sie ngozi nyeusi uoga mwingiiiNdo maana wana mafaniko....
HahahaDaah sijui ningelitamkaje lazma ningelichinja tu ...kasolisile bora Khumbu
Mie had nifight by hooks n crooks .bila hivyo hakuna kitu..mie mtu nayemwangalia kama mentor wangu ni dingilai..ukiskia mtu anapata hela akiwa amekaa anachek aljazeera ndo yule ..yaan kuna flow ya hela inaingia amekaa tu..nayataka hayo maisha!nimechoka sana kukimbizna na mibasi road😭😭😭! Kidg mwanga nauona ...najipa mwaka m1 nijitwe mkurugenzi....🤣🤣! Itumie bahati hiyo vzrUnakomaa kibishi,Mimi bhana nashukiwaga ngekewa tu, na ya awamu hii ni zali tu la mentali
East to SouthNaaam....south here we are.
hahaaaa nazani sipunde utam ukinoga tutahamia telgram kwakiingilio[emoji38][emoji38]chakuchangia wino wa story kamiliBro Episode zisiwe nyingi kama series za kikorea sasa
Mkuu usije kuwa na kidhungu kama cha marehemu Jiwe! Ila mkuu hujaeleza sasa pale kwa Bwana Y, kwa kuwa wewe ulikuwa haujaanza kuuza ngada ulikuwa unaishije? Ni kula kulala tu au ulikuwa unapiga vikazi vya hapa na pale?Wakuu kwa upande wa Lugha ya Kizungu siko vibaya sana. Naweza kujitetea kiasi chake
Ulilipie sasa[emoji4]Hiyo ilikuwa tangazo la biashara
sikupingi mkuu ndio mana mm nimeona nijiweke hpa[emoji116]Mzee unatafuta kwa shida ushindwe hata kununua landrover kuukuu ukaitengeneze upya Arusha uwekewe engin ya m 5 mpya waipimp ikae kisafari na tent kwa juu huku unakula trip zako za barabarani, duniani usijibane sana tenga muda wa kula maisha ili akili irelax
😀Haelewi mnalea ndoa
kithungu chamwenda zake kilikua cha sukumageng[emoji28]Mkuu usije kuwa na kidhungu kama cha marehemu Jiwe! Ila mkuu hujaeleza sasa pale kwa Bwana Y, kwa kuwa wewe ulikuwa haujaanza kuuza ngada ulikuwa unaishije? Ni kula kulala tu au ulikuwa unapiga vikazi vya hapa na pale?