Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Shogangu mamake anaendaga dec kupumizka..mama anajiweza balaa ...so ametumotivate sana twende na wanetu ....khaa mzee wa 70 yts anaenda iweje ss tushindwe...tunapambana hata hela zavikoba tutakopa twendeeee🤣🤣🤣
70 yrs na kule unaweza pata mchongo wa kuwa mke wa pili wa muarabu wa huko... Maama utakataa au utailinda na kuitete katiba ya nchi kwamujibu wa sheria ya ndoa
 
70 yrs na kule unaweza pata mchongo wa kuwa mke wa pili wa muarabu wa huko... Maama utakataa au utailinda na kuitete katiba ya nchi kwamujibu wa shetia ya ndoa
🤣🤣🤣🤣
noela aje anijibie hili...
Ah mie kuwa muislam sitaweza ...no..ingawa sili pork lakimi sitauweza utamaduni wa kupiga juba...
 
🤣🤣🤣🤣
noela aje anijibie hili...
Ah mie kuwa muislam sitaweza ...no..ingawa sili pork lakimi sitauweza utamaduni wa kupiga juba...
Kama unavaaga dira hilo linakushinda nini? au wewe muoga wa rangi nyeusi. Siku mbili ya tatu mnatifuana unajikuta kazi unayo na connection zake unazo.. Ukija bongo unaonekana mpya kabisa maswahibu yako ya dubai nan atayajua ?
 
Kama unavaaga dira hilo linakushinda nini? au wewe muoga wa rangi nyeusi. Siku mbili ya tatu mnatifuana unajikuta kazi unayo na connection zake unazo.. Ukija bongo unaonekana mpya kabisa maswahibu yako ya dubai nan atayajua ?
Mie dira navaa msibani..acha tu nikasafishe macho uzee ushaingia mkuu..tulee tu watoto...
 
Mapambano yanaendelea Chama cha wala Tunda kimasikhara Tupo hapa ...Tunaisubiri Tuone/tusome ulipokula ..Tunda la watoto wa kizulu ...Kikaburu ..Kama hamna huu Uzi Ni batili/chai .
Utawajibishwa.
Imeandaliwa na Msemaji MKUU CCHAWATUKI Hplp2275H
NA KUSAINIWA NA MWENYEKITI : rikiboy
naunga hoja mkuu.. tupo tunafatilia kwa kinaa mno[emoji851][emoji851][emoji851]
 
Back
Top Bottom