Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeDuh very impressive story
Mie najuaga ni moro .kumbe huko? Pande zipi kule? Siginali? Au kikwavila🤣Ooooh nakujua vizuri sana huko, ni nyumbani
🤣Unakuta mtu anawaza minada ya chita, Lupilo, mgeta, itete, idete, kikurukutu, mavimba, na namawala anarudi mjini ifakara akishaingia kampala akila nyama choma na bia maisha kwisha maisha haya balaa sana
Pale V/60 minarani, Moro ndiyo nilipokulia huko ni original.Mie najuaga ni moro .kumbe huko? Pande zipi kule? Siginali? Au kikwavila🤣
[emoji1787]
Ohh hom mm kaporoPale V/60 minarani, Moro ndiyo nilipokulia huko ni original.
Hongera aisee kusafiri .sie wengine tunaishiaga mipakani tu🤧🤧!Mkuu usicheke ujue kwenye harakati Tanzania niliimaliza maana kusema travellor akae dukani asubiri mteja ambae hawana ahadi nae nilishindwa
Hongera aisee kusafiri .sie wengine tunaishiaga mipakani tu[emoji1784][emoji1784]!
Umeandika ukweli mtupu watanzania tumerizika sana na haya maisha. Hatuhangaiki kutafuta maarifa mapya ukishapata hela ya bia tu ndio basi tenaMkuu usicheke ujue kwenye harakati Tanzania niliimaliza maana kusema travellor akae dukani asubiri mteja ambae hawana ahadi nae nilishindwa
Napajua naenda kule kila mwaka likizo time atleast wk 1 nikae nifurahi na rafiki zangu wa utoto maana zamani kila likizo tulikuwa tunafika kule.Ohh hom mm kaporo
Lovely....Napajua naenda kule kila mwaka likizo time atleast wk 1 nikae nifurahi na rafiki zangu wa utoto maana zamani kila likizo tulikuwa tunafika kule.
Maisha ni mafupi Why StressMzee unatafuta kwa shida ushindwe hata kununua landrover kuukuu ukaitengeneze upya Arusha uwekewe engin ya m 5 mpya waipimp ikae kisafari na tent kwa juu huku unakula trip zako za barabarani, duniani usijibane sana tenga muda wa kula maisha ili akili irelax
ulienda kwa njia ya Google mapmimi bado naandaa kitabu cha harakati zangu..kutokea Dsm-Mogadishu-Yemen-Iran-Dsm-kahama-Geita-Mwanza-kakola-tarime-Dsm-Mafia- Dsm-kampala-Nairobi-kigali-Namibia-Lusaka-Nampula-Pemba-Beira-Maputo- Durban-Pretoria-Joberg- Iran-Kandahar-Peshawar-Kabul-Khost-Uzbegistan-Chechniya-Yemen-Moscow-Madagascar-Capeverde-France-Gabon-Burkinafaso-Namibia - capeverde-grenada-france-Swiss - Namibia -Dsm..
Hakikisha kila unapofika unaacha mbegu sio mnakuwa wavivu wavivu...
Hahahhahaa mkuu si had mambo yakae sawa sasa? Hahahahaha..nakufa mie...serious dec na mm nitoe ushamba wa kisukuma😒! Nikishindwa bas niende water falls yyt huko nikaliwe tu nA🐊Wewe hatukuwezi Vacation unapanga Dubai wakati nawaza hapa vacation niwe maji moto au mamba katavi huko
Ila siku ukitak kwenda kwa yule shost nistue...au hamjawah panga kwendaga...kumtembeleaNapajua naenda kule kila mwaka likizo time atleast wk 1 nikae nifurahi na rafiki zangu wa utoto maana zamani kila likizo tulikuwa tunafika kule.
Ngoja nipaki nguo kwenye begi, nami nitafute pa kwenda.....
Uzee n namba. Jaribu jutembea uwone wazee wanavyokula bata, achana na hawa wazee wa uswahilini ambao wakipata ela wanafanya vitukoMie dira navaa msibani..acha tu nikasafishe macho uzee ushaingia mkuu..tulee tu watoto...