Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
🤣🤣🤣🤣 hakika mkuuUzee n namba. Jaribu jutembea uwone wazee wanavyokula bata, achana na hawa wazee wa uswahilini ambao wakipata ela wanafanya vituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 hakika mkuuUzee n namba. Jaribu jutembea uwone wazee wanavyokula bata, achana na hawa wazee wa uswahilini ambao wakipata ela wanafanya vituko
Uzee n namba. Jaribu jutembea uwone wazee wanavyokula bata, achana na hawa wazee wa uswahilini ambao wakipata ela wanafanya vituko
Mie hata siwezag soma stry za kinamna hii najiona kama utoto..lol..so.uko interested balaa..nimesoma episod 3 nikaona utoto..sijui why!Naona paul anaringa sana na uzi wake
Anaona tunashida sana au vp?
Kwanini atutese huyu lakini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona paul anaringa sana na uzi wake
Anaona tunashida sana au vp?
Kwanini atutese huyu lakini
Halafu unakutana na Mbwiga wa Idara ya Uhamiaji anasema hatoi Pasi mpaka upeleke sababu za Safari
Wengi wa hao maafsaa wamepewa hizo nafasi kiushemeji na asili yao ni kula kulala.
Hawajui kuhangaika.
kila mtu ana benchmarks zake anaposema jambo. Like weweunaweza sema leo huna hela Same time una elfu 50 kwenye wallet. nahii inakua defined na uchumi wako.
Jamaa huenda ana uwezo wa kukusanya milionmoja but anahitaji milion100
nawewe nenda kwa google map...ulienda kwa njia ya Google map
Hawaelewi ugumu wa Maisha mpaka wakishafukuzwa kaziHua nawachek najisemea hawa kuvaa uniform zao na kujua salamu za lugha kadhaa wanaona washamaliza, wewe toa kitabu watu wasonge mbele, mimi kikiishaga nazama makao yao makuu namaliza mchezo naondoka zangu,
Hebu tiririkaBaada ya kumaliza form four nikaanza safari za Dar kariakoo. Day 1 nilipelekwa na mtu poa sana. Nikazoea.
Nikiwa first year chuo, likizo ndefu niliamua kujilipua Kampala.
Niko mwenyewe, sina ABC wala mwenyeji. Ilikuwa patashika ila nilijifunza mengi.
Baada ya kumaliza form four nikaanza safari za Dar kariakoo. Day 1 nilipelekwa na mtu poa sana. Nikazoea.
Nikiwa first year chuo, likizo ndefu niliamua kujilipua Kampala.
Niko mwenyewe, sina ABC wala mwenyeji. Ilikuwa patashika ila nilijifunza mengi.
Mkianza kuadisiana kila mmoja hapa story zake database za jf ntazijaza kwa uwongo wakutungaHebu tiririka