Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
70 yrs na kule unaweza pata mchongo wa kuwa mke wa pili wa muarabu wa huko... Maama utakataa au utailinda na kuitete katiba ya nchi kwamujibu wa sheria ya ndoaShogangu mamake anaendaga dec kupumizka..mama anajiweza balaa ...so ametumotivate sana twende na wanetu ....khaa mzee wa 70 yts anaenda iweje ss tushindwe...tunapambana hata hela zavikoba tutakopa twendeeee🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣70 yrs na kule unaweza pata mchongo wa kuwa mke wa pili wa muarabu wa huko... Maama utakataa au utailinda na kuitete katiba ya nchi kwamujibu wa shetia ya ndoa
😂😂😂😂Da mb nazo zmekata natumai siku nikirudi online story itakua imeisha!
Ha haa Mimi ni mama wa familia. Muhenga kabisaSamahani mkuu kama nimekosea [emoji120][emoji120]
kila nikiona id yako nacheka sanaa mkuu, kuna post umeandika kwenye huu uzi🤣🤣Asante
Ametukana balaa...uwii😤kila nikiona id yako nacheka sanaa mkuu, kuna post umeandika kwenye huu uzi🤣🤣
...ndio maana wako wanaojivunia kuoa wanawake wa kichaga
Wako mazezeta piaAhh
Hiyo ni spirit ya upambambanaji mihuri iko kwenye damu Mara chache sana kukuta mchaga asiye mchakarikaji...ndio maana wako wanaojivunia kuoa wanawake wa kichaga....n jeshi
Haya majungu Sasa bwahahaaaaUnakuta Mwanaume mzima anazaliwa Ikwiriri anakuja kufia Mbagala huyo Dunia haijui
Kama unavaaga dira hilo linakushinda nini? au wewe muoga wa rangi nyeusi. Siku mbili ya tatu mnatifuana unajikuta kazi unayo na connection zake unazo.. Ukija bongo unaonekana mpya kabisa maswahibu yako ya dubai nan atayajua ?🤣🤣🤣🤣
noela aje anijibie hili...
Ah mie kuwa muislam sitaweza ...no..ingawa sili pork lakimi sitauweza utamaduni wa kupiga juba...
Nisamehe Ndugukuniita mbwiga
Mie dira navaa msibani..acha tu nikasafishe macho uzee ushaingia mkuu..tulee tu watoto...Kama unavaaga dira hilo linakushinda nini? au wewe muoga wa rangi nyeusi. Siku mbili ya tatu mnatifuana unajikuta kazi unayo na connection zake unazo.. Ukija bongo unaonekana mpya kabisa maswahibu yako ya dubai nan atayajua ?
Mtu kama huyo akianza kuongeaHaya majungu Sasa bwahahaaaa
Bora walau uzaliwe ikwiriri ukafie huko kigoma...atleast hata maiti ipate kutembea umbali mrefu...ati umezaliwa ifakara unaenda fia mikumi🤧🤧🤧..unazaliwa Iringa unafia mbalali😆😆😆! NyoooUnakuta Mwanaume mzima anazaliwa Ikwiriri anakuja kufia Mbagala huyo Dunia haijui
wa bongo movie? 🤣 🤣 zile mnazoandika sio movie tafuteni nina lingine tu maana ni ujinga mtupuHii stori tamu sana....mi mtunzi wa movie naiba vitu hapa 🤣
naunga hoja mkuu.. tupo tunafatilia kwa kinaa mno[emoji851][emoji851][emoji851]