Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
NoIs it demis?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NoIs it demis?
Mkuu umeongea ukweli sana , uoga unajenga hofu sana, na hofu isiyo na msingi inakwamisha ndoto nyingi...Yaaani tumetengenezwa kizazi cha uoga sana na kuwaza mipango mipango mipango mpaka mtu anazeeka alikua anapanga tu
Huko serikalini sasa ndo kila siku mchakato,Tuko mbioni,upembuzi yakinifu,tunaandaa mpango mkakati mpaka kitu kije kufanyika mshachelewa sana
Kwa hili aisee ndo nilimkubali Msee Marehemu. Mipango hakuna unajilipua kila kitu kitajulikana mbele kwa mbele. Ukishakua na hii spirit lazima utapata njia tu ya kutatua ya huko mbele
Wanaijeria nawafahamu vizuri sana wale jamaa yaani wahalifu,wanafanya kazi halali,majinias,waliosoma,kina kalume kenge wale ni kujilipua tu hawaogopi kitu na inawasaidia sana kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na kwa familia pia
Wakenya nao hawako nyuma na wanajua kushikana mikono sana....yaan US mbongo ukiongea Lafudhi tu wanadhani Mnaija😂😂
Sie tumejifungia huku nyumbani Madibila tunakula Pitiku na ugali tunaridhika tunaogopa
NOIs it demis?
🙏🏾🙏🏾Hongera kwa hilo[emoji122][emoji122][emoji122]
Hizo ni story za zamani watz wako kibao nje ya nchi kwa sasa na wanafanya vizuri,usikariri zunguka dogo acha kusikia story za vijiweni
Kwa mazingira yaliyokuwepo nilijilipua mkuu...namaanisha!Ww hujajilipua kitu bana ww umevuka upande wa pili wa barabara.....
kujilipua inatakiwa uchochore nje ya nchi huko
Umeongea point kubwa sana. mimi nilijilipua kwenda ughaibuni ikiwa na watoto wangu nikasema mambo yatajulikana mbele ya safari. Alhamdulilahi Mungu wa wote njia zilifunguka. Cha msingi ni kujilipua leo na si kusubiri kesho maana kesho haipo na mipango unapanga huku unaendelea kuhassleYaaani tumetengenezwa kizazi cha uoga sana na kuwaza mipango mipango mipango mpaka mtu anazeeka alikua anapanga tu
Huko serikalini sasa ndo kila siku mchakato,Tuko mbioni,upembuzi yakinifu,tunaandaa mpango mkakati mpaka kitu kije kufanyika mshachelewa sana
Kwa hili aisee ndo nilimkubali Msee Marehemu. Mipango hakuna unajilipua kila kitu kitajulikana mbele kwa mbele. Ukishakua na hii spirit lazima utapata njia tu ya kutatua ya huko mbele
Wanaijeria nawafahamu vizuri sana wale jamaa yaani wahalifu,wanafanya kazi halali,majinias,waliosoma,kina kalume kenge wale ni kujilipua tu hawaogopi kitu na inawasaidia sana kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na kwa familia pia
Wakenya nao hawako nyuma na wanajua kushikana mikono sana....yaan US mbongo ukiongea Lafudhi tu wanadhani Mnaija[emoji23][emoji23]
Sie tumejifungia huku nyumbani Madibila tunakula Pitiku na ugali tunaridhika tunaogopa
Umeongea point kubwa sana. mimi nilijilipua kwenda ughaibuni ikiwa na watoto wangu nikasema mambo yatajulikana mbele ya safari. Alhamdulilahi Mungu wa wote njia zilifunguka. Cha msingi ni kujilipua leo na si kusubiri kesho maana kesho haipo na mipango unapanga huku unaendelea kuhassle
Sent from my moto g power using JamiiForums mobile app
Mimi ke. Nilikuwa na watoto watatu wawili twins na mwingine mmoja. Miaka 12 twins na 10 mdogo. Watu walinishangaa sana kuja na watoto ughaibuni wakanicheka kuwa siwezi kusurvive na watoto ( kitu ambacho ni kweli lakini Mungu ni mkuu sana aiseeSorry ww ni ke? Sasa mambo ndo haya..ehe watoto walikua na umri gan mkuu?
Duh hongera...hongera mno! Kila kitu kinawezekana aiseMimi ke. Nilikuwa na watoto watatu wawili twins na mwingine mmoja. Miaka 12 twins na 10 mdogo. Watu walinishangaa sana kuja na watoto ughaibuni wakanicheka kuwa siwezi kusurvive na watoto ( kitu ambacho ni kweli lakini Mungu ni mkuu sana aisee
Lakini si ndio atm ulii overwork?ughaibuni wakanicheka kuwa siwezi kusurvive
Yani mtu lazima kujilipua. Kitendo cha kupata visa na watoto ulikuwa ni muujiza kwangu. Nikajisemea kama tumepata visa basi Mungu ana mpango mwema nami. Ila haikuwa rahisi mwanzoni. Mtu aliyenipokea alinipa wakati mgumu sana. Manyanyaso kama yote na kumbuka hapo nina watoto. Dah sitasahau. Nilikuja kukutana na mwanaume mwenye pesa yake ndefu akanipenda kufa maana nami ni mzuri si haba, akachanganyikiwa na penzi la mtoto wa kitangaDuh hongera...hongera mno! Kila kitu kinawezekana aise
Unanaanisha niniLakini si ndio atm unai overwork?
Nilikuja kukutana na mwanaume mwenye pesa yake ndefu akanipenda kufa maana nami ni mzuri si haba, akachanganyikiwa na penzi la mtoto wa kitanga
Nilicheza ngoma yao, nikakusanya ushahidi muhimu, wakuomba pesa/ngono tena walivyo washenzi wanaweka conditions zao bila aibu Yani,,, sikutoa chochote nje ya masharti ya lazima ila tu walinicheleweshea,Ulipiga simu 1 tu upstairs?
Ni kweli hii mbinu inasaidia na imewatoa wengi wanaume kwa wanawake. Maana kutoka hivi hivi shughuli pevu. Jamaa ni kama alishushwa na Mungu. Alinikubali na kunipenda na unyonge wangu wote. Akawakubali na watoto wangu. Mtu sina mbele wala nyuma naishi kwa watu na ni muhamiaji sina kitu. Jamaa bosi yuko vizuri financially bado akanichagua. Niliamini mwanaume akimpenda mwanamke hakuna kinachoweza kumzuiaNilijua tu lazima mtoto wa kike ulikutana na bwana ukaolewa....ninyi wanawake mnaojilipua mna hii sijui niite advantage!
Hii ni mbinu nimeona wamamam wengi wanaitumia, si Wabongo hata mataifa mengine na mkishaolewa hata makaratasi mnapata haraka tu...
Ni kweli hii mbinu inasaidia na imewatoa wengi wanaume kwa wanawake. Maana kutoka hivi hivi shughuli pevu. Jamaa ni kama alishushwa na Mungu. Alinikubali na kunipenda na unyonge wangu wote. Akawakubali na watoto wangu. Mtu sina mbele wala nyuma naishi kwa watu na ni muhamiaji sina kitu. Jamaa bosi yuko vizuri financially bado akanichagua. Niliamini mwanaume akimpenda mwanamke hakuna kinachoweza kumzuia