Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Labda upite Mlanje Malawi au vuka boda ya Muanza hadi Tete then anza kushuka chini kuzitafuta kona za limto liuaji kwa mamba
Oya naskia mlima mlanje una story flani kwamba mizimu ya pale mlimani inatoa msosi.

Unaweza ukawa pale ukakuta tu kuna chips mayai mbele yako....

Ila hiko chakula kina masharti.
 
Hii CHAI HII CHAAI AISE KONDA USITUONE WOTE MAZWAZWA Nmesoma kichwa na sehemu ya 1 nkarefer na ile stor ya khumbu ambapo ulisema bondeni umefika kwa ndugu zako na ulkua na ndugu zako na lengo la kushuka bondeni llkua ni kujiendeleza na elim na ulienda round ya kwanza ukarudi kumalizia Advance bongo then ukarudi tena bondeni LEO UNALETA UZI TENA AAFU UNASEMA HUKUA NA NDUGU??YALEYALE YA MOTIVATION SPIKA enewei hii ni chai kama chai nyngne zlizojaa uko kwenye kula tunda kimasihara
TOD umezingua pakubwa
 
Hamna kitu watu wa JF wanapenda kama kuabudiwa pale uzi wake unapopendwa. Konda Msafi alianza na Khumbu vizuri ila uzi ulipochangamka akaanza kua busy na kushusha episode kwa kujisikia, huyu bwana nae kaanza mtindo huo huo. Mbona issue ni simple tu andika mkeka wako wote dondosha episodes zako zote ndani ya nusu saa tu ushapandisha kisa chako chote.

Mbona kuna watu wanamaliza vitu vyao ghafla tu. Bujibuji alikuja na Alibaba na Wezi Arobaini uzi umeenda straight hakuna kuvutana. Au yule jamaa wa Richest Man in Babylon hakuna kuabudiwa kaamua kiroho safi kushare.
 
Hii CHAI HII CHAAI AISE KONDA USITUONE WOTE MAZWAZWA Nmesoma kichwa na sehemu ya 1 nkarefer na ile stor ya khumbu ambapo ulisema bondeni umefika kwa ndugu zako na ulkua na ndugu zako na lengo la kushuka bondeni llkua ni kujiendeleza na elim na ulienda round ya kwanza ukarudi kumalizia Advance bongo then ukarudi tena bondeni LEO UNALETA UZI TENA AAFU UNASEMA HUKUA NA NDUGU??YALEYALE YA MOTIVATION SPIKA enewei hii ni chai kama chai nyngne zlizojaa uko kwenye kula tunda kimasihara
Hahahah umesoma jina la mtoa Uzi kwanza
 
Oya naskia mlima mlanje una story flani kwamba mizimu ya pale mlimani inatoa msosi.

Unaweza ukawa pale ukakuta tu kuna chips mayai mbele yako....

Ila hiko chakula kina masharti.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Waswahili nimewashindwa. Kijiwe changu cha kuondokea kilikuwa Tcholo na Nsanje, kwa mengine sikuwa mfuatiliaji
 
Dahh!!
We jamaa nilivyokuwa nakuona kwenye siasa zamani kabla haujabadilika nilikuwa sikuelewi kumbe ni mpambanaji sana.
Mungu akuzidishie maarifa na ujasiri
Niliondoka baada ya kuona Mauaji dhidi ya wapendwa wangu Watanzania

Mbona Wenzetu Wasomali wanaweza kwanini nasi tusiache uoga
 
Mtu unaleta uzi,kwa moyo wako kabisa mweupe tena hatujakuomba wala hata hatujuwi kama una uzi pendwa.

Unashusha episode kadhaa Mungu ni wa wote gafla uzi wako unapendwa watu wanaacha kazi, wanakopa bando, yaani kila dk,wanacheki uzi.

Halafu,gafla speed ya kushusha episode inaanza kupungua mara narudi, mara kesho mara yanapita masaa 24 kimya.


Hii tabia ni ukatali kama yalivyo matendo mengine ya ukatili.

Ukianzisha kitu kimalize kiishe raha ya story,isomwe ikiwa bado ya moto na bando zetu hazijachacha.

Ukileta uzi au,story,hlf usipate watu unajisikia vibaya,watu wakija unapotea mnaoleta uzi mnatuchanganya.

Tunaponunua kubando, tukatenga muda kusoma uzi kati ya hbr kibao zilizo humu JF ni mapenzi na uzi huo.

SAWA TUNAJUWA KUNA DHARULA, SHIDA MATATIZO,,MUDA NA MENGINE, UKIPATA DHARULA UKAHISI HUTAANDIKA KWA MUDA SAHIHI, TOA TAARIFA KUWA WADAU KUNA DHARULA NAOMBA SIKU 2 NIPUMZIKE NIDYO TUTAENDELEA. Huo ndiyo uislamu, na ndiyo ukiristo, na ungwana.

unapoleta kisa chako wazi inamaana kuwa unataka tujifunze jambo na kufurahia pia kulingana na story iliyoletwa.


WANAJF kabla ya kuleta story yako plz kaa tafakari na ufanya maamuzi kuwa naandika hii story,mwanzo mwisho iishe na nimejitolea kwa moyo wangu wote ukimaliza kiapo ndiyo unaanza kuandika.

Ukisubiri sana kitu hata ile radha yake inaanza kuisha.

MLETA UZI,,TUNASHKRU,KWA UZI WAKO, TUNASHKRU,KWA EPISODI 16,

LAKINI kaa tafakari kama tunaendelea basi tuendelee kama imeisha basi sema wazi,,kama una dharula sema wazi pia.

Kutuweka roho juu kama tunaoga njia panda siyo fair kabisa.

NB. wengine pia wenye nia za kuleta story,kabla ya kuleta kaa fanya maamuzi kiwa story hii niwasimulie au nikae nayo daima,, hbr za kusimulia mara mchango wa MB, mara unapotea siyo kitu sahihi.
Umesomeka mkubwa [emoji123][emoji123]
 
Episode ya 17 kasha ichakaza au Bado Yuko lethoto na afsa wa bank mnk na mm naanza kupata waswas flani hv zidi ya afsa wa bank
 
Sawa mkuu haina shida. Acha tupate utamu wa stori, kweli hayo mengine tukitaka kuyadadisi sana yanaweza kumtoa kwenye reli bwana Keagan. Ila kama itampendeza binafsi ningemuomba aelezee aliwezaje kutoka SA na kurudi tena wakati visa imeisha. Mzee Fohadi hiki ni kipengele muhimu sana. Kuwa na expired visa mbele ya immigration officer ni sawa na kulala chumba kimoja na chatu kama alivyosema mdau mmoja hapo juu.
Mkuu please acha bas we already know u've been there kwetu wenye uelewa finyu tunaona kama unataka kumdis jamaa na kama u feel like anapata audience zaidi yako. Sie wa huku namtumbo hatujui lolote hata wewe inawezekana ulitununua sana mradi tuliburudika ilitosha so achana na viswali swali na vielimu vya kijuba u r better than this
 
Hamna kitu watu wa JF wanapenda kama kuabudiwa pale uzi wake unapopendwa. Konda Msafi alianza na Khumbu vizuri ila uzi ulipochangamka akaanza kua busy na kushusha episode kwa kujisikia, huyu bwana nae kaanza mtindo huo huo. Mbona issue ni simple tu andika mkeka wako wote dondosha episodes zako zote ndani ya nusu saa tu ushapandisha kisa chako chote.

Mbona kuna watu wanamaliza vitu vyao ghafla tu. Bujibuji alikuja na Alibaba na Wezi Arobaini uzi umeenda straight hakuna kuvutana. Au yule jamaa wa Richest Man in Babylon hakuna kuabudiwa kaamua kiroho safi kushare.
Bujibuji huwa harembi
 
Mkuu please acha bas we already know u've been there kwetu wenye uelewa finyu tunaona kama unataka kumdis jamaa na kama u feel like anapata audience zaidi yako. Sie wa huku namtumbo hatujui lolote hata wewe inawezekana ulitununua sana mradi tuliburudika ilitosha so achana na viswali swali na vielimu vya kijuba u r better than this
Na huo NDIO ukwel anaona mwenzie anatrend yeye tumemsahau sio poa tumpe nafas mtoa mada alete stori ndefu badala ya kujibu comments kila mda
 
Hamna kitu watu wa JF wanapenda kama kuabudiwa pale uzi wake unapopendwa. Konda Msafi alianza na Khumbu vizuri ila uzi ulipochangamka akaanza kua busy na kushusha episode kwa kujisikia, huyu bwana nae kaanza mtindo huo huo. Mbona issue ni simple tu andika mkeka wako wote dondosha episodes zako zote ndani ya nusu saa tu ushapandisha kisa chako chote.

Mbona kuna watu wanamaliza vitu vyao ghafla tu. Bujibuji alikuja na Alibaba na Wezi Arobaini uzi umeenda straight hakuna kuvutana. Au yule jamaa wa Richest Man in Babylon hakuna kuabudiwa kaamua kiroho safi kushare.
Mkuu mm naomba nimtetee Keagan Paul japo sijui nini kimemkwamisha.

Unajua unapokuwa unaandika, kuna vingi vinatokea, mfano unaweza ukawa unatype then simu ikastack (hii ilinitokea sana wakati naandika safari ya maisha yangu humu JF). Kuna siku niliandika episode nzima, then ghafla JF ika crash. Nilipokea lawama za kutosha, japo sikujibizana na mtu maana wao wanajali kusoma tu, nikaandika upya.

Sometime mambo yanakuwa mengi, maana sio kila mtu anapokea mshahara mwisho wa mwezi, kuna wengine kila siku inajihangaikia. So huwezi komaa JF unatype kuridhisha watu ilhali hujui utakula nini, inabidi upige mishe then free time ndio unakuja kutype.

Tumpe muda, kuandika story inayohusu maisha binafsi, inahitaji utulivu ili kuvuta kumbukumbu na kuleta matukio kwa mtiririko.
 
Back
Top Bottom