Nilivyomhamisha mtaa kwa siku saba jirani yangu mjeuri

Nilivyomhamisha mtaa kwa siku saba jirani yangu mjeuri

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Habari zenu.

Kuna kabila moja kanda ya ziwa wakiwa jirani zako maugomvi hayaishi. Mara kakuibia mpaka, mara ajitape yeye ni tajiri sijui nini sijui nini.

Jirani yangu huyu ana tuvisenti twake akajifanya ana jeuri sana siku moja akaniambie we naweza kukuhamisha mtaa na mimi nikamwambia huwezi nitakuhamisha wewe.

Siku moja moja nilikuwa safari ya kikazi mkoa, nikaongea na rafiki yangu ana kandarasi ya kuzoa taka mtaani kutumia yale malori mabovu.

Tulichofanya sasa, gari ilikusanya taka mitaa yote ilipofika mbele ya nyumba ya Mr Misifa dereva akalizima na kufungua bonet kana kwamba limeharibika. Gari ilikaa pale wiki nzima na taka zake dereva anajifanya anatengeneza na ni msimu wa masika.

Ile harufu jamaa alihama nyumba kabisa mpaka siku gari ilipotoka, ndani ya wiki
 
Habari zenu.

Kuna kabila moja kanda ya ziwa wakiwa jirani zako maugomvi hayaishi. Mara kakuibia mpaka, mara ajitape yeye ni tajiri sijui nini sijui nini.

Jirani yangu huyu ana tuvisenti twake akajifanya ana jeuri sana siku moja akaniambie we naweza kukuhamisha mtaa na mimi nikamwambia huwezi nitakuhamisha wewe.

Siku moja moja nilikuwa safari ya kikazi mkoa, nikaongea na rafiki yangu ana kandarasi ya kuzoa taka mtaani kutumia yale malori mabovu.

Tulichofanya sasa, gari ilikusanya taka mitaa yote ilipofika mbele ya nyumba ya Mr Misifa dereva akalizima na kufungua bonet kana kwamba limeharibika. Gari ilikaa pale wiki nzima na taka zake dereva anajifanya anatengeneza na ni msimu wa masika.

Ile harufu jamaa alihama nyumba kabisa mpaka siku gari ilipotoka, ndani ya wiki
Hongera siku nyingine yamwage kabisa uwanjani kwake
 
Habari zenu.

Kuna kabila moja kanda ya ziwa wakiwa jirani zako maugomvi hayaishi. Mara kakuibia mpaka, mara ajitape yeye ni tajiri sijui nini sijui nini.

Jirani yangu huyu ana tuvisenti twake akajifanya ana jeuri sana siku moja akaniambie we naweza kukuhamisha mtaa na mimi nikamwambia huwezi nitakuhamisha wewe.

Siku moja moja nilikuwa safari ya kikazi mkoa, nikaongea na rafiki yangu ana kandarasi ya kuzoa taka mtaani kutumia yale malori mabovu.

Tulichofanya sasa, gari ilikusanya taka mitaa yote ilipofika mbele ya nyumba ya Mr Misifa dereva akalizima na kufungua bonet kana kwamba limeharibika. Gari ilikaa pale wiki nzima na taka zake dereva anajifanya anatengeneza na ni msimu wa masika.

Ile harufu jamaa alihama nyumba kabisa mpaka siku gari ilipotoka, ndani ya wiki
Ungelipindua uchafu umwagike getini kwake
 
Muhaya huyo,, na ulimuweza,, safi Sana,,

Nje ya mada,, ukipakana na muhaya, mchaga au mtutsi inatakiwa uwe bandidu km mtoa mada la sivyo utakimbia nyumba

Kuna ndugu yangu nae amepitishwa shida na Muhaya juu ya mipaka
 
Muhaya huyo,, na ulimuweza,, safi Sana,,

Nje ya mada,, ukipakana na muhaya, mchaga au mtutsi inatakiwa uwe bandidu km mtoa mada la sivyo utakimbia nyumba
Hapo ninao wajua vizur ni mchaga na muhaya hawa watu wakimiliki kiwanja wanajihis wamemiliki dunia siyo kwa mbwembwe za ajabu ajabu mara wanaziba mipaka wanapanda na migomba sehemu ambazo mabomba na nguzo za umeme zilitakiwa kupitishwa
 
Back
Top Bottom