Nilivyomhamisha mtaa kwa siku saba jirani yangu mjeuri

Nilivyomhamisha mtaa kwa siku saba jirani yangu mjeuri

Habari zenu.

Kuna kabila moja kanda ya ziwa wakiwa jirani zako maugomvi hayaishi. Mara kakuibia mpaka, mara ajitape yeye ni tajiri sijui nini sijui nini.

Jirani yangu huyu ana tuvisenti twake akajifanya ana jeuri sana siku moja akaniambie we naweza kukuhamisha mtaa na mimi nikamwambia huwezi nitakuhamisha wewe.

Siku moja moja nilikuwa safari ya kikazi mkoa, nikaongea na rafiki yangu ana kandarasi ya kuzoa taka mtaani kutumia yale malori mabovu.

Tulichofanya sasa, gari ilikusanya taka mitaa yote ilipofika mbele ya nyumba ya Mr Misifa dereva akalizima na kufungua bonet kana kwamba limeharibika. Gari ilikaa pale wiki nzima na taka zake dereva anajifanya anatengeneza na ni msimu wa masika.

Ile harufu jamaa alihama nyumba kabisa mpaka siku gari ilipotoka, ndani ya wiki
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ulimuonea ndg. Muhaya mkuu
 
Cku nyingine mletee yale makomba mavi.
 
Hapo ninao wajua vizur ni mchaga na muhaya hawa watu wakimiliki kiwanja wanajihis wamemiliki dunia siyo kwa mbwembwe za ajabu ajabu mara wanaziba mipaka wanapanda na migomba sehemu ambazo mabomba na nguzo za umeme zilitakiwa kupitishwa
Sasa na huyo mtutsi nae ndo komesha hao ukiwa majirani nao waweza kufa wanakutizama kwa macho makavu yani, wengi wao wako hivyo,

Niliwahi kuishi sehemu,, majirani ni hao,, sikukimbia ila tulihenyeshana,, mchaga tulimnunua baada ya kuanza kuchimba shimo la choo karibu kabisa na geti la kuingilia,, kijisehemu kiduchu tulikilipia milioni 3 miaka kumi ilopita, mtutsi huyo yeye hakutaka hata njia tupite ikabidi tupitishe nguzo za umeme jirani na kwake km makubaliano ya kupita ktk kinjia hicho lkn kuna siku aliifunga mpk ukaitishwa mkutano wa kijiji,, muhaya huyo yeye ilikuwa kusogeza mipaka kidogo kidogo, ikabidi tuzungushie wire fence, akawa anapanda majani flani hivi yanawasha sana km kutukomoa,,, aaah visa vilikuwa vingi mno
 
Sasa na huyo mtutsi nae ndo komesha hao ukiwa majirani nao waweza kufa wanakutizama kwa macho makavu yani, wengi wao wako hivyo,

Niliwahi kuishi sehemu,, majirani ni hao,, sikukimbia ila tulihenyeshana,, mchaga tulimnunua baada ya kuanza kuchimba shimo la choo karibu kabisa na geti la kuingilia,, kijisehemu kiduchu tulikilipia milioni 3 miaka kumi ilopita, mtutsi huyo yeye hakutaka hata njia tupite ikabidi tupitishe nguzo za umeme jirani na kwake km makubaliano ya kupita ktk kinjia hicho lkn kuna siku aliifunga mpk ukaitishwa mkutano wa kijiji,, muhaya huyo yeye ilikuwa kusogeza mipaka kidogo kidogo, ikabidi tuzungushie wire fence, akawa anapanda majani flani hivi yanawasha sana km kutukomoa,,, aaah visa vilikuwa vingi mno
Sasa mtusi anaanzanje kutuletea dharau wazawa(indigenous), na kumkata mapanga??? Au mlikuwa mnaogopa...
 
Sasa na huyo mtutsi nae ndo komesha hao ukiwa majirani nao waweza kufa wanakutizama kwa macho makavu yani, wengi wao wako hivyo,

Niliwahi kuishi sehemu,, majirani ni hao,, sikukimbia ila tulihenyeshana,, mchaga tulimnunua baada ya kuanza kuchimba shimo la choo karibu kabisa na geti la kuingilia,, kijisehemu kiduchu tulikilipia milioni 3 miaka kumi ilopita, mtutsi huyo yeye hakutaka hata njia tupite ikabidi tupitishe nguzo za umeme jirani na kwake km makubaliano ya kupita ktk kinjia hicho lkn kuna siku aliifunga mpk ukaitishwa mkutano wa kijiji,, muhaya huyo yeye ilikuwa kusogeza mipaka kidogo kidogo, ikabidi tuzungushie wire fence, akawa anapanda majani flani hivi yanawasha sana km kutukomoa,,, aaah visa vilikuwa vingi mno
Kuna mmoja ni mchaga nimepakana naye, ana ng'ombe wake huyo kutwa anamzururisha, leo kamfunga getini, kesho pembeni ya fensi yaani tafrani. Mara amfunge ale mipapai ya watu etc
 
Sasa mtusi anaanzanje kutuletea dharau wazawa(indigenous), na kumkata mapanga??? Au mlikuwa mnaogopa...
Sio kuwaogopa hao ni watu wanaosumbua ktk suala zima la mipaka ya ardhi na ujirani

Mbona wa wapo hadi viongozi wakubwa wa jamii hiyo ije kuwa ardhi ya kujenga vyumba viwili vitatu,, nenda kagera wilaya zinazopakana na hao watu,,
 
Kuna mmoja ni mchaga nimepakana naye, ana ng'ombe wake huyo kutwa anamzururisha, leo kamfunga getini, kesho pembeni ya fensi yaani tafrani. Mara amfunge ale mipapai ya watu etc
😂😂😂Yani full drama kila siku kelele,, unakosa raha hata kuwa kwako jamani
 
Mnaishi mtaa gani ambao gari ya taka inaachwa tu hapo wiki nzima?

Hakuna viongozi wa mtaa huko?
 
kwanza chai yako haina viungo muruwa hivi mtu ana kaz ya kuzoa taka aje apaki gari Na taka zipo si zinazidi ozesha gari au ndo akili za watu wa kanda ya ziwa mlivyo
na kwa ushauri tafta hela uache mapambano na akili yako hunanhatabhuyo jirani unaimagine tu. wenye mipango hawanaga akili kama zako
 
Back
Top Bottom