Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Duhh nadhani hio ya kutaja majina halisi haijakaa vizuri mkuu bora ungefucha majina!
Nimemtaja maksudi huyo tapeli kwani namsingizia? Mtu anakuwa innocent till proven guiltly sasa ameamriwa kunilipa je hapo sio mkosa? Yule tapeli tu na atabaki kuwa hivyo tapeli
 
Hilo eneo nimeishi sana , nadhani ni miongoni mwa maeneo ambayo watu wengi wamedhulimiwa viwanja kwa hapa Dar ila siku hizi mambo safi.
Unamjua Juma Kasangu? Ebu wape mziki wake ndugu
 
Nataka kuja na stori moja hiyo jinsi nilivyotaka kuuwawa kwa kutembea na mwanafunzi mtoto wa kigogo wa jeshi mojawapo nchini miaka ya 2002

Naandika nasita sijawahi kumuhadithia mtu yoyote maishani mwangu
Lete news mwamba!
 
Niliuziwa kiwanja kwa njia za utapeli, nikaitafuta haki yangu polisi mpaka mahakamani na hatimaye niliipata haki yangu licha ya rushwa iloyotamalaki katika vyombo husika.


The whole story in few words .😊
Huo ni mtazamo wako,usijenge chuki!
 
Mleta mada ulitumia vyema muda wako kudai haki yako.
Sisi wengine huyo tapeli tungemfanya shoga akaliwe huko siku nyingi sana.
 
Unamjua Juma Kasangu? Ebu wape mziki wake ndugu
Huyo maarufu sana anatisha kuna wamba wengine wapo wanaoshika rekodi za huko ogopa sana kiwanja kimoja kinauzwa zaidi ya mara 4 .Bomoabomoa imewasaidia baadhi ya watu wa maeneo ya mbele karibu na eneo la Uvikiuta kuviacha viwanja vyao.
 
,IBRA wa PILI njoo
 
Nahofia kama historia itanihukumu. Niliangalia kesi ya R. Kelly nikahisi kama nikisimulia inaweza kuwa noma ingawa huyo niliyetembea nae sasa hivi ni mama wa watoto wanne wakubwa tu
Bongo jinai inakufa,kwa wazungu ndio jinai uwa haifi bob tupia news
 
Bora imeisha ungechelewa mpaka kesho comments zingefika 2,000. Nilichojifunza hapa ni kila mtu kwenye story yako anaitwa Juma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…