Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Nakumbuka mama yangu baada ya kustafu alinunua nyumba,kumbe Ile nyumba Kuna mgogoro baina ya muuzaji na rafiki yake sijui ni kweli au mchongo[emoji1] Tena biashara ilifanyika mbele ya mbele ya wakili,mama kapewa makaratasi jamaa ndio anamiliki jengo na wapangaji ndani,nilivyopewa tarifa nikarudi kuongeza nguvu ni hakimu mkazi kisutu ndio hatukuwahi kwenda,mpaka jamaa akatuma ujumbe tukae chini tuyaonge tuone namna ya kumfilisi rafiki yake ambae ndio muuzaji,nikasema hapana Kila mmoja apambane atakavyoona inafaa,wakti huu nishashika hati za nyumba zake huyu muuzaji Kama nyumba tatu,siyo kilahisi ni mwendo wa vibao na muda wote uso [emoji34][emoji34] aaaaaah mbona iliwezekana.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Toa story na ww uliwezaje
 
Toa story na ww uliwezaje
Ok,jambo ilikuwa ivi Maza aliuziwa nyumba na jamaa flani kupitia madalali Tena walijirizisha mpaka mipango miji na kuonyeshwa faili la pale kuwa halidaiwi na bank Wala mtu kwa maana hakuna kesi mahakamani Tena ofsa ofisini kwake kabsa,basi mother kalipa ela mill 40,sasa jama twende ukakabizi nyumba kumbe mle ndani Kuna wapangaji na wanasema hawamjui huyo jamaa Kuna mtu ndio Huwa wanampa pango na wanajuwa ndio mwenye nyumba,kumba waha jamaa walikuwa marafiki kabsa wakatapeliana Kama mill 85 ya biashara kwaiyo jamaa kaishikia nyumba Kama kupunguza deni huku ela ikitafutwa taratibu na kesi ipo mahakama ya wilaya,kesi yake ni kujipatia fedha kwanjia za udanganyifu shughuli imelala hapo,jamaa kambiwa rudisha ela Kama vipi biashara tumeshindwa anajibu nyodo,ndio nikavutiwa waya nirudi kusimamia ilo jambo.

Itaendelea.......

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ok,jambo ilikuwa ivi Maza aliuziwa nyumba na jamaa flani kupitia madalali Tena walijirizisha mpaka mipango miji na kuonyeshwa faili la pale kuwa halidaiwi na bank Wala mtu kwa maana hakuna kesi mahakamani Tena ofsa ofisini kwake kabsa,basi mother kalipa ela mill 40,sasa jama twende ukakabizi nyumba kumbe mle ndani Kuna wapangaji na wanasema hawamjui huyo jamaa Kuna mtu ndio Huwa wanampa pango na wanajuwa ndio mwenye nyumba,kumba waha jamaa walikuwa marafiki kabsa wakatapeliana Kama mill 85 ya biashara kwaiyo jamaa kaishikia nyumba Kama kupunguza deni huku ela ikitafutwa taratibu na kesi ipo mahakama ya wilaya,kesi yake ni kujipatia fedha kwanjia za udanganyifu shughuli imelala hapo,jamaa kambiwa rudisha ela Kama vipi biashara tumeshindwa anajibu nyodo,ndio nikavutiwa waya nirudi kusimamia ilo jambo.

Itaendelea.......

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Endelea
 
Pia kuna mwamba alikuwa anaitwa peter mhara sijui ni jila lake kweli amewatapeli watu sana huko kwa kuwauzia viwanja fake
 
Kupata haki yako kumbe mpaka upambane sana
Hasa utapeli.


Tanzania HAKUNA sheria ya kumtishia tapeli, hasa zinazohusu madai. Ziko looose


Anaweza kukutapeli na usimfanye chochote,na ukimpeleka Mahakamani anakubali kosa na Bado unakula hasara.
 
Back
Top Bottom