Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

Shida yote ilianzia kwenye mishe za manunuzi. Ilibidi msainishiane mbele ya wa2 wa serikali za mitaa angeanza kwa kusema anamilikije...
 
Minisengeweza yote hayo mambo ya kesi sipendi na siwezagi kabisa yaani doh
 
Unawajua mkuu? bado wako hai? uwezo wa kukulipa wanao.

Nawajua kabisa na uwezo wa kulipa wanao.

Bibi mmmoja ( huyu nilikusanya wananzengo, nikaweka mtego alipigwa nusura auawe, baadaye akapelekwa polisi, kwasasa alifungwa mwaka mmoja. Anakaribia kutoka.

Mwingine alikubali kulipa, amelipa nusu nyingine mpaka Sasa anasumbua.

Aliyekuwa anajufanya Mwenyekiti akiwa na mihuri bandia yeye hajakamatwa maana baada ya kumkamata huyo jamaa nilikuja kugundua ni team yenye mtandao mkubwa sana na kazi yao ya utapeli ndio hiyo.

Imagine, wakati Mimi napambana nao nilikuta kuja jamaa wamempiga milioni 27 alinunua viwanja 3 ajenge shule.

Kesi za wizi wa magari wanazo.za kutosha yaani unamwazima gari Kama mshkaji akilata mteja anauza tu kama la kwake.
 
Uzi mzuri sana niliwahi kwenda kumtoa jamaa yangu kituoni alitapeliwa mchele kilo kadhaa tapeli nae akaona utamu akaja kumtapeli kwa mara ya pili asijue jamaa ashajua akapima mchele wee jamaan akwambia ingiza ndano akafunga mlango akampa kichapo kitakatifu, tapel akapata upenyo kakimbia kile kituo kidogo pale kinondoni jamaa kumfukuzia kapewa kesi yeye kaombwa atoe chochote kakomaa nao mimi nimetapeliwa alafu niwape sina cha kuwapa, wale washenzi wakaona upo smart unakosaje chochote wakampeleka obay ndio akanitext amepelekwa hapo, uzur pale obay sie ndo tulieka umeme hvyo tukawa tunajuana vema na wale wakubwa hvyo jamaa angu akatoka japo ilibidi tumtibie yule mpumbavu, tena katibiwa siku ya kwanza ya pili akasema amaefanya xray laki tatu tukaona huyu anaona raha kula.pesa yetu kajisahau kua yeye ni tapeli.
Aisee haki inanunuliwa ukifika.kwenye hvyo vituo na ka haupo smart wale askari wanakupeleka mputa mpka akili inachoka, yani ukiingia 18 zao ni.mwendo wa kua mjuaji tu la svyo haki hupati
 
Shida yote ilianzia kwenye mishe za manunuzi. Ilibidi msainishiane mbele ya wa2 wa serikali za mitaa angeanza kwa kusema anamilikije...
Nadhanj hujakutana na watu washenzi tena ukienda kununua viwanja sehemu bado watu hawajaanza kujenga jenga wanaweka na kiofisi ushenzi na bendera ya taifa na mihuri kumbe wote jopo la matapeli
 
Umeupiga mwingi [emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…