Nilivyomteka nyara mtoto wangu mwenye utapiamlo toka kwa mama yake

Mtoto ameibiwa saa 5, wewe umeondoka saa 6 au 5 na nusu. Alibi yako hapo ishafeli.

Labda ungeondoka halafu uagize mtu akufanyie hiyo kazi. Ni vile wapelelezi wabongo hawajui tu ila ingekuwa nchi za wenzetu ungekamatwa mapema sana tu.
 
Mtoto ameibiwa saa 5, wewe umeondoka saa 6 au 5 na nusu. Alibi yako hapo ishafeli.

Labda ungeondoka halafu uagize mtu akufanyie hiyo kazi. Ni vile wapelelezi wabongo hawajui tu ila ingekuwa nchi za wenzetu ungekamatwa mapema sana tu.
Mkuu hii chai bado iko shambani, hapa tujiandae kesho jmos tukapige palizi
 
Kwahio umeamua ujiajiri kuteka watoto?
 
Mtoto ameibiwa saa 5, wewe umeondoka saa 6 au 5 na nusu. Alibi yako hapo ishafeli.

Labda ungeondoka halafu uagize mtu akufanyie hiyo kazi. Ni vile wapelelezi wabongo hawajui tu ila ingekuwa nchi za wenzetu ungekamatwa mapema sana tu.
Bongo hakuna wapelelezi,,nilicheza smart sikuacha loop hole,simu yangu ilitangulia na staff mwenzangu asubuhi.mi nikabaki sina simu,so minara ikawa inasoma nimeondoka dar asubuhi na kufika Dom mchana. am smarter than them cops
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…