Nilivyomteka nyara mtoto wangu mwenye utapiamlo toka kwa mama yake

Very good baba Copy.
Well done.
 
You are the man mkuu,natamani kujua na hiyo ya rafiki yako ilikuaje...
 
Duuuh kumbe kuna wanawake wajinga. 🤮🤮🤮🤮
 
You are the man mkuu,natamani kujua na hiyo ya rafiki yako ilikuaje...
Huyu rafiki yangu alioa kabisa mke wa ndoa ,mke akarudi kwao na mtoto.
Mtoto aliyezoea kula vizuri akawa kama chokoraa,tulifunga safari mpaka Ruaha Mbuyuni Iringa tukarudi na Sai baba linalotoka Sumbawanga linapita pale saa kumi kumi na mbili jioni tukiwa na mtoto wetu,
 
Mama wa mtoto hakutafuta,vip ndugu upande wa mama?mlifanikishaje kumchukua?alikuja kugundua hapo baadae?
 
Mama wa mtoto hakutafuta,vip ndugu upande wa mama?mlifanikishaje kumchukua?alikuja kugundua hapo baadae?
Waligundua ila watiu wa vijijini hawapendi ligi ,na huu mchongo ulimuhusisha polisi mmoja alipewa fungu lake akaweka mambo sawa kwenye ile familia
 
Kuna zile movies za upelelezi huko mambele huna naangalia ule upelelezi wanafanya baadae najiuliza hivi ata hapa Tanzania huwa wanafanya upelelezi wa namna ile?
Mtoto ameibiwa saa 5, wewe umeondoka saa 6 au 5 na nusu. Alibi yako hapo ishafeli.

Labda ungeondoka halafu uagize mtu akufanyie hiyo kazi. Ni vile wapelelezi wabongo hawajui tu ila ingekuwa nchi za wenzetu ungekamatwa mapema sana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…